Wengine kina musiba walikuwa wanapepetKama ni kweli hao wengine tunaojua walifanya mabaya zaidi ya Sabaya hawatashitakiwa basi nami nabashiri kuwa Sabaya hata tumikia hicho kifungo kwa muda mrefu, atapata msamaha!!!
Ni kweli kabisa kwani mimi nina mfano hai wa Mkuu wa mkoa mstaafu anadai malipo yake toka halmashauri ya HAI zaidi ya miaka 10 na kila anapodai anapigwa chenga!!! It can only happen in Tanzania ambako retirees are never respected!!lakini kwa hapa Tanzania mimi nimeishi miaka ya kutosha siamini kama aliyedhulumiwa na serikali zetu anaweza kupata haki.
Unatumikia serikali kwa kufanya ujambazi!?vuna ulichopanda
..ukiona mwana-ccm anashtakiwa ujue kuna mahali aligusa hakutakiwa aguse.
No doubt. Ndio maana sijashangilia sana kukamatwa kwa Lengai kwa sababu hakujabadilisha chochote...mbona wenzake waliodhulumu na kuumiza wapinzani wanaendelea kudunda mtaani?
Why him and not anybody else?
Acha Wahuni wamgongee demu wake kwanza
Pumbavu mkubwa. Pimbi mburula huna akili.Hakunya?
Matacore Ni muda wowote..i don't think so.
..hutasikia yeyote akishitakiwa zaidi ya sabaya.
Alikuambukiza weweKumbe alikuambukiza VVU?
JAMBAZI kapora wafanya biashara pesa na mali zao, anataka wamchekee. Wangemfukia akiwa hai.Chuki za kupambana na Chadema weka kando mama. Jikite na kesi husika.
Usipende kunizoea mjinga weye!Endelea.Pumbavu mkubwa. Pimbi mburula huna akili.