Hukumu za kihuni zimeishia Awamu ya laana.Zamu ya Gaidi inakuja
Pia ni fundisho kwa Chawa waliosalia,na haswa walojificha nyuma ya Mpango na Majaliwa.Atakuwa anajuta na kulia sana pale kisongo
Hivi umewaza kuwa tuhuma za Mbowe ni kutaka kumua mtumishi wa serikali, ambaye ni huyu Jambazi Sabaya, mnyang’anyi , mtesaji, mkata watu masikio, mpigilia watu misumari..?!Zamu ya Gaidi inakuja
Sawa hatuikatai zamu ya gaidi na ije haraka tena tuone kama mtaweza kuishuhudia Dunia itakavyosimama kupitia jumuiya ya kimataifaZamu ya Gaidi inakuja
Huyo yupo yupo tu ili mradi alizaliwa.Hivi umewaza kuwa tuhuma za Mbowe ni kutaka kumua mtumishi wa serikali, ambaye ni huyu Jambazi Sabaya, mnyang’anyi , mtesaji, mkata watu masikio, mpigilia watu misumari..?!
Au upo upo tu kama kuku aliekatwa kichwa.
Ipo siku hata mawe yataongea kuwa mh Mbowe siyo gaidi.Inafikirisha sana jinsi Samia anavyoishi na hawa watesaji , wanyang’anyi na wauaji. Sukuma GANG , wamemuondelea hesima kwa jamii kwenye kesi ya Mbowe.
Sabaya amevamia hotel usiku ili amuue Mbowe, Sabaya huyo huyo aliposhindwa kumuua Mbowe akashirikiana na kina Kingai wakaandaa kesi ya Ugaidi kwa Mbowe.
Sukuma GANG wakamletea Samia BBC aseme ushahidi upo Mbowe Gaidi.
Yaani Mbowe alitaka kumua Sabaya aliehukumiwa miaka30 jela.
Mkuu kubishana na hao sukuma Ganga kunahitajika moyo wa chuma.Sawa hatuikatai zamu ya gaidi na ije haraka tena tuone kama mtaweza kuishuhudia Dunia itakavyosimama kupitia jumuiya ya kimataifa
Ndio mtajua hamjui ...
Na UCCM wenu jeuri hiyo hamna ...
Watu wana msemo kuwa maneno tanaumba.
Sabaya alitoa haya maneno pale mkoani Kilimanjaro na wana Kilimanjaro tukapigwa na mshangao mkubwa.
Kweli maneno uumba.
..View attachment 1979437