Sabaya na Makonda hawastahili kushtakiwa

Alishtakiwa Mramba,Mahalu tena kwa makosa yasiyo dhahiri ya matumizi mabaya ya madaraka, huyo Makonda na Sabaya ni nani? tena wana makosa ya Ujambazi na Unyang"anyi na dhuluma hadi ku rape halafu mtu mjinga kama wewe unaleta upunguani unaandika ushenzi humu.
Kwani mbona jiwe alifunga watu wengi kwa kisingizio cha uhujumi uchumi kisa tu kulipiza visasi.
Ninyi sukuma GANG hamna nafasi tena tulia mumeo makonda siku zinahesabika
Waziri nalaila kiula na katibu mkuu wake Dr. Mlingwa, sembuse Hawa simbilisi? Shida ya hao vijana wa Sasa wanokuja na comment za ajabu humu hawajui chochote. Hawa Wana uwezo wa kuchangia habari za diamond, zuchu, kiba, manara kwa Mambo ya nchi hawajui kabisa
 
Pamoja na Kina hapi Gambo

Mbona viongozi wengine hawakupora watu na kuua na bado walikuwepo? Usitake kuhalalisha uchafu kwa kisingizio cha kutii mamlaka. Huyo waliyekuwa wanamtii alikuwa ni muovu mwenye madaraka, walipaswa kufanya kazi kwa mujibu sheria, na sio boss wako anataka utende uovu gani.
 
Sababu kubwa kwanini hawastahili kushitakiwa ni Katiba yetu inatoa mamlaka kubwa sana kwa taasisi ya Urais ,hivyo kila Rais anateua kulingana na mfumo anaotaka kuongoza.

Awamu iliyopita iliamini ukitakuongoza nchi za Afrika ni lazima ulazimishe watu watii amri, wafanye kazi, na hela iingie serikalini kwa Namna yoyote ile ili Miradi mbali mbali iindelee.

Hivyo Viongozi kama kina Sabaya na Makonda waliteuliwa sababu walikuwa na uwezo wa kusimamia hayo aliyo amini Rais

Vivyo hivyo kwa awamu zilipita kuna wateuliwa /watumishi walikuwepo kwa Ajili ya kutumika na Ofisi hiyo, hata Awamu hii kuna ni hivyo hivyo.

Hivyo tukianza kushitakiana:

1. Taasisi hiyo kuna kipindi itakosa watu wa kuitumikia vyema kila mtu atakuwa muoga.

2. Hizo kesi hazitaisha mahakamani ukianza kushitaki kuanzia Awamu ya Kwanza mpaka sasa ni nyingi sana.

Mwisho sio rahisi kama tunavyo chukulia nadhani ambao wameshawahi kuwa viongozi wanaelewa ugumu ulivyo Wewe una plan hivi kuna baadhi ya watu wanakwamisha juhudi hapo ndio inapokuja shida ya kushughulika na hao watu.

Kikubwa hao vijana walikuwa wanafanya kulingana na mfumo ulikuwa unataka nini labda tushitaki mfumo au Katiba kwa kuiipa Madaraka makubwa hiyo Taasisi.
Kwa kuwa uliwapa kazi maalumu sio?
 
Kila awamu ina namna ya kuongoza Awama iliyopita imefanya Mazuri na kuna Mabaya ni katika kuongoza hicho ndicho ambacho walikuwa wanakiamini .kila awamu ikishitaki iliyopita tutamaliza sana pesa hela huko Mahakamani na haijakaa vizuri .

Tunashukuru kwa hayo mazuri, ambayo sisi tunaona sio mazuri bali wajibu, maana walikuwa wanalipwa mishahara. Na sasa acha tuchukue hatua kwa huo uovu waliofanya kwa kisingizio cha boss wao alitaka nini.
 
Mbona viongozi wengine hawakupora watu na kuua na bado walikuwepo? Usitake kuhalalisha uchafu kwa kisingizio cha kutii mamlaka. Huyo waliyekuwa wanamtii alikuwa ni muovu mwenye madaraka, walipaswa kufanya kazi kwa mujibu sheria, na sio boss wako anataka utende uovu gani.
Kabisa, kwa hiyo.boss wao akiwaambia waibie na kuua watu ni sawa?
 
Sababu kubwa kwanini hawastahili kushitakiwa ni Katiba yetu inatoa mamlaka kubwa sana kwa taasisi ya Urais ,hivyo kila Rais anateua kulingana na mfumo anaotaka kuongoza.

Awamu iliyopita iliamini ukitakuongoza nchi za Afrika ni lazima ulazimishe watu watii amri, wafanye kazi, na hela iingie serikalini kwa Namna yoyote ile ili Miradi mbali mbali iindelee.

Hivyo Viongozi kama kina Sabaya na Makonda waliteuliwa sababu walikuwa na uwezo wa kusimamia hayo aliyo amini Rais

Vivyo hivyo kwa awamu zilipita kuna wateuliwa /watumishi walikuwepo kwa Ajili ya kutumika na Ofisi hiyo, hata Awamu hii kuna ni hivyo hivyo.

Hivyo tukianza kushitakiana:

1. Taasisi hiyo kuna kipindi itakosa watu wa kuitumikia vyema kila mtu atakuwa muoga.

2. Hizo kesi hazitaisha mahakamani ukianza kushitaki kuanzia Awamu ya Kwanza mpaka sasa ni nyingi sana.

Mwisho sio rahisi kama tunavyo chukulia nadhani ambao wameshawahi kuwa viongozi wanaelewa ugumu ulivyo Wewe una plan hivi kuna baadhi ya watu wanakwamisha juhudi hapo ndio inapokuja shida ya kushughulika na hao watu.

Kikubwa hao vijana walikuwa wanafanya kulingana na mfumo ulikuwa unataka nini labda tushitaki mfumo au Katiba kwa kuiipa Madaraka makubwa hiyo Taasisi.
Kwanza tunafurahi sana kujua kwamba kwa sasa takwa la KATIBA MPYA ni muhimu sana, kwa hiyo waeleze wana CCM walitambue hilo.

Pili Jinai ni Jinai tu, ni lazima kiongozi wa umma ufanye kazi kulingana na Sheria za nchi, huwezi kutesa wananchi wasio na hatia kisa tu eti umetumwa pesa na Rais, kwanza hakuna DC am RC ambaye kazi yake ni kukusanya kodi ama madeni ya serikali - kwa hiyo hao wawili moto huu upo juu yao - wajibu yote waliyoyafanya sababu Sheria kwao haina kinga kama alivyo Rais na wengineo ambao wameingizwa majuzi kuogopa moto wakishatoka madarakani.

Mwisho ndugu jiunge nasi kutangaza umuhimu wa KATIBA MPYA leo na si kesho, madhara yake yameonekana wazi - madaraka ya Rais ni kufuru, Kwa mfano Rais akiwaambia TISS kwamba hataki kukuona wewe ukiisumbua Serikali yake sasa whether unaongea ukweli, urongo aisee sijui kama utafika saa 11 jioni - haya ni madaraka makubwa mno.

Vijana walioko madarakani leo naona tayari wamejifunza jambo.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Kwanza tunafurahi sana kujua kwamba kwa sasa takwa la KATIBA MPYA ni muhimu sana, kwa hiyo waeleze wana CCM walitambue hilo.

Pili Jinai ni Jinai tu, ni lazima kiongozi wa umma ufanye kazi kulingana na Sheria za nchi, huwezi kutesa wananchi wasio na hatia kisa tu eti umetumwa pesa na Rais, kwanza hakuna DC am RC ambaye kazi yake ni kukusanya kodi ama madeni ya serikali - kwa hiyo hao wawili moto huu upo juu yao - wajibu yote waliyoyafanya sababu Sheria kwao haina kinga kama alivyo Rais na wengineo ambao wameingizwa majuzi kuogopa moto wakishatoka madarakani.

Mwisho ndugu jiunge nasi kutangaza umuhimu wa KATIBA MPYA leo na si kesho, madhara yake yameonekana wazi - madaraka ya Rais ni kufuru, Kwa mfano Rais akiwaambia TISS kwamba hataki kukuona wewe ukiisumbua Serikali yake sasa whether unaongea ukweli, urongo aisee sijui kama utafika saa 11 jioni - haya ni madaraka makubwa mno.

Vijana walioko madarakani leo naona tayari wamejifunza jambo.
Umeeleweka mkuu
 
Sababu kubwa kwanini hawastahili kushitakiwa ni Katiba yetu inatoa mamlaka kubwa sana kwa taasisi ya Urais ,hivyo kila Rais anateua kulingana na mfumo anaotaka kuongoza.

Awamu iliyopita iliamini ukitakuongoza nchi za Afrika ni lazima ulazimishe watu watii amri, wafanye kazi, na hela iingie serikalini kwa Namna yoyote ile ili Miradi mbali mbali iindelee.

Hivyo Viongozi kama kina Sabaya na Makonda waliteuliwa sababu walikuwa na uwezo wa kusimamia hayo aliyo amini Rais

Vivyo hivyo kwa awamu zilipita kuna wateuliwa /watumishi walikuwepo kwa Ajili ya kutumika na Ofisi hiyo, hata Awamu hii kuna ni hivyo hivyo.

Hivyo tukianza kushitakiana:

1. Taasisi hiyo kuna kipindi itakosa watu wa kuitumikia vyema kila mtu atakuwa muoga.

2. Hizo kesi hazitaisha mahakamani ukianza kushitaki kuanzia Awamu ya Kwanza mpaka sasa ni nyingi sana.

Mwisho sio rahisi kama tunavyo chukulia nadhani ambao wameshawahi kuwa viongozi wanaelewa ugumu ulivyo Wewe una plan hivi kuna baadhi ya watu wanakwamisha juhudi hapo ndio inapokuja shida ya kushughulika na hao watu.

Kikubwa hao vijana walikuwa wanafanya kulingana na mfumo ulikuwa unataka nini labda tushitaki mfumo au Katiba kwa kuiipa Madaraka makubwa hiyo Taasisi.
Wacha Makonda na Sabaya pamoja na wengine wajifunze kutumia madaraka yao vizuri, walikuwa watu hovyo sana na walifurahia utawala dhalimu uliokuwepo.
 
Sababu kubwa kwanini hawastahili kushitakiwa ni Katiba yetu inatoa mamlaka kubwa sana kwa taasisi ya Urais ,hivyo kila Rais anateua kulingana na mfumo anaotaka kuongoza.

Awamu iliyopita iliamini ukitakuongoza nchi za Afrika ni lazima ulazimishe watu watii amri, wafanye kazi, na hela iingie serikalini kwa Namna yoyote ile ili Miradi mbali mbali iindelee.

Hivyo Viongozi kama kina Sabaya na Makonda waliteuliwa sababu walikuwa na uwezo wa kusimamia hayo aliyo amini Rais

Vivyo hivyo kwa awamu zilipita kuna wateuliwa /watumishi walikuwepo kwa Ajili ya kutumika na Ofisi hiyo, hata Awamu hii kuna ni hivyo hivyo.

Hivyo tukianza kushitakiana:

1. Taasisi hiyo kuna kipindi itakosa watu wa kuitumikia vyema kila mtu atakuwa muoga.

2. Hizo kesi hazitaisha mahakamani ukianza kushitaki kuanzia Awamu ya Kwanza mpaka sasa ni nyingi sana.

Mwisho sio rahisi kama tunavyo chukulia nadhani ambao wameshawahi kuwa viongozi wanaelewa ugumu ulivyo Wewe una plan hivi kuna baadhi ya watu wanakwamisha juhudi hapo ndio inapokuja shida ya kushughulika na hao watu.

Kikubwa hao vijana walikuwa wanafanya kulingana na mfumo ulikuwa unataka nini labda tushitaki mfumo au Katiba kwa kuiipa Madaraka makubwa hiyo Taasisi.
Nao walimpenda shetani
 
Hawa wanastahili Tena adhabu iwe nzito tu waliyoyafanya Ni ya kishetani sana
 
Kwanza tunafurahi sana kujua kwamba kwa sasa takwa la KATIBA MPYA ni muhimu sana, kwa hiyo waeleze wana CCM walitambue hilo.

Pili Jinai ni Jinai tu, ni lazima kiongozi wa umma ufanye kazi kulingana na Sheria za nchi, huwezi kutesa wananchi wasio na hatia kisa tu eti umetumwa pesa na Rais, kwanza hakuna DC am RC ambaye kazi yake ni kukusanya kodi ama madeni ya serikali - kwa hiyo hao wawili moto huu upo juu yao - wajibu yote waliyoyafanya sababu Sheria kwao haina kinga kama alivyo Rais na wengineo ambao wameingizwa majuzi kuogopa moto wakishatoka madarakani.

Mwisho ndugu jiunge nasi kutangaza umuhimu wa KATIBA MPYA leo na si kesho, madhara yake yameonekana wazi - madaraka ya Rais ni kufuru, Kwa mfano Rais akiwaambia TISS kwamba hataki kukuona wewe ukiisumbua Serikali yake sasa whether unaongea ukweli, urongo aisee sijui kama utafika saa 11 jioni - haya ni madaraka makubwa mno.

Vijana walioko madarakani leo naona tayari wamejifunza jambo.
ni kweli lakin tuanze upya hizi kesi zinatumalizia pesa tu
 
Sabaya na Makonda hawastahili kushtakiwa bali wanastahili kunyongwa hadi kufa

9EB8DD9E-88C0-4DCE-ACD3-CF918922DC4C.png
 
Sababu kubwa kwanini hawastahili kushitakiwa ni Katiba yetu inatoa mamlaka kubwa sana kwa taasisi ya Urais ,hivyo kila Rais anateua kulingana na mfumo anaotaka kuongoza.

Awamu iliyopita iliamini ukitakuongoza nchi za Afrika ni lazima ulazimishe watu watii amri, wafanye kazi, na hela iingie serikalini kwa Namna yoyote ile ili Miradi mbali mbali iindelee.

Hivyo Viongozi kama kina Sabaya na Makonda waliteuliwa sababu walikuwa na uwezo wa kusimamia hayo aliyo amini Rais

Vivyo hivyo kwa awamu zilipita kuna wateuliwa /watumishi walikuwepo kwa Ajili ya kutumika na Ofisi hiyo, hata Awamu hii kuna ni hivyo hivyo.

Hivyo tukianza kushitakiana:

1. Taasisi hiyo kuna kipindi itakosa watu wa kuitumikia vyema kila mtu atakuwa muoga.

2. Hizo kesi hazitaisha mahakamani ukianza kushitaki kuanzia Awamu ya Kwanza mpaka sasa ni nyingi sana.

Mwisho sio rahisi kama tunavyo chukulia nadhani ambao wameshawahi kuwa viongozi wanaelewa ugumu ulivyo Wewe una plan hivi kuna baadhi ya watu wanakwamisha juhudi hapo ndio inapokuja shida ya kushughulika na hao watu.

Kikubwa hao vijana walikuwa wanafanya kulingana na mfumo ulikuwa unataka nini labda tushitaki mfumo au Katiba kwa kuiipa Madaraka makubwa hiyo Taasisi.
Tatizo tuna rais wale wafadhili wa nje wa ngo yake ndio anaongea nao kila siku kwa simu. Utasikia 'tony blair was here last week' wakati mtu huyo ni kibaka mtumishi wa ubeberu. Au kazungumza kwa simu na mkuu wa world bank etc.
Hatuhitaji mtu anasngalia nje jinsi ya kuendesha nchi yetu.
 
Back
Top Bottom