Sabaya ni Sura kamili ya Hayati Magufuli

Rais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua.
Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.
Mkuu JPM kafariki mwezi wa tatu tena kuelekea mwishoni wewe mpaka leo unamuandika!!. Tena kwa ubaya!!.
 
Huyo babake Sabaya naye anastahili kuwekwa ndani kwa maovu yake mengi.
Rais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua.
Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.
 
Apumzike? Unajua kuwa matendo yake yamesababisha wengi sasa hivi pamoja na kuwa hai lakini hawako kwenye mapumziko ila taabu tuu ambazo chanzo ni Magufuli?
Huyu alistahili hata kama kafa kizazi chake ki face consequence ikiwezekana hata tuwatembezee bakora mara moja kila mwezi ili wajute kuwa watoto au wajukuu wa kiumbe cha aina ile badala ya kula pension kutoka kwa jasho letu.
Kwani alikufanya nini mpaka unashindwa kupumzika?
 
Rais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua.
Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.
Hata swala wakimuona simba ufikiria kuwa hivi huyu naye anastahili kuwa hata baba wa familia! Muovu sana huyu mpumbavu… nakiona kilio cha swala dhidi ya simba mkali, fortunately hata simba nao hufa mwisho wa siku…. Ecology kazini…
 
Waseme hao watu ambao Magufuli aliwasababishia hizo shida, lete ushahidi Magufuli alihusikaje? Kama ni kifo hata baba yako atakufa tu, kama alishakufa basi mama ako yupo njiani kwenda kaburini.
Kwanini unatumia nguvu kubwa kiasi hiki kumtetea Magufuli? Soma mada uelewe,acha kuhemka kishabiki,nyie ndo mlimponza Magufuli hadi akafa, mlikuwa mkimwabudu,hadi sasa unamwabudu,unamwona ni mtakatifu kupindukia ambaye hakuwahi kutenda Dhambi.
Ishu siyo eti kila mtu atakufa, ishu ni umekufaje? Muda wako ulifika au bado?
Magufuli alikuwa jitu ovu, katili la kutisha, na muuaji asiye na huruma kabisa.
Kama angekuwa hai, Kwanza asingeondoka madarakani,pili, angefanya msako nyumba hadi nyumba kusaka wapinzani awaue wote.
Angesababisha Tanzania ivamiwe kijeshi Kama Libya, alikuwa mjinga Kama Idd Amin,alianzisha chuki na wazungu bila sababu kisa tu walimwambia aheshimu
Demokrasia.
Alikuwa Rais wa hovyo kabisa aliyependwa na wajinga .
 
Rais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua.
Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.
Hakuna Namna huyu Mzee atapumzika Kwa Amani
 
Apumzike? Unajua kuwa matendo yake yamesababisha wengi sasa hivi pamoja na kuwa hai lakini hawako kwenye mapumziko ila taabu tuu ambazo chanzo ni Magufuli?
Huyu alistahili hata kama kafa kizazi chake ki face consequence ikiwezekana hata tuwatembezee bakora mara moja kila mwezi ili wajute kuwa watoto au wajukuu wa kiumbe cha aina ile badala ya kula pension kutoka kwa jasho letu.
We mchame ni ndezi kweli Unapita kwenye kazi zake halafu unaleta roho mby wew mama yako mmefanya nini ? Wizi? Upuuzi!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini unatumia nguvu kubwa kiasi hiki kumtetea Magufuli? Soma mada uelewe,acha kuhemka kishabiki,nyie ndo mlimponza Magufuli hadi akafa, mlikuwa mkimwabudu,hadi sasa unamwabudu,unamwona ni mtakatifu kupindukia ambaye hakuwahi kutenda Dhambi.
Ishu siyo eti kila mtu atakufa, ishu ni umekufaje? Muda wako ulifika au bado?
Magufuli alikuwa jitu ovu, katili la kutisha, na muuaji asiye na huruma kabisa.
Kama angekuwa hai, Kwanza asingeondoka madarakani,pili, angefanya msako nyumba hadi nyumba kusaka wapinzani awaue wote.
Angesababisha Tanzania ivamiwe kijeshi Kama Libya, alikuwa mjinga Kama Idd Amin,alianzisha chuki na wazungu bila sababu kisa tu walimwambia aheshimu
Demokrasia.
Alikuwa Rais wa hovyo kabisa aliyependwa na wajinga .
We jamaa ni mpumbavu wa kiwango Cha juu kabisa kuwahi kushuhudiwa katika kizazi hiki.
Kufa ni moja wapo ya sifa ya kiumbe hai.na so adhabu ya uovu fake unampa shujaa,Mwana wa afrika halisi,jemedari na kiboko ya mafisadi,na majizi mliokuwa mmezoea kuchuma bila kupanda the Great JPM Mwamba wa kanda ya ziwa.

Nitume na manabii wote walikufa,je nikwasababu waligombana na wazungu juu ya democracy?
Shujaa anawafirimba japo kafariki 😂😂
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom