isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,125
- 6,250
Kwa nyakati tofauti imekuwa ikisikika au kutajwa Tanzania "imepakana na" Kenya, Uganda, Mozambique, Rwanda, Malawi, DR Congo na Zambia.
Je, ni sababu zipi hupelekea Comoros, Mauritius na Madagascar kutotajwa kama nchi zilizopakana na Tanzania?
Je, ni sababu zipi hupelekea Comoros, Mauritius na Madagascar kutotajwa kama nchi zilizopakana na Tanzania?