MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,587
Utetezi pekee alioweza kuutoa mahakamani kijana wetu Sabaya ni kuwa alitumwa na hata aliyekua makamu wa raisi (Na sasa ni raisi) alikua akifahamu. Hii ina maana Sabaya alikubali kufanya matendo yote yake aliyoshitakiwa nayo.
Kama Sabaya amepigwa mvua mchana kweupe tena mbele ya waliokua wanamtuma wewe ni nani hasa uendekee kufanya ujinga eti umetumwa? Vijana tulieni na mfanye kazi kwa weledi.
Kama Sabaya amepigwa mvua mchana kweupe tena mbele ya waliokua wanamtuma wewe ni nani hasa uendekee kufanya ujinga eti umetumwa? Vijana tulieni na mfanye kazi kwa weledi.