Sabasaba, DITF: Kutoka kuwa maonesho ya Biashara mpaka kuwa maonesho ya "Taasisi za Umma" Sad!

Mkaruka

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
19,617
34,062
Miradi ya ujenzi wapewe TBA !

Ulinzi taasisi za umma wapewe SUMA-JKT !

Mikutano yote na warsha za Umma yatatumika maji ya UHURU ( JKT ) !

Taasisi yoyote iliyokuwa inapokea pesa za serikali, pesa hizo zirudi HAZINA !

Taasisi zote za umma tumieni NMB maana serikali ina HISA huko !

- Wakati yote hayo yakifanyika, SEKTA BINAFSI ni lazima ULIPE KODI hata kama ni kubwa kuliko mtaji wako !

- Kama yote hayo yanafanyika ni kwa njia gani BIASHARA ( SEKTA BINAFSI ) zitastawi ?

- Viko wapi viwanda 3,000 kwa mujibu wa Mwijage au bidhaa zao wanaonesha wapi ?

- Mbona sabasaba kumejaa mabanda ya Taasisi za Umma, UHAMIAJI, NSSF, NIDA, JKT, MAGEREZA N.k ?
 
Huenda mimi si muelewa au mtoa mada hueleweki!!! Kichwa cha habari na habari yenyewe havioani. Najua ulicholenga lkn hujafanya uchaguzi sahihi wa kichwa cha habari.
 
Mleta Mada una mihemko kiasi kikubwa Sana. Kichwa cha Habari na hakioani na Habari yenyewe. Hapa usiandike as if wote wataelewa lengo lako ulilokusudia. Hebu jipange upya either ubadili heading or ubadili Habari yenyewe
 
Huenda mimi si muelewa au mtoa mada hueleweki!!! Kichwa cha habari na habari yenyewe havioani. Najua ulicholenga lkn hujafanya uchaguzi sahihi wa kichwa cha habari.
Aidha uelewa wako ni mgumu au hujatembelea maonesho ya sabasaba wala hujui nini kinaendelea
 
Mleta Mada una mihemko kiasi kikubwa Sana. Kichwa cha Habari na hakioani na Habari yenyewe. Hapa usiandike as if wote wataelewa lengo lako ulilokusudia. Hebu jipange upya either ubadili heading or ubadili Habari yenyewe
Hakuna mada ambayo huwa inaandikwa kwa ajili ya watu wote.
 
Miradi ya ujenzi wapewe TBA !

Ulinzi taasisi za umma wapewe SUMA-JKT !

Mikutano yote na warsha za Umma yatatumika maji ya UHURU ( JKT ) !

Taasisi yoyote iliyokuwa inapokea pesa za serikali, pesa hizo zirudi HAZINA !

Taasisi zote za umma tumieni NMB maana serikali ina HISA huko !

- Wakati yote hayo yakifanyika, SEKTA BINAFSI ni lazima ULIPE KODI hata kama ni kubwa kuliko mtaji wako !

- Kama yote hayo yanafanyika ni kwa njia gani BIASHARA ( SEKTA BINAFSI ) zitastawi ?

- Viko wapi viwanda 3,000 kwa mujibu wa Mwijage au bidhaa zao wanaonesha wapi ?

- Mbona sabasaba kumejaa mabanda ya Taasisi za Umma, UHAMIAJI, NSSF, NIDA, JKT, MAGEREZA N.k ?
Ha ha ha haaaaa ...
 
Mleta Mada una mihemko kiasi kikubwa Sana. Kichwa cha Habari na hakioani na Habari yenyewe. Hapa usiandike as if wote wataelewa lengo lako ulilokusudia. Hebu jipange upya either ubadili heading or ubadili Habari yenyewe
Imepenya hiyooooo!!!!
 
Huenda mimi si muelewa au mtoa mada hueleweki!!! Kichwa cha habari na habari yenyewe havioani. Najua ulicholenga lkn hujafanya uchaguzi sahihi wa kichwa cha habari.
Najua kilicho kuchanganya ni DITF ... Ila mengine umeelewa unajitia uzuzu ...

"Dar es Salaam International Trade Fair"
 
Back
Top Bottom