kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Pamoja na Sabaya kufikishwa mahakani kwa tuhuma lukuki ikiwemo matumizi ya silaha na madaraka kinyume Cha sheria, wafuasi wa mfumo butu wa security wamekubaliana na hoja kwamba alitumwa kwa maslahi ya Taifa na hivyo wanajipanga kumtoa kwenye kesi inayomkabili kwa sababu kuu mbili;
1. Kumkamata inadaiwa nikusaliti utawala wa awamu ya Tano
2. Kumfunga inadaiwa nikukwamisha mwendelezo wakuwatumia watu wa aina ya akina sabaya kufanya kazi wanazotumwa wakiofia kufunguliwa mashtaka
3. Kumfunga nikimfanya Mbowe awe shujaa Jambo ambalo litadhorotesha imani ya wananchi kwa CCM
4. Kumfunga nikupunguza kasi ya maandalizi ya suku gang kuelekea kurejesha madaraka.
Kwa mantiki hiyo mahakama inatumika kumtoa na kumfanya shahidi kwenye kesi ya Ugaidi I'll kumrejeshea umaarufu na kuwazima mdomo waliomkejeli.
Swali, je mahakama itaendelea kutumika na serikali au itazikataa mbinu chafu za serikali? Tusubirie Maamuzi ya Mahakama ya mafisadi kuhusu kesi ya Ugaidi.
1. Kumkamata inadaiwa nikusaliti utawala wa awamu ya Tano
2. Kumfunga inadaiwa nikukwamisha mwendelezo wakuwatumia watu wa aina ya akina sabaya kufanya kazi wanazotumwa wakiofia kufunguliwa mashtaka
3. Kumfunga nikimfanya Mbowe awe shujaa Jambo ambalo litadhorotesha imani ya wananchi kwa CCM
4. Kumfunga nikupunguza kasi ya maandalizi ya suku gang kuelekea kurejesha madaraka.
Kwa mantiki hiyo mahakama inatumika kumtoa na kumfanya shahidi kwenye kesi ya Ugaidi I'll kumrejeshea umaarufu na kuwazima mdomo waliomkejeli.
Swali, je mahakama itaendelea kutumika na serikali au itazikataa mbinu chafu za serikali? Tusubirie Maamuzi ya Mahakama ya mafisadi kuhusu kesi ya Ugaidi.