Sabaya na Makonda hawastahili kushtakiwa

Sababu kubwa kwanini hawastahili kushitakiwa ni Katiba yetu inatoa mamlaka kubwa sana kwa taasisi ya Urais ,hivyo kila Rais anateua kulingana na mfumo anaotaka kuongoza.

Awamu iliyopita iliamini ukitakuongoza nchi za Afrika ni lazima ulazimishe watu watii amri, wafanye kazi, na hela iingie serikalini kwa Namna yoyote ile ili Miradi mbali mbali iindelee.

Hivyo Viongozi kama kina Sabaya na Makonda waliteuliwa sababu walikuwa na uwezo wa kusimamia hayo aliyo amini Rais

Vivyo hivyo kwa awamu zilipita kuna wateuliwa /watumishi walikuwepo kwa Ajili ya kutumika na Ofisi hiyo, hata Awamu hii kuna ni hivyo hivyo.

Hivyo tukianza kushitakiana:

1. Taasisi hiyo kuna kipindi itakosa watu wa kuitumikia vyema kila mtu atakuwa muoga.

2. Hizo kesi hazitaisha mahakamani ukianza kushitaki kuanzia Awamu ya Kwanza mpaka sasa ni nyingi sana.

Mwisho sio rahisi kama tunavyo chukulia nadhani ambao wameshawahi kuwa viongozi wanaelewa ugumu ulivyo Wewe una plan hivi kuna baadhi ya watu wanakwamisha juhudi hapo ndio inapokuja shida ya kushughulika na hao watu.

Kikubwa hao vijana walikuwa wanafanya kulingana na mfumo ulikuwa unataka nini labda tushitaki mfumo au Katiba kwa kuiipa Madaraka makubwa hiyo Taasisi.
Jinga wewe,hao ni majambazi
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka saaaaana

0200518A-749B-4C06-90CD-0E219ACF141F.jpeg
 
Mimi naonga mkono hoja niujinga kuwashtaki hawa watu Kwan kipindi hicho waliokuwa wanafanya kulikuwa hakuna mahakama huyo Raisi Alikuwa haoni kinachofanyika kimsingi uindwe katiba mpya madaraka yawe na mipaka. Km hivyo wakimaliza kumshtaki Makonda wamshtaki na Mwenda zake hukohuko alipo.
 
Mwanadamu unapoagiza zingatia sheria.

Mungu alitumia mamlaka baada yakuhesabu viroba vya binadamu na wananchi walipohoji walijibiwani WAHAMIAJI HARAMU.
Kwa nchi kama Zetu huku ukifuata sana demokrasia kutoboa kazi
 
Sababu kubwa kwanini hawastahili kushitakiwa ni Katiba yetu inatoa mamlaka kubwa sana kwa taasisi ya Urais ,hivyo kila Rais anateua kulingana na mfumo anaotaka kuongoza.

Awamu iliyopita iliamini ukitakuongoza nchi za Afrika ni lazima ulazimishe watu watii amri, wafanye kazi, na hela iingie serikalini kwa Namna yoyote ile ili Miradi mbali mbali iindelee.

Hivyo Viongozi kama kina Sabaya na Makonda waliteuliwa sababu walikuwa na uwezo wa kusimamia hayo aliyo amini Rais

Vivyo hivyo kwa awamu zilipita kuna wateuliwa /watumishi walikuwepo kwa Ajili ya kutumika na Ofisi hiyo, hata Awamu hii kuna ni hivyo hivyo.

Hivyo tukianza kushitakiana:

1. Taasisi hiyo kuna kipindi itakosa watu wa kuitumikia vyema kila mtu atakuwa muoga.

2. Hizo kesi hazitaisha mahakamani ukianza kushitaki kuanzia Awamu ya Kwanza mpaka sasa ni nyingi sana.

Mwisho sio rahisi kama tunavyo chukulia nadhani ambao wameshawahi kuwa viongozi wanaelewa ugumu ulivyo Wewe una plan hivi kuna baadhi ya watu wanakwamisha juhudi hapo ndio inapokuja shida ya kushughulika na hao watu.

Kikubwa hao vijana walikuwa wanafanya kulingana na mfumo ulikuwa unataka nini labda tushitaki mfumo au Katiba kwa kuiipa Madaraka makubwa hiyo Taasisi.
Unawezaje kuandika upumbafu mkubwa hivi?? Alafu utakuta umefika lasaba!!

-Mtu yanakula rushwa unasema aachwe kwakuwa ni mfumo?
-Mtu anahujumu uchumi aachwe Lisa nimfumo.
-Mtu anaharibu investment zawatu aachwe kisa nimfumo?
-Amenyanyasa watu kuwachafua na kuwafunga bila kesi unatuambia aachwe?
-Jitu limeteka watu kipumbafu na kuwatesa tuliache kisa mfumo?
-Kunatuhuma jitu liliua na kupiga Mtu risasi tumwache kisa???
Achaga kutuandikia ujinga huku koma kutumika mjinga mmoja wewe!!
 
Naomba asikari jera mnaomhudumia sabaya muendelee kumgongesha virungu, na akabidhiwe nyampala limbikiri kabisa.

Makonda akitiwa nguvuni nitajicholesha kwa kosa la uzurulaji ili nile miez 3 nikambikiri bashite matako.
Chadema na ufirj naona ndo sera yenu.
 
Unawezaje kuandika upumbafu mkubwa hivi?? Alafu utakuta umefika lasaba!!

-Mtu yanakula rushwa unasema aachwe kwakuwa ni mfumo?
-Mtu anahujumu uchumi aachwe Lisa nimfumo.
-Mtu anaharibu investment zawatu aachwe kisa nimfumo?
-Amenyanyasa watu kuwachafua na kuwafunga bila kesi unatuambia aachwe?
-Jitu limeteka watu kipumbafu na kuwatesa tuliache kisa mfumo?
-Kunatuhuma jitu liliua na kupiga Mtu risasi tumwache kisa???
Achaga kutuandikia ujinga huku koma kutumika mjinga mmoja wewe!!
Ni maagizo kutoka juu mkuu
 
Sababu kubwa kwanini hawastahili kushitakiwa ni Katiba yetu inatoa mamlaka kubwa sana kwa taasisi ya Urais ,hivyo kila Rais anateua kulingana na mfumo anaotaka kuongoza.

Awamu iliyopita iliamini ukitakuongoza nchi za Afrika ni lazima ulazimishe watu watii amri, wafanye kazi, na hela iingie serikalini kwa Namna yoyote ile ili Miradi mbali mbali iindelee.

Hivyo Viongozi kama kina Sabaya na Makonda waliteuliwa sababu walikuwa na uwezo wa kusimamia hayo aliyo amini Rais

Vivyo hivyo kwa awamu zilipita kuna wateuliwa /watumishi walikuwepo kwa Ajili ya kutumika na Ofisi hiyo, hata Awamu hii kuna ni hivyo hivyo.

Hivyo tukianza kushitakiana:

1. Taasisi hiyo kuna kipindi itakosa watu wa kuitumikia vyema kila mtu atakuwa muoga.

2. Hizo kesi hazitaisha mahakamani ukianza kushitaki kuanzia Awamu ya Kwanza mpaka sasa ni nyingi sana.

Mwisho sio rahisi kama tunavyo chukulia nadhani ambao wameshawahi kuwa viongozi wanaelewa ugumu ulivyo Wewe una plan hivi kuna baadhi ya watu wanakwamisha juhudi hapo ndio inapokuja shida ya kushughulika na hao watu.

Kikubwa hao vijana walikuwa wanafanya kulingana na mfumo ulikuwa unataka nini labda tushitaki mfumo au Katiba kwa kuiipa Madaraka makubwa hiyo Taasisi.
Nani sasa anastahili kushitakiwa?
 
Mbona viongozi wengine hawakupora watu na kuua na bado walikuwepo? Usitake kuhalalisha uchafu kwa kisingizio cha kutii mamlaka. Huyo waliyekuwa wanamtii alikuwa ni muovu mwenye madaraka, walipaswa kufanya kazi kwa mujibu sheria, na sio boss wako anataka utende uovu gani.
Kiongozi yupi ambae hakupora ?
 
Back
Top Bottom