Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,310
- 105,133
Kama ellon musk alipo drop nafasi ya ukwanza baada ya kupata hasara hatuwezi kusema kafilisikaNafikiri unamaanisha kitendo cha pesa kupungua tutakiitaje na sio mtu.
Kama ni hivyo, Inategemea zimepunguaje. Kama pesa zimepungua katika michakato ya biashara inawezekana tukaita kupata hasara na kuna kiwango kikifika inaitwa kufilisika(sio kila pesa kupungua ni kufilisika).
Aliyefilisika anakua amesanda, kasizi, kakata ringi hana direction hata msosi kwake ni wakusua sua