sababu zinazoonyesha kua utumishi wataendelea kutoa majina mengine kwa ajili ya interview hiz hapa

Will i.a.m

JF-Expert Member
May 24, 2012
347
49
zifuatazo ni sababu zinazoonyesha kua utumishi wa umma wataendelea kutoa majina mengine kwa ajili ya interview ni kama zifuatavyo


1.NAFASI 100 ZA WALINZI

kulikua na nafasi 100 za walini ambazo hazipo kwenye majina haya ya sasa hivi swali la klujiuliza ni kwamba tanzania nzima wamekosekana vijana wenye sifa ya kua walinzi hata mmoja kwani kwenye majina haya hakuna hata majina ya interview kwa ajili ya nafasi za watu waliomba kwenye kada ya ulinzi

2.NAFASI YA OFFICE ASSISTANCE 30
KWENYE TANGAZO LA KAZI WALIONYESHA WANAITAJIKA WASAIDIZI WA OFFICE 30 LAKINI WALIOITWA HAPO NI 4 TU NHIVYO BADO NAFASI 26 ZIPO WAZI NA BADO HAWAJITWA

3.NAFASI ZA JUMLA ZAIDI YA 1400

KULITANGAZWA JUMLA YA NAFASI 1400 ZA KAZI NA MAJINA YALIOITWA NI ZAIDI YA 1300 LAKINI BADO KUNA MTIHANI WA MCHUJO KWA UJUMLA KILA KADA HII INAONESHA NINI KUA KUTAKUA UPUNGUFU WA NAFASI KAMA 700 AU 800 BAADA YA MTIHANI WA MCHUJO HIVYO LAZIMA MAJINA MENGINE YATATOLEWA ZAIDI KWA AJILI YA INTERVIEW

4.TANGAZO LA MZUMBE

baada ya tangazo la kwanza la kuitwa kwenye interview wlieleza kua kama hujaona jina lako basi usikate tamaa omba tena ukiona tangazo kwa sasa jua maombi yako hayajafanikiwa na kuna watu walioomba nafsi katika kada ya mzumbe hawakuona majina majina yao hivyo wakajua hawakufanikiwa kuchaguliwa baada ya masaa kadhaa majina yakatoka kutoka mzumbe kuonesha kua wanaitajika kwenye interview

5.KUKOSEKANA KWA NAFASI MBALI MBALI ZA KAZI

kuna baadi ya nafsi za kazi zilizotangazwa awali kama sectretary mafundi madereva katibu muhtasari na nk lakini hatujaziona mpaka sasa hivyo inatoa taswira kua bado kuna nafasi zinakuja kutangazwa kwa ajili ya interview zaidi
 
6.NAFASI ZA WATENDAJI KATA/VJIJI.
Pia zilitangazwa mbona hapa hawajawka,hii inadhihirisha kuwa majina mengne bado yaan 2nd batch.
 
Yaani upo sahihi kabisa mleta uzi mwenyewe kuna shosti yangu kaomba nafasi ya Secretary na ana diploma ya KATIBU MUHTASI pia kaomba na OFFICE ASSISTANT jina lake halipo lakini utakuta baada ya muda mfupi wanatoa tangazo wanaandika RE-ADVERTISMENT ina maana sifa gani za zaidi wanazozitaka? yaani inakera sana sijui tufanyeje wajue kama watu wako mtaani na wanashida sana ya kazi
 
Hii ya tume ya utumishi ni janga lingine la kitaifa.sidahani kama Tanzania nzima watu wanaweza wakakosekana wa kujaza nafasi,maana haiingii akilini kuona eti post imekuwa readvertised
 
Ndio tanzania yetu,la msingi ni kuomba na sehemu nyingine ipo siku zitajibu,nafasi ni nyingi hawajaita bado.
 
jamaa ni kweli hawajatoa lakini kwenye tangazo wameandika kama hukuona jina lako ujue halijapita hapo ndo ishu inakuwa pevu
 
zifuatazo ni sababu zinazoonyesha kua utumishi wa umma wataendelea kutoa majina mengine kwa ajili ya interview ni kama zifuatavyo


1.nafasi 100 za walinzi

kulikua na nafasi 100 za walini ambazo hazipo kwenye majina haya ya sasa hivi swali la klujiuliza ni kwamba tanzania nzima wamekosekana vijana wenye sifa ya kua walinzi hata mmoja kwani kwenye majina haya hakuna hata majina ya interview kwa ajili ya nafasi za watu waliomba kwenye kada ya ulinzi

2.nafasi ya office assistance 30
kwenye tangazo la kazi walionyesha wanaitajika wasaidizi wa office 30 lakini walioitwa hapo ni 4 tu nhivyo bado nafasi 26 zipo wazi na bado hawajitwa

3.nafasi za jumla zaidi ya 1400

kulitangazwa jumla ya nafasi 1400 za kazi na majina yalioitwa ni zaidi ya 1300 lakini bado kuna mtihani wa mchujo kwa ujumla kila kada hii inaonesha nini kua kutakua upungufu wa nafasi kama 700 au 800 baada ya mtihani wa mchujo hivyo lazima majina mengine yatatolewa zaidi kwa ajili ya interview

4.tangazo la mzumbe

baada ya tangazo la kwanza la kuitwa kwenye interview wlieleza kua kama hujaona jina lako basi usikate tamaa omba tena ukiona tangazo kwa sasa jua maombi yako hayajafanikiwa na kuna watu walioomba nafsi katika kada ya mzumbe hawakuona majina majina yao hivyo wakajua hawakufanikiwa kuchaguliwa baada ya masaa kadhaa majina yakatoka kutoka mzumbe kuonesha kua wanaitajika kwenye interview

5.kukosekana kwa nafasi mbali mbali za kazi

kuna baadi ya nafsi za kazi zilizotangazwa awali kama sectretary mafundi madereva katibu muhtasari na nk lakini hatujaziona mpaka sasa hivyo inatoa taswira kua bado kuna nafasi zinakuja kutangazwa kwa ajili ya interview zaidi

kaka mkubwa nataka nikuhakikishie kama wakisema re advertisement ni waongo, kwa kuwa kuna nafasi ambazo hazina mjadala nazo pia hazikutoka tangazo kwa mfano nurse officers muhimbili othorpedic insitute (moi), na watu wametuma qualification ni degree, ocean road cancer insitute watu wametuma lakini hizo taasisi hazipo kabisa kwenye usaili. Hao waliotuma unawaambiaje. Then tangazo linageneralize tu. Kama hujaona jina ndio hivyo tena wakati sio majina hata hizo taasis hazikutoka tena. Nadhani huyu mwandishi alikurupuka tu.
 
Hata nafasi ya Afisa Nyuki kwa ajili ya Halmashauri ya Ilemela hawajaita watu. Mbona sielewi hawa watu?
 
Walioitwa ni wale waliomba kwenye taasisi za serikali ambao walituma maombi kwa lugha ya kingereza.

pia zile nafasi ambazo zilikuwa nyingi ni kwa ajiri ya almashauri za wilaya na miji pamoja na ofisi za mkoa ndizo ambazo bado majina hayajatangazwa kuweni wavumilivu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom