Sababu zipi zinafanya wanaume kufurahia ngono kuliko wanawake?

stellahthatcher

Senior Member
Oct 14, 2015
168
164
Kumekuwa na dhana kuwa wanaume ndio wanaofurahia ngono zaidi ikilinganishwa na wanawake ambao sio rahisi kufikia upeo wa raha ya kujamiiana. Aidha imebainishwa kuwa wanaume chini ya umri wa miaka 60 hufikiria kuhusu ngono mara isiyopungua moja kwa siku.
article-2331561-1A05E682000005DC-592_634x398.jpg


Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Florida State University ulibainisha kuwa wanaume wanafurahia ngono kuliko wanawake. Hii ni kwa sababu ya maumbile kuwa wanaume hawakumbwi na mawazo mengi wanaposhiriki ngono.

Kwa upande wao, wanawake hutafuta wanaume wanaoingiliana nao kihisia na mtu atakayejitwika jukumu la kuwalea watoto. Aidha, utafiti mwingine ulionyesha kuwa wanawake wengi husononeka wanaposhindwa kuwatosheleza waume wao kuliko wanaume wanaposhindwa kuwarithisha wanawake wao.

Nipe maoni yako, unadhani nini kinafanya wanaume wafurahie ngono kuliko wanawake?
 
Dah na Mimi naweza kuwa mtafiti kumbe...
Ngoja maana hizi tafiti nyingine sijui zinatoka wapi.. Me nafikiri watu wa ke ndio wanaridhika sana unless wanafanya ili wapate kitu...
 
Kumekuwa na dhana kuwa wanaume ndio wanaofurahia ngono zaidi ikilinganishwa na wanawake ambao sio rahisi kufikia upeo wa raha ya kujamiiana. Aidha imebainishwa kuwa wanaume chini ya umri wa miaka 60 hufikiria kuhusu ngono mara isiyopungua moja kwa siku.
article-2331561-1A05E682000005DC-592_634x398.jpg


Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Florida State University ulibainisha kuwa wanaume wanafurahia ngono kuliko wanawake. Hii ni kwa sababu ya maumbile kuwa wanaume hawakumbwi na mawazo mengi wanaposhiriki ngono.

Kwa upande wao, wanawake hutafuta wanaume wanaoingiliana nao kihisia na mtu atakayejitwika jukumu la kuwalea watoto. Aidha, utafiti mwingine ulionyesha kuwa wanawake wengi husononeka wanaposhindwa kuwatosheleza waume wao kuliko wanaume wanaposhindwa kuwarithisha wanawake wao.

Nipe maoni yako, unadhani nini kinafanya wanaume wafurahie ngono kuliko wanawake?
wewe stella juzi juzi ulikuja kutafuta mme wa kukuoa leo unaleta uzoefu wako wa mambo ya ngono wewe stella wewe Mungu anakuona
 
Huo utafit sidhan kama kuna ukwel ndan yake,nijuavyo Wanawake ndiyo wanafurahia zaid ngono kuliko Wanaume,na ndiyo maana huwa na miguno ya maraha kias cha kufikia kupagawa na kuanza kuongea lugha zisizoeleweka katika ulimwengu wa kawaida,na asilimia kubwa wao mwanzo mwisho ni raha,anapokaribia ndiyo hatar wengine huweza hata kukuuma,au kuwa kama anakata roho kumbe ni utamu,Mwanaume tuzipatazo ni kias kidogo,kuna ka utafit japo si rasm kuwa Wanawake wanapata raha asilimia 75 na Wanaume asilimia 25;binafsi kias fulan naamin hil,sababu kuna vitu vingine vikifanyiwa utafit nawe kwa upande wako unaweza ukathibitisha sababu lipo ndan ya uwezo,hata vibint asilimia kubwa vikionja huwa vinapagawa na havisiki vya Wazaz,mpaka vinatoroka Nyumban,Mashulen usiku kuufuata utamu na mwishowe ndiyo vinaambulia mimba,kwa hiyo Wanawake wanafurahia ngono zaid ya Wanaume
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom