Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,369
- 4,506
Jana kulikuwa na balaaa nyumbani,nimewahi kurudi home tupo tunapiga tu story ,sasa katikati ya story Wife Wakawa kama wanataniana na dada wa kazi mimi hayo mengine sikusikia,nilianza kusikia hapa
Wife:Neema Kwani wewe unataka mwanaume wako aweje
Neema:Yaani mimi napenda kama hivyo Baba Ethan(mimi),yaani hiyo hivyo Alivyo
Wife alinyanyuka ,nimeshangaa ameninunia mimi.
Bora nisingewahi kurudi siku ya jana
Wife:Neema Kwani wewe unataka mwanaume wako aweje
Neema:Yaani mimi napenda kama hivyo Baba Ethan(mimi),yaani hiyo hivyo Alivyo
Wife alinyanyuka ,nimeshangaa ameninunia mimi.
Bora nisingewahi kurudi siku ya jana