Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,230
- 32,630
Hapa ndiyo umeharibuPumzika kwa amani Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndiyo umeharibuPumzika kwa amani Magufuli
Roho mbaya za kitanzania.tumuache mzee apumzike ameshafariki,its over
Fanya mambo mengine mbona dunia imejaa mengi ya kufanya. Acha kumsimanga hayati haikusaidii na wala haimsaidii huko alipo.Historia ni lazima iweke kumbukumbu hiyo nikumbikumbu yake
Mkuu JPM kafariki mwezi wa tatu tena kuelekea mwishoni wewe mpaka leo unamuandika!!. Tena kwa ubaya!!.Rais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua.
Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.
Rais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua.
Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.
Inashangaza sana hili, JPM bado anaishi kwenye mawazo yao.Mkuu JPM kafariki mwezi wa tatu tena kuelekea mwishoni wewe mpaka leo unamuandika!!. Tena kwa ubaya!!.
Mods wamekushughulikiaHakuna pumziko kwa mtu mwovu
Kwani alikufanya nini mpaka unashindwa kupumzika?Apumzike? Unajua kuwa matendo yake yamesababisha wengi sasa hivi pamoja na kuwa hai lakini hawako kwenye mapumziko ila taabu tuu ambazo chanzo ni Magufuli?
Huyu alistahili hata kama kafa kizazi chake ki face consequence ikiwezekana hata tuwatembezee bakora mara moja kila mwezi ili wajute kuwa watoto au wajukuu wa kiumbe cha aina ile badala ya kula pension kutoka kwa jasho letu.
Katika hayo mengi hilo pia liko kwenye mengi je wewe bac sawa kawaida ya historia hufundishaFanya mambo mengine mbona dunia imejaa mengi ya kufanya. Acha kumsimanga hayati haikusaidii na wala haimsaidii huko alipo.
Is not over he is gonna pay for what he has done to his people in particular opposition.tumuache mzee apumzike ameshafariki,its over
Hata swala wakimuona simba ufikiria kuwa hivi huyu naye anastahili kuwa hata baba wa familia! Muovu sana huyu mpumbavu… nakiona kilio cha swala dhidi ya simba mkali, fortunately hata simba nao hufa mwisho wa siku…. Ecology kazini…Rais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua.
Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.
Kwanini unatumia nguvu kubwa kiasi hiki kumtetea Magufuli? Soma mada uelewe,acha kuhemka kishabiki,nyie ndo mlimponza Magufuli hadi akafa, mlikuwa mkimwabudu,hadi sasa unamwabudu,unamwona ni mtakatifu kupindukia ambaye hakuwahi kutenda Dhambi.Waseme hao watu ambao Magufuli aliwasababishia hizo shida, lete ushahidi Magufuli alihusikaje? Kama ni kifo hata baba yako atakufa tu, kama alishakufa basi mama ako yupo njiani kwenda kaburini.
Ni zamu yetu na sisi.tumuache mzee apumzike ameshafariki,its over
Hakuna Namna huyu Mzee atapumzika Kwa AmaniRais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua.
Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.
We mchame ni ndezi kweli Unapita kwenye kazi zake halafu unaleta roho mby wew mama yako mmefanya nini ? Wizi? Upuuzi!Apumzike? Unajua kuwa matendo yake yamesababisha wengi sasa hivi pamoja na kuwa hai lakini hawako kwenye mapumziko ila taabu tuu ambazo chanzo ni Magufuli?
Huyu alistahili hata kama kafa kizazi chake ki face consequence ikiwezekana hata tuwatembezee bakora mara moja kila mwezi ili wajute kuwa watoto au wajukuu wa kiumbe cha aina ile badala ya kula pension kutoka kwa jasho letu.
We jamaa ni mpumbavu wa kiwango Cha juu kabisa kuwahi kushuhudiwa katika kizazi hiki.Kwanini unatumia nguvu kubwa kiasi hiki kumtetea Magufuli? Soma mada uelewe,acha kuhemka kishabiki,nyie ndo mlimponza Magufuli hadi akafa, mlikuwa mkimwabudu,hadi sasa unamwabudu,unamwona ni mtakatifu kupindukia ambaye hakuwahi kutenda Dhambi.
Ishu siyo eti kila mtu atakufa, ishu ni umekufaje? Muda wako ulifika au bado?
Magufuli alikuwa jitu ovu, katili la kutisha, na muuaji asiye na huruma kabisa.
Kama angekuwa hai, Kwanza asingeondoka madarakani,pili, angefanya msako nyumba hadi nyumba kusaka wapinzani awaue wote.
Angesababisha Tanzania ivamiwe kijeshi Kama Libya, alikuwa mjinga Kama Idd Amin,alianzisha chuki na wazungu bila sababu kisa tu walimwambia aheshimu
Demokrasia.
Alikuwa Rais wa hovyo kabisa aliyependwa na wajinga .
JPM ndy mwasisi wa Roho mbaya!!Roho mbaya za kitanzania.