Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,382
Iko wazi kuwa Magu alikuwa kiongozi muovu, hao akina Sabaya wanadhihirisha tu kile kinachofahamika na wengi. Ukweli ni kuwa nchi hii iliangukia mikononi mwa mtu dhalimu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagikaHizi tuhuma ambazo zinatolewa na Sabaya kuwa mamlaka ya uteuzi ilihusika kumpa kazi maalumu kisha tuhuma za uhalifu zikatokea ni aibu kwa taifa letu.
Ikulu ambayo ndio mahala pa kuonyesha mamka ya wananchi kuwageuka wananchi na kumtuma Sabaya kufanya uhalifu ni aibu kubwa na fedheha kwa taifa letu.
Yaani wananchi wanapiga kura kisha kuteua mtu ambaye anapewa mamlaka ya kuwa rais ili aongoze taifa kwa niaba ya watanzania wote, alafu anatuma mtu au watu maalulu ili kwenda kutesa na kupora kwa kutumia siraha.
Hii ni aibu na fedheha kwa taifa letu.