Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

Nafikiri unamaanisha kitendo cha pesa kupungua tutakiitaje na sio mtu.
Kama ni hivyo, Inategemea zimepunguaje. Kama pesa zimepungua katika michakato ya biashara inawezekana tukaita kupata hasara na kuna kiwango kikifika inaitwa kufilisika(sio kila pesa kupungua ni kufilisika).
Kama ellon musk alipo drop nafasi ya ukwanza baada ya kupata hasara hatuwezi kusema kafilisika

Aliyefilisika anakua amesanda, kasizi, kakata ringi hana direction hata msosi kwake ni wakusua sua
 
"Wanachofanya ni Reorientation of the spirit to better heal the body kwamba unaweza kua na tatizo Fulani mwilini ukaukonvisi mwili wako kwamba hauna tatizo hilo unapofanya hivyo unakua unaifanya roho yako iweze kumanifest cellular regeneration kisha cell zitazalishwa za kutosha na kutibu ugonjwa ambao mtu alikua anaumwa. So hapo kinachokua kimeponya si dawa bali ni roho yako mwenyewe"

Hii nadharia Inaweza kuthibitishwa kisayansi au ni suala la imani tu?
Nii imani mkuu...lakini kupitia hiyo imani watu wanapona na wakipima unakuta mtu kapona. Kuna sehemu nimesema it's biologically Correct.
Kuhusiana na imani hiyo basi tezi mbalimbali mwilini hua activated kupeform task kwa kutumia imani hiyo
 
Kama ellon musk alipo drop nafasi ya ukwanza baada ya kupata hasara hatuwezi kusema kafilisika

Aliyefilisika anakua amesanda, kasizi, kakata ringi hana direction hata msosi kwake ni wakusua sua
Bankrupt kiswahili chake ni nini?? Mnaweza kunipiga mawe kumbe tatizo lipo Kwenye kutokujitosheleza kwa maneno ya kiswahili.

Kama Boot na Power On
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mganga na mchawi,usichanganye mambo,kuna wachawi kazi yao ni uchawi tu,na hata huwezi kujua au kukisia kuwa huyu ni mchawi,lkn kuna wengine ni waganga tu,kazi yao ni kutibu na kuponyesha,haruhusiwi kuuwa wala kushika dawa mbaya inayoambatana na kuua,lkn kuna wengine kazi yao ni kutabili tu,unakwenda kwake anakutabilia,anakuambia na vitu utakavyoviona,km utakutana na simba au mwehu au itakuja mvua au kuna tukio litatatukia mda furani wewe ukiona hivyo fanya hivi na itakuwa hivi,
Kwa hiyo hawa watu wanatofauti sana,na si kweli kuwa ni watu waovu,Hapana,ni watu wazuri sn na sana hofu sn ya mungu,shida kuna watu wanaamini mungu yupo kanisani au msikitini,ndio maana wanawahukumu kuwa ni watu waovu,
Kinachofanya waganga waonwe ni waovu ni kutokana na source ya uwezo wao. Wengi wanakua hawapo originated to The Postive Source
 
Bankrupt kiswahili chake ni nini?? Mnaweza kunipiga mawe kumbe tatizo lipo Kwenye kutokujitosheleza kwa maneno ya kiswahili.

Kama Boot na Power On
bankrupt ni kitendo cha mtu au kampuni kushindwa kulipa madeni

kama bank inavyokuja kutaifisha nyumba yako ukishindwa kulipa madeni yako

So ellon musk na mark zackberg walivyopata hasara unawahusisha na bankrupt?
 
Mkuu Da'Vinci kuna vitu viwili umechanganya.

1.Kwamba utajiri na umaskini upo akilini.
2.Kwamba utajiri na umaskini upo katika uwezo wa mtu kukubali masharti mfano umetaja kafara za damu nk.

Huoni hayo mambo mawili yanachengana?
Nadhani hivyo pia yanachanganya, je unaweza kuniweka sawa kidogo kama hutajali??
 
I might have been cursed with Knowledge??
Mfalme Solomon kwenye kitabu chake Ecclesiastes anasema kwamba
"18 Yaani,Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni;Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko."

Mkuu watu wengi sana they’re not acquainted with the “The Laws Governing the Universe”.
Hence they can’t live in harmony with them and get the most of whatever they do.
 
Hizo laws zinazo govern the universe ndio watu wanazitumia kutengeneza umeme, magari, ndege, meli, roketi,redio, computer na simu unayotumia kuposti JF.
Mkuu watu wengi sana they’re not acquainted with the “The Laws Governing the Universe”.
Hence they can’t live in harmony with them and get the most of whatever they do.
 
Wow, well written, where did you learn all of this. Unaandika vitu vikubwa sana nimejifunza kitu.
Thanks for sharing.

Kuna vitu unaweza kuanza navyo.

1. Unaweza watch these two videos regarding the Law of Attraction.

- “ The Secret “ by Rhonda Byrne

- “ The Meta Secret” by Mel D Gill

2. Pia waeza revie “The 7 Hermetic Laws of Universe”

- The Law of Mentalism
-The Law of Correspondence
  • The Law of Vibration
  • The Law Polarity
  • The of Rhythm
  • The Law of Cause and Effect
  • The Law of Gender.

After watching those two Videos you’ll awaken the Giant with you and see the world in different angle.

All the best
 
Kuna vitu unaweza kuanza navyo.

1. Unaweza watch these two videos regarding the Law of Attraction.

- “ The Secret “ by Rhonda Byrne

- “ The Meta Secret” by Mel D Gill

2. Pia waeza revie “The 7 Hermetic Laws of Universe”

- The Law of Mentalism
-The Law of Correspondence
  • The Law of Vibration
  • The Law Polarity
  • The of Rhythm
  • The Law of Cause and Effect
  • The Law of Gender.

After watching those two Videos you’ll awaken the Giant with you and see the world in different angle.

All the best
I never watched them mate....
 
Hizo laws zinazo govern the universe ndio watu wanazitumia kutengeneza umeme, magari, ndege, meli, roketi,redio, computer na simu unayotumia kuposti JF.
Hapana....Unasema zile za fizikia??
 
Hizo laws zinazo govern the universe ndio watu wanazitumia kutengeneza umeme, magari, ndege, meli, roketi,redio, computer na simu unayotumia kuposti JF.

Absolutely,
Go review some Biography of all Great Discoverers and inventors like Alexander Graham Bell, Thomas Edison, Henry Ford,Steve Jobs , Sir Isack Newton, Albert Einstein.

You may start with the Book by Napoleon Hill

“Think and Grow Rich”
and look to see How the Great men in History have Understood and lived in harmony with the Universal Laws.

My friend this isn’t Philosophy at all,
It’s Scientific fact, unless you don’t even believe in the “ Law of Gravity” it’s a universal law either like The Law of Attraction”.
 
Hapana....Unasema zile za fizikia??

The Law of Attraction and That of Mentalism have been proved in Quantum Physics by the like Sir Isac Newton and Albert Einstein.

What about “The placeable effect in medicine?
The Power of positive mind in healing process induce a healthy Biochemistry.

What about the Power of Imagination?
What about the Power of Subconscious mind?

“What you think, and What you feel, and What manifests, Is always a match.
Every single time no Exception”....Sir Isac Newton.
 
I never watched them mate....

I either came to watch them lately after being well familiar with Universal laws and I was like very shocked to see a lot of Scientists, Medical Specialists, philosopher, Authors, Successful people and so many others share the knowledge and testimonies regarding these Laws.

I hope you’ll enjoy and learn a lot watching those two videos.
Especially the 1st in the list “The Secret “
 
I might have been cursed with Knowledge??
Mfalme Solomon kwenye kitabu chake Ecclesiastes anasema kwamba
"18 Yaani,Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni;Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko."
What does "cursed with knowledge" mean?
 
Kuna vitu unaweza kuanza navyo.

1. Unaweza watch these two videos regarding the Law of Attraction.

- “ The Secret “ by Rhonda Byrne

- “ The Meta Secret” by Mel D Gill

2. Pia waeza revie “The 7 Hermetic Laws of Universe”

- The Law of Mentalism
-The Law of Correspondence
  • The Law of Vibration
  • The Law Polarity
  • The of Rhythm
  • The Law of Cause and Effect
  • The Law of Gender.

After watching those two Videos you’ll awaken the Giant with you and see the world in different angle.

All the best
Thank you very much, Idriss.
 
Back
Top Bottom