Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,253
Anasikitika kuwa huu ndiyo mwisho wa ukatili.
Anasikitika kuwa huu ndiyo mwisho wa ukatili.
Madaraka matamu huwa wanasahau kuna kuucha huu Ulimwengu na vitu vyakeChozi hilo lina mengi ya kuongea
Na wauaji huwa wanaumia kumbe
Sio anakumbukia aliyoyafanya kwa wafanyabiashara hai,anajutia.Hapo wala hayupo msibani.Anakumbukia ya Arusha 333a.Sabaya ana historia mbaya sana, na hayo machozi ni ya kinafiki tu.
Mtu mzima ganiUkiona mtu mzima analia?????......,...... Kuna jambo......
Huyu mtu ashughulikiwe mapema sana. Ni alama ya uongozi dhalimu uliondolewa na mungu.
DUA LA KUKUI hope Mama Samia ataachana na vijana wa hovyo-hovyo kama Ole Sabaya.
Mama atafute vijana wenye weledi watakaolisaidia taifa mbele ya safari.
Sasa hivi hakuna wapinzani tena wa kushughulikiwa, maana yake Sabaya na wenzake wataanza kushughulika na wana-CCM.
Sana yaan, ma CCM mengi yangekuwa na uelewa wa Mtaka hii nchi ingekuwa mbali sana. Ni mwelewa mnoo Yan.Mtaka apewe u VP yupo poa
Sidhani kama mama Samia atapenda kufanya kazi na watu kama sabaya, maadili ni zeroMnaweza mkashangaa anapanda kuwa mkuu wa mkoa kama Makonda alivyopanda kutoka ukuu wa wilaya enzi za JK hadi ukuu wa mkoa enzi za JPM, lets be smart and optimistic.
Just to inform you tu kwamba pale juu; Dini huwa ni kwenye Public; kunako vikao na baadh ya utekelezaji wa mambo fulanifulani Udini sana hautakiwi; Ndio maana Hata muslim wa Pale huwa lazima asiwe na Itikadi kali sana, na Christian sio Deep Christian ( Mtu anayeweza kufanya balance ya mambo); SIo uingie pale uanze mambo ya Roho mtakatifu amenisemesha blah blah noUsisahau kuwa the New President ni True Muslim
Tena analia jicho moja kama ndugu yake musiba?Ukiona mtu mzima analia mbele za watu ujue kuna jambo
Kumbe naye kuna wakati anapata maumivu hadi kulia! Wajifunze kuwathamini watu na utu wao. Hovyo kabisa watu wa aina hii.
Mama Samia anampenda sana Paul Makonda nasubiri muda unipe jibu la yafuatayo.I hope Mama Samia ataachana na vijana wa hovyo-hovyo kama Ole Sabaya.
Mama atafute vijana wenye weledi watakaolisaidia taifa mbele ya safari.
Sasa hivi hakuna wapinzani tena wa kushughulikiwa, maana yake Sabaya na wenzake wataanza kushughulika na wana-CCM.
Mama Samia ni mafia kama mafia wengine wa ccmUsisahau kuwa the New President ni True Muslim na Hana Roho ya Ukatili. Atasikia manung'iko juu ya dhuluma na atafanyia kazi. Mark my Words! Uzi ubaki
Alimteka Diwani wa Sombetini kwa masaa kadha,huku Diwani akipatiwa kichapo cha mbwa mwizi.Wizi na ubabe anaoufanya jijini Arusha kila mwisho wa wiki bila kukamatwa sasa umefika ukingoni.