Waziri nalaila kiula na katibu mkuu wake Dr. Mlingwa, sembuse Hawa simbilisi? Shida ya hao vijana wa Sasa wanokuja na comment za ajabu humu hawajui chochote. Hawa Wana uwezo wa kuchangia habari za diamond, zuchu, kiba, manara kwa Mambo ya nchi hawajui kabisaAlishtakiwa Mramba,Mahalu tena kwa makosa yasiyo dhahiri ya matumizi mabaya ya madaraka, huyo Makonda na Sabaya ni nani? tena wana makosa ya Ujambazi na Unyang"anyi na dhuluma hadi ku rape halafu mtu mjinga kama wewe unaleta upunguani unaandika ushenzi humu.
Kwani mbona jiwe alifunga watu wengi kwa kisingizio cha uhujumi uchumi kisa tu kulipiza visasi.
Ninyi sukuma GANG hamna nafasi tena tulia mumeo makonda siku zinahesabika