Sababu zipi?

May Be

Member
Sep 5, 2011
42
13
Kwanini sisi wasichana tukitongoza wanaume tunadharaulika?ukimwambia mwanaume unampenda unaonekana malaya.Kwanini iwe hivo?halafu wasichana wakitembea na wanaume wengi wanaonekana malaya,wakati wanaume wakitembea na wanawake wengie heshima inaongezeka.
kwanini inakuwa hivyo?
 
Mimi ukinitongoza sitakudharau. Ukiniambia unanipenda sitakuona malaya.

Nitaanzia wapi kwanza kukuona malaya? Kisa tu ni kwamba umeniambia unanipenda? Hapana. Hiyo haipo na wala haikuji!

Hiyo ya wanawake kutembea na wanaume wengi na kuonekana malaya wakati wanaume watembeao na wanawake wengi huonekana wao ndiyo wao, ni ndivyo ilivyo tu.

Kuna mambo hapa duniani ambayo mtu huwezi ukayaelezea kwa ufasaha hata kama hayapo sawa. Mojawapo ya hayo mambo ni hilo la mwanamke na wanaume wengi na mwanamme na wanawake wengi. Ni upande wa maisha ambapo mambo huwa ndivyo yalivyo.
 
Kwanini sisi wasichana tukitongoza wanaume tunadharaulika?ukimwambia mwanaume unampenda unaonekana malaya.Kwanini iwe hivo?halafu wasichana wakitembea na wanaume wengi wanaonekana malaya,wakati wanaume wakitembea na wanawake wengie heshima inaongezeka.
kwanini inakuwa hivyo?

Mwanaumme aliumbwa kwa mfano wa Mwenyezi Mungu...........................na mwanamke aliumbwa kwa manufaa ya mwanaumma...........kwa maana ya kisaidizi........................

Kwa hiyo mwanamke anaposhindana na mwanaumme ni sawasawa kabisa na usemi usemao..............ukiiga kunya kwa tewmbo utapasuka msamba...............................


Angalia idadi ya wanawake wenye vvu........................utapata jibu kuwa.......................it does not pay for a woman to rival her man......................nguvu ya mwanamke ipo kwenye kujiheshimu tu.....................na wala siyo kushindana na mzee wake......


Mtume Paulo amekuelekeza ifuatavyo:-

a) For a man indeed ought not to cover his head, since he is the image and glory of God; but woman is the glory of man. For man is not from a woman, but woman from man. Nor was man created for the woman, but woman for the man." 1 Corintihians 11:7-9.

b) "Wives submit to your own husbands, as to the Lord. For the husband is head of the wife, as also Christ is head of the church; and he is the saviour of the body. Therefore, just as the church is subject to Christ, so let the wives be to their own husbands in everything." Ephesians 5:22-24.
 
wanasema eti funguo inayofungua kofuli nyingi inaitwa master key, lakini kofuli inayofunguliwa na kila funguo hiyo haifai, utashauriwa ukanunue kofuli aina za Yale, Solex (original) na zingine imara zaidi
 
Mimi ukinitongoza sitakudharau. Ukiniambia unanipenda sitakuona malaya.

Nitaanzia wapi kwanza kukuona malaya? Kisa tu ni kwamba umeniambia unanipenda? Hapana. Hiyo haipo na wala haikuji!

Hiyo ya wanawake kutembea na wanaume wengi na kuonekana malaya wakati wanaume watembeao na wanawake wengi huonekana wao ndiyo wao, ni ndivyo ilivyo tu.

Kuna mambo hapa duniani ambayo mtu huwezi ukayaelezea kwa ufasaha hata kama hayapo sawa. Mojawapo ya hayo mambo ni hilo la mwanamke na wanaume wengi na mwanamme na wanawake wengi. Ni upande wa maisha ambapo mambo huwa ndivyo yalivyo.
nimekuelewa kwa jibu la kwanza,but hilo la pili sikubaliani na wewe.
 
wanasema eti funguo inayofungua kofuli nyingi inaitwa master key, lakini kofuli inayofunguliwa na kila funguo hiyo haifai, utashauriwa ukanunue kofuli aina za Yale, Solex (original) na zingine imara zaidi

kufuli inayofunguliwa na funguo nyingi haijiheshimu na yaweza kabisa kukaribisha wezi na wauaji..........................kumbuka simulizi ya samweli v.Delilah................vipane 5, 500 vya fedha vilitosha kumtosa mumewe ili mradi ajipatie utajiri wa harakaharaka.............ujue hiyo kufuli kweli ilikuwa ni bomu kabisa............
 
wanasema eti funguo inayofungua kofuli nyingi inaitwa master key, lakini kofuli inayofunguliwa na kila funguo hiyo haifai, utashauriwa ukanunue kofuli aina za Yale, Solex (original) na zingine imara zaidi
Kitty teh teh na ndo kweli
 
ila mkuu kwanini umalaya usiwe pande zote.?mana kila mtu hapo ametembea na watu wengi

Hilo ndiyo ambalo hukubaliani na mimi? Kama ni ndiyo basi umenoa.

Umenoa kwa sababu mimi siliungi mkono. Umalaya ni umalaya tu. Nilichosema ni kwamba katika maisha na katika jamii kuna baadhi ya mambo huwa ni ndivyo yalivyo hata kama hayaingii akilini.
 
wanasema eti funguo inayofungua kofuli nyingi inaitwa master key, lakini kofuli inayofunguliwa na kila funguo hiyo haifai, utashauriwa ukanunue kofuli aina za Yale, Solex (original) na zingine imara zaidi
ila hiyo kauli inatuonea
 
Mwanaumme aliumbwa kwa mfano wa Mwenyezi Mungu...........................na mwanamke aliumbwa kwa manufaa ya mwanaumma...........kwa maana ya kisaidizi........................

Kwa hiyo mwanamke anaposhindana na mwanaumme ni sawasawa kabisa na usemi usemao..............ukiiga kunya kwa tewmbo utapasuka msamba...............................


Angalia idadi ya wanawake wenye vvu........................utapata jibu kuwa.......................it does not pay for a woman to rival her man......................nguvu ya mwanamke ipo kwenye kujiheshimu tu.....................na wala siyo kushindana na mzee wake......


Mtume Paulo amekuelekeza ifuatavyo:-

a) For a man indeed ought not to cover his head, since he is the image and glory of God; but woman is the glory of man. For man is not from a woman, but woman from man. Nor was man created for the woman, but woman for the man." 1 Corintihians 11:7-9.

b) "Wives submit to your own husbands, as to the Lord. For the husband is head of the wife, as also Christ is head of the church; and he is the saviour of the body. Therefore, just as the church is subject to Christ, so let the wives be to their own husbands in everything." Ephesians 5:22-24.
truth,ila na wewe una maandiko ya kweli
 
Mimi ukinitongoza sitakudharau. Ukiniambia unanipenda sitakuona malaya.

Nitaanzia wapi kwanza kukuona malaya? Kisa tu ni kwamba umeniambia unanipenda? Hapana. Hiyo haipo na wala haikuji!

Hiyo ya wanawake kutembea na wanaume wengi na kuonekana malaya wakati wanaume watembeao na wanawake wengi huonekana wao ndiyo wao, ni ndivyo ilivyo tu.

Kuna mambo hapa duniani ambayo mtu huwezi ukayaelezea kwa ufasaha hata kama hayapo sawa. Mojawapo ya hayo mambo ni hilo la mwanamke na wanaume wengi na mwanamme na wanawake wengi. Ni upande wa maisha ambapo mambo huwa ndivyo yalivyo.
hiyo ya kwanza ni kabla hamjaanza mahusiano,ila baadaye mnaanza kuongea ni malaya na mmeshafanikiwa
 
Ebu jiulize hili, kwanini Kofuli linalofunguliwa na Funguo nyingi halipendwi ila Funguo inayofungua makofuli mengi inaitwa Master Key..
 
hebu nitongoze fasta, dah maana ni muda sana tangu nipate tongozo la mwanamke kwa mara ya mwisho. Nakusubiri PM na tongozo lako lol
 
Back
Top Bottom