Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,345
- 2,296
In
Intelligence sio Usalama wa Taifa😅😅😅....nimeishia hapo nikahitimisha ni blablaRais wa nchi kupitia Intelligence(Usalama wa Taifa) huwa anajua siri zote za watendaji wake, yaani kuanzia Vice President hadi mkuu wa Wilaya.
Rais anajua tabia zao,mienendo yao yote kwa ujumla anajua.
Sasa Sabaya kahukumiwa kwa kufanya uhalifu wa kila aina, Hayati Magufuli alimjua vizuri sana Sabaya,kuwa ni mtu muovu asiyestahili kuwa hata Baba wa familia,lakini bado alimwacha afanye uovu wake wake, maana yake ni kwamba.
"I embrace him because he walks my ways"
Pumzika kwa amani Magufuli.