MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,341
- 11,227
Oooh, Nilidhani ni maasaiAjiandae kisaikolojja. Nasikia ni Meru wa West Kilimanjaro, akalime bangi
Oooh, Nilidhani ni maasaiAjiandae kisaikolojja. Nasikia ni Meru wa West Kilimanjaro, akalime bangi
Mimi Nadhani Ni mmang'atiAjiandae kisaikolojja. Nasikia ni Meru wa West Kilimanjaro, akalime bangi
Hawa ndiyo wanaweza kuwa tatizo kubwa kwa Rais SSH.
Nadhani atakuwa katangulia chato kufunga turubai na kuangalia jikoni kunaendeleaje.Swali la ziada, Yu wapi Paul Christian Makonda?
Kuna vijana weledi, wana heshima na ni watendaji wazuri tu kama yule wa Mwanza, RC Mongella, na yule RC Mtaka wa Simiyu.I hope Mama Samia ataachana na vijana wa hovyo-hovyo kama Ole Sabaya.
Mama atafute vijana wenye weledi watakaolisaidia taifa mbele ya safari.
Sasa hivi hakuna wapinzani tena wa kushughulikiwa, maana yake Sabaya na wenzake wataanza kushughulika na wana-CCM.
Mtaka apewe u VP yupo poaKuna vijana weledi, wana heshima na ni watendaji wazuri tu kama yule wa Mwanza, RC Mongella, na yule RC Mtaka wa Simiyu.
Hawana makuu, hawamwpnei mtu, ni waadilifu na wana hekima.
Hao mama Samia asiwaache wajaenda zao.
Chawa anapata tabu Sana blanket limepigwa fumigationChawa
Maasai (Ayo) akimpaisha kisiasa maasai( Sabaya) kwa kutumia picha
Hamna hayo machozi Ni ya kweli kabisa,anaiona kesho yake itakua ngumu kabisa,nguzo imeanguka.Sabaya ana historia mbaya sana, na hayo machozi ni ya kinafiki tu.
Sahau hilo,toka lini chawa akawa mfumoHuu uzi naomba uendelee kuwepo tuone km sabaya will pay...mnachosahau ni kua sabaya works for mfumo sio mtu, kaondoka mtu mfumo umebaki.
Mnaweza mkashangaa anapanda kuwa mkuu wa mkoa kama Makonda alivyopanda kutoka ukuu wa wilaya enzi za JK hadi ukuu wa mkoa enzi za JPM, lets be smart and optimistic.
siasa ni mchezo mchafu mtashangazwa mbaki midomo wazi
Ni sawa unavyosema lakini Hana uhakika,usishangae inaweza kuwa ndio mwisho wake pia,yeye Hana uhakika,wewe huna uhakika hata Mimi Sina uhakika.Huu uzi naomba uendelee kuwepo tuone km sabaya will pay...mnachosahau ni kua sabaya works for mfumo sio mtu, kaondoka mtu mfumo umebaki.
Mnaweza mkashangaa anapanda kuwa mkuu wa mkoa kama Makonda alivyopanda kutoka ukuu wa wilaya enzi za JK hadi ukuu wa mkoa enzi za JPM, lets be smart and optimistic.
siasa ni mchezo mchafu mtashangazwa mbaki midomo wazi
Ayo na masai wapi na wapi?Maasai (Ayo) akimpaisha kisiasa maasai( Sabaya) kwa kutumia picha
Nimekupa like ujue!Ndo ubaya wa kumtegemea binadamu mwenzako janaume zima linalia kama litoto kwani jiwe akifa ndo maisha yanasimama?....sasa analia nn kama anafanyia kazi mfumo na siyo mtu!?nchi haiji kukosa rais hata afe nani!?....