babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Hili ndilo Maza kaliona nakulitolea neno wasije kuiabisha seriali ya awamu ya sitaIGP Sirro na Ole Sabaaya kama watatoa ushahidi basi ndio watakaompa ushindi Freeman Mbowe katika kesi hii.
Hili ndilo Maza kaliona nakulitolea neno wasije kuiabisha seriali ya awamu ya sitaIGP Sirro na Ole Sabaaya kama watatoa ushahidi basi ndio watakaompa ushindi Freeman Mbowe katika kesi hii.
Katika utetezi wake Sabaya alidai kuwa alikuwa na maadui wengi wa kisiasa huko Hai na walitaka kumuua ndio maana alikuwa akimiliki bastola aina ya Glock 17. Na ameenda mbali akadai hata kesi yake ni fabricated sababu hao maadui zake walipanga kummaliza kisiasa.
Tumepigwa na butwaa kumbe maadui wa Sabaya ni Mbowe na genge lake. Sasa wapo mahakamani kwa tuhuma za kutaka kumdhuru Sabaya na ugaidi.
Mmoja wa mashaidi wa utetezi ni Sabaya Ole Sangai. Je akifika mahakani akasema Mbowe na wenzake walipanga kumuua na kumdhuru utetezi wa akina Mbowe utakaa vipi?
N.b Sabaya alimshughulikia kisiasa Mbowe huko Hai mpaka akanyoosha mikono.
Keshaanza kujipendekeza eti kesi ya mbowe Ni nyepesi Kama pamba, anataka aseme anakuja kumtoa Mbowe kumbe anarudi mazima.,beberu limeona hana dili tena,.Hana miaka 2,lazima arudi tz,maana maisha yatakuwa magumu