Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,803
Huyu bora akae uko maana wakimleta uraiani lazima atafanyiwa kitu sio ya kisheria na raia,labda wampe ulinzi 24/7 maisha yake yote,the dude is very stupid
Huyu bora akae uko maana wakimleta uraiani lazima atafanyiwa kitu sio ya kisheria na raia,labda wampe ulinzi 24/7 maisha yake yote,the dude is very stupid
Mjinga gani aandae tukio kubwa kwa ajili ya mtu duni kama Sabaya ? wadanganye wajingaAcheni kupoteza muda Wenu fanyeni Kazi za Kuendeleza Familia zenu Kimaendeleo huyu Ole Sabaya hatofungwa na Kesi zote atazipangua ila mtazugwa kwa Yeye kuwa huko Rumande mpaka pale Tukio Kubwa na Baya litakapoandaliwa 'Kimkakati' na Wananchi wengi kuhangaika nalo Kulijadili kwa Mihemko na Kudemka kisha Yeye anaachiwa Huru.
joined july 3 2021juzi si kaachiwa huru? why?
mwanzo mbaya
wewe kila siku unajipa moyo, uko nje maisha ni tofauti kabisa na jumu JF
wewe sio siasa tu hata personal life ni mtu wa kukosakosa, kushindwa na kuishi kwa hasira hasira
Huko Hai kuna mashoga? walitakiwa kuwa washamuua sabaya miaka mingi sana...why yuko hai? na Hai ni kitovu cha ujambazi na ugaidi nchini..(unabisha)???
Sabaya alifanya kazi vyema kabisa
Wala hafungwi, pambana kuongeza kipato tozo isikuumize, maana mlimsema JPM ...mkajua mama atawakumbatia kumbe balaa
Thats why kila post yako ni stress tu zinakusumbua
Kuna Shahid ambae ni diwani wa CCM kata ya sombetiniMashahidi pia ni mateja wa mbowe, wakiulizwa maswali tu wana lala mbele,
Kuwepo kwingi kwa mashahidi uchwala sio ushindi wa kesi.
Ni kweli Sabaya hana umuhimu huo katika chama wala Serikali kiasi cha kuandaliwa tukio la kumuachia huru. Huyu ni jambazi tu na kwa kibri kubwa akiamini kuwa aliyemtuma ataishi milele aliacha alama nyingi sana katika matukio yake. Ukikubali kutumika kiboya ujue mambo yakiharibika huo ni mzigo wako mwenyewe.Mjinga gani aandae tukio kubwa kwa ajili ya mtu duni kama Sabaya ? wadanganye wajinga
MUNGU anadeal na makubwa zaidi ya hayo!!
Umeandika ukiwa umekalia nini??Mpuuzi wewe
Sabaya na mnavyomsema hivi, mngemuua siku nyingi
wewe unanunua chuki za kuambiwa, ndio maana unaongea utumbo
mtaani vibaka wanachomwa moto, sabaya na ubaya wake kwa nini yuko hai mpaka leo hii? kwani nyie mashoga? yaani Sabaya alikufira kwa nguvu unasubiri serikali imfunge??
aidha tuhuma ni uongo mtupu
kama za kweli, jimbo la Hai wote wewe na wazee wako mashoga ..aje tarime aone
Tafuta mume mwingine dada, Sabaya hatoki tenaMkuu hili jamaa linatoboa vizuri tu.
Mda utaongea.