Awamu ile ushamba ulikubuhu sana hata mbinu zilikua za kishamba tu .
Watu waliweka kura kwenye hotpot ikawa mara ya kwanza tangu kuasisiwa kwa nchi ya Tanzania.
Mitandao ikawekwa kapuni siku 6 tukafanana na nchi zilizokubuhu kwa udikteta zilizokuwa zikifanya tangu awali na watanzania walikua wakisikia ndipo walionja machungu
Watu waliweka kura kwenye hotpot ikawa mara ya kwanza tangu kuasisiwa kwa nchi ya Tanzania.
Mitandao ikawekwa kapuni siku 6 tukafanana na nchi zilizokubuhu kwa udikteta zilizokuwa zikifanya tangu awali na watanzania walikua wakisikia ndipo walionja machungu