Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Mi naamini wabunge wa chadema wote wa dar walishinda ispokuw temeke ambapo ni ngome ya ccm.
Wakurugrnzi waliambiwa watangaze wanaccm hivyohivyo come what may. Mfano imedhihirika wazi mbowe alishinda ila kwa vile sabaya aliagizwa kwa kazi maalumu ya kuchinja, kuteka na kuua isingekuwa rahisi mbowe kutangazwa.
Makonda naye alifanya hivyohivyo kwa mkoa wa dar.
Ama kweli tulikuwa tunakngozwa na shetani na mungu akaamua kuingilia kati.
Wakurugrnzi waliambiwa watangaze wanaccm hivyohivyo come what may. Mfano imedhihirika wazi mbowe alishinda ila kwa vile sabaya aliagizwa kwa kazi maalumu ya kuchinja, kuteka na kuua isingekuwa rahisi mbowe kutangazwa.
Makonda naye alifanya hivyohivyo kwa mkoa wa dar.
Ama kweli tulikuwa tunakngozwa na shetani na mungu akaamua kuingilia kati.