UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Hata huko kwengine nako wapo wengi tu wenye kuongoza nchi na ni watu wanaoamini,ila hawaongozi nchi kwa kutumia nchi imani zao na sie ni hivyo hivyo hatutumii imani zetu kuongoza nchi zetu.Kwani uongozi ndiyo chanzo cha umasikini au watu?
Au wanaoongoza nchi sio watu wanaoamini dini?
Kwahiyo wote kwa pamoja tunahusika kwenye shughuli za maendeleo uwe mtu wa imani au usiwe wa imani,kwahiyo kama ni masikini huo umasikini wetu una sababu zake zengine na sio imani.