Will i.a.m
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 347
- 49
zifuatazo ni sababu zinazoonyesha kua utumishi wa umma wataendelea kutoa majina mengine kwa ajili ya interview ni kama zifuatavyo
1.NAFASI 100 ZA WALINZI
kulikua na nafasi 100 za walini ambazo hazipo kwenye majina haya ya sasa hivi swali la klujiuliza ni kwamba tanzania nzima wamekosekana vijana wenye sifa ya kua walinzi hata mmoja kwani kwenye majina haya hakuna hata majina ya interview kwa ajili ya nafasi za watu waliomba kwenye kada ya ulinzi
2.NAFASI YA OFFICE ASSISTANCE 30
KWENYE TANGAZO LA KAZI WALIONYESHA WANAITAJIKA WASAIDIZI WA OFFICE 30 LAKINI WALIOITWA HAPO NI 4 TU NHIVYO BADO NAFASI 26 ZIPO WAZI NA BADO HAWAJITWA
3.NAFASI ZA JUMLA ZAIDI YA 1400
KULITANGAZWA JUMLA YA NAFASI 1400 ZA KAZI NA MAJINA YALIOITWA NI ZAIDI YA 1300 LAKINI BADO KUNA MTIHANI WA MCHUJO KWA UJUMLA KILA KADA HII INAONESHA NINI KUA KUTAKUA UPUNGUFU WA NAFASI KAMA 700 AU 800 BAADA YA MTIHANI WA MCHUJO HIVYO LAZIMA MAJINA MENGINE YATATOLEWA ZAIDI KWA AJILI YA INTERVIEW
4.TANGAZO LA MZUMBE
baada ya tangazo la kwanza la kuitwa kwenye interview wlieleza kua kama hujaona jina lako basi usikate tamaa omba tena ukiona tangazo kwa sasa jua maombi yako hayajafanikiwa na kuna watu walioomba nafsi katika kada ya mzumbe hawakuona majina majina yao hivyo wakajua hawakufanikiwa kuchaguliwa baada ya masaa kadhaa majina yakatoka kutoka mzumbe kuonesha kua wanaitajika kwenye interview
5.KUKOSEKANA KWA NAFASI MBALI MBALI ZA KAZI
kuna baadi ya nafsi za kazi zilizotangazwa awali kama sectretary mafundi madereva katibu muhtasari na nk lakini hatujaziona mpaka sasa hivyo inatoa taswira kua bado kuna nafasi zinakuja kutangazwa kwa ajili ya interview zaidi
1.NAFASI 100 ZA WALINZI
kulikua na nafasi 100 za walini ambazo hazipo kwenye majina haya ya sasa hivi swali la klujiuliza ni kwamba tanzania nzima wamekosekana vijana wenye sifa ya kua walinzi hata mmoja kwani kwenye majina haya hakuna hata majina ya interview kwa ajili ya nafasi za watu waliomba kwenye kada ya ulinzi
2.NAFASI YA OFFICE ASSISTANCE 30
KWENYE TANGAZO LA KAZI WALIONYESHA WANAITAJIKA WASAIDIZI WA OFFICE 30 LAKINI WALIOITWA HAPO NI 4 TU NHIVYO BADO NAFASI 26 ZIPO WAZI NA BADO HAWAJITWA
3.NAFASI ZA JUMLA ZAIDI YA 1400
KULITANGAZWA JUMLA YA NAFASI 1400 ZA KAZI NA MAJINA YALIOITWA NI ZAIDI YA 1300 LAKINI BADO KUNA MTIHANI WA MCHUJO KWA UJUMLA KILA KADA HII INAONESHA NINI KUA KUTAKUA UPUNGUFU WA NAFASI KAMA 700 AU 800 BAADA YA MTIHANI WA MCHUJO HIVYO LAZIMA MAJINA MENGINE YATATOLEWA ZAIDI KWA AJILI YA INTERVIEW
4.TANGAZO LA MZUMBE
baada ya tangazo la kwanza la kuitwa kwenye interview wlieleza kua kama hujaona jina lako basi usikate tamaa omba tena ukiona tangazo kwa sasa jua maombi yako hayajafanikiwa na kuna watu walioomba nafsi katika kada ya mzumbe hawakuona majina majina yao hivyo wakajua hawakufanikiwa kuchaguliwa baada ya masaa kadhaa majina yakatoka kutoka mzumbe kuonesha kua wanaitajika kwenye interview
5.KUKOSEKANA KWA NAFASI MBALI MBALI ZA KAZI
kuna baadi ya nafsi za kazi zilizotangazwa awali kama sectretary mafundi madereva katibu muhtasari na nk lakini hatujaziona mpaka sasa hivyo inatoa taswira kua bado kuna nafasi zinakuja kutangazwa kwa ajili ya interview zaidi