Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

mose I think you would like to see this ✌️
Wakati mmoja humu tutakuja kuzungumza kuhusu Ufahamu Kristu na Ujazi...

Kuna vitu havifahamiki kwa watu wengi angali hawa wakidhani 'wanajua'. Hii ni kwa kuwa maarifa kwa mambo ya kiroho ya ukweli 'yalishadukuliwa' ili kutengeneza kile tunachoweza kukisema: 'Njia iionekanayo ni njema sana katika mtu na hali ya umauti'...

Dini nyingi za duniani na labda zote tu-- ni 'sayansi jamii' zilijitukiza kulingana na viumbe watu wa kigeni wenye nia njema ama isiyonjema kuiingilia maisha ya watu hapa duniani kupitia 'vichwa vya manabii'.

Uzi huu : Kusafiri Kiwakati 101...--unaelekea kuja kuonesha ushahidi kwa hili kadri utavyokuja hata kurefuka siku zijazo.

Unahitaji kukomaa kiakili na kiroho ili uweze kujikwamua na usadikifu pofu wa kimakundi. Ukibarikiwa, siku moja waweze kuuishi kama mtu huru... Hauhitaji kujinasibu na dini hii ama ile, ufuasi kwa hili ama lile -- lenye kuja kwa makusudi ya kibinadamu mwenye kuamini anaishi katika ulimwengu wa vikomo...

Kuna mengi tu katika 'vitabu vya injili' yenye uwalakini wa tafsiri na kumbukumbu kwa maisha, maneno na matendo ya Yesu, kwa mfano.

Wengi wanadhani 'wanamjua' na 'kumpenda Yesu' na hali katika ukweli wa jambo ni kuwa Yesu wanayejishirikishia ni 'roho ingine'--japo siku, tukibarikiwa tutamulika ni namna gani wanavyokuwa 'wanaamini' na kufuga fikra huwa wanahuluku 'viumbe majini'... Natumia neno 'majini' lakini siku za mbele tutatubuni neno sahihi kwa jambo hili. Vitu vyote watu wanavyotengenezea hisia na fikra juu wazo, wanaumba. Hili linafanania na mithali isemayo: zimwi likujualo, halikuli likakwisha... Mtu yeyote anayeumba kitu na kukipa nguvu kwa akili na hisia zake, anaishi 'kunyonywa damu' na hicho...

Tutakukapokuwa tukitafuta kujua kilicho ni hasa, wengi wetu watajukuta inawabidi wapambane na 'majini' yao yenyewe... Wengi wanaojihusisha na ukristo kama dini siajabu watajikuta inawapasa 'kutengeneza amani na Yesu'... Kwa kuwa itaanza kuwa wazi kwao, kuna mengi wamefikiri ni ya Yesu na hali ilikuwa ni muakisiko wa hofu, madhaifu na utegemezi kwa 'mwokozi'...

Yesu halisi, katika wakati na umahala huu, ni 'roho ya ufahamu' si 'nafsi' hasa... Na katikati ya nasibu ya hivi viwili ni namna 'umaizi wa dhahania ya ukuwa na kuwa' katika yule anayenasibika kung'amua mafumbo ya uzima.

Sasa, kuna vitu ambavyo utapata kuvisikia ama kusema umevisoma kuhusu maneno aliyopata kuyasema Yesu, alipokuwa akiishi kama mtu, kwa kukosa kitovu kimoja na 'ufahamu kristu' vinapelekea tafsiri 'isiyo na msaada' juu ya ukweli wa mambo. Labda 'itadukuliwa' kunyonya damu fikra na hisia za udhaifu na mapungufu ya kisaikia.

Huu uzi unazungumzia 'sababu za kubakia maskini'...

Ujazi ni neno ambalo ufahamu wa Kristo ukiaanza kufanyika katika wewe unang'amua kuwa kuishi si ulemavu--Roho ya Kristu hutufikia ili tuwe na ujazi...

Ujazi ni sifa na hali kuwa ama kupata kile unachostahili kuwanacho pale wakati hasa unapokuwa wakihitaji... Na kuishi katika hali ya neema ni sala. Ni namna ya kuishi ambayo utashuhudia wapata kile ambacho chakufaa pale inapofaa...

Yesu alifundisha siri ya hili. Na wakati mmoja, nitafunua lugha ya alama iliyomo katika 'Sala ya Bwana'... Kwa hivi, usiishi kutegemea mtu aliye hai ama mfu, mganga, mpiga ramli, malaika ama hata 'mungu' kwa maneno ya ulimi ama fikara... Kwa kuwa sala ya maneno, labda ni ufunguo tu. Usipoishi kung'amua ukweli wa jambo utaangukia katika kuumba 'majini' yako...

Yesu aliposema yeye ni mungu, si jambo la kujitenga. Ufahamu Kristu katika wewe utakudhahirishia wewe ni mungu pia. Sisi wote ni Mungu. Lakini tumejisahau... Labda twahitaji kukumbushwa halafu tufanye hima 'Kujikumbuka'...

Kutupa fikara la mungu kwa watu wengi 'ni mtihani'. Hii ni kwa kuwa mizizi ya fikara la namna hii imekomaa sana katika saikia watu--hasa wale wenye kujinasibu na usadikifu pofu wa kimakundi... Mungu hana budi kufutiliwa mbali katika saikia za watu ili neema ya kweli na ufunuo vimfikie mtu. Kweli ndicho kinachomuweka mtu huru kwelikweli...

Na huku ndiko kuzungumzia liberiti... Akina Jefferson kule Amerika walikusudia kuasisi Taifa ambalo Liberiti itakuwa ni mbadala wa utumwa wa dini na misingi ya mtu kujichagualia... Lakini Jefferson alikuwa ni mjumbe wa Waashihuru. Hawa wanazofunguo nyingi kuhusu mtu na 'Mungu' kwa mapokeo ya kiarifu yaani ginosia. Wao kwa mfano, walitaka kijenga taifa ambalo watu wataishi, kustawi na kuitafuta furaha... Japo 'walimtanguliza Mungu' ile ilikuwa ni lugha ya alama tu... Mungu kama 'Jicho lenye kuona kote'. Sasa jicho hili lipo ndani ya kila mtu... Hili ndilo hasa Yesu alipata kulizungumza kufanyika pale mtu afanyapo macho yake mawili kuwa jicho moja....

Tukibarikiwa nafasi nitafunua namna gani jicho hili ndicho kiini kwa maada yote, unafasishi, wakati na nishati. Kubaini mambo yenye kupitiliza mwonekano wa nje wahitaji dhahania ya vipeo vya ukomo. Kihisabati huendana dhahania za 1 na 0 na pia matendo × x ÷ - . Hili nitakuja kubayanisha kadri tutakavyokuwa tukimulika sayansi ya maumbo na ukomo wa vina vya tafsiri akilini.



Hmmm
 
Umeandika vitu vinavyofikirisha ... Nimeweka kwanza kwa hardcopy ili nichanganue fungu kwa fungu
 
Wakati mmoja humu tutakuja kuzungumza kuhusu Ufahamu Kristu na Ujazi...

Kuna vitu havifahamiki kwa watu wengi angali hawa wakidhani 'wanajua'. Hii ni kwa kuwa maarifa kwa mambo ya kiroho ya ukweli 'yalishadukuliwa' ili kutengeneza kile tunachoweza kukisema: 'Njia iionekanayo ni njema sana katika mtu na hali ya umauti'...

Dini nyingi za duniani na labda zote tu-- ni 'sayansi jamii' zilijitukiza kulingana na viumbe watu wa kigeni wenye nia njema ama isiyonjema kuiingilia maisha ya watu hapa duniani kupitia 'vichwa vya manabii'.

Uzi huu : Kusafiri Kiwakati 101...--unaelekea kuja kuonesha ushahidi kwa hili kadri utavyokuja hata kurefuka siku zijazo.

Unahitaji kukomaa kiakili na kiroho ili uweze kujikwamua na usadikifu pofu wa kimakundi. Ukibarikiwa, siku moja waweze kuuishi kama mtu huru... Hauhitaji kujinasibu na dini hii ama ile, ufuasi kwa hili ama lile -- lenye kuja kwa makusudi ya kibinadamu mwenye kuamini anaishi katika ulimwengu wa vikomo...

Kuna mengi tu katika 'vitabu vya injili' yenye uwalakini wa tafsiri na kumbukumbu kwa maisha, maneno na matendo ya Yesu, kwa mfano.

Wengi wanadhani 'wanamjua' na 'kumpenda Yesu' na hali katika ukweli wa jambo ni kuwa Yesu wanayejishirikishia ni 'roho ingine'--japo siku, tukibarikiwa tutamulika ni namna gani wanavyokuwa 'wanaamini' na kufuga fikra huwa wanahuluku 'viumbe majini'... Natumia neno 'majini' lakini siku za mbele tutatubuni neno sahihi kwa jambo hili. Vitu vyote watu wanavyotengenezea hisia na fikra juu wazo, wanaumba. Hili linafanania na mithali isemayo: zimwi likujualo, halikuli likakwisha... Mtu yeyote anayeumba kitu na kukipa nguvu kwa akili na hisia zake, anaishi 'kunyonywa damu' na hicho...

Tutakukapokuwa tukitafuta kujua kilicho ni hasa, wengi wetu watajukuta inawabidi wapambane na 'majini' yao yenyewe... Wengi wanaojihusisha na ukristo kama dini siajabu watajikuta inawapasa 'kutengeneza amani na Yesu'... Kwa kuwa itaanza kuwa wazi kwao, kuna mengi wamefikiri ni ya Yesu na hali ilikuwa ni muakisiko wa hofu, madhaifu na utegemezi kwa 'mwokozi'...

Yesu halisi, katika wakati na umahala huu, ni 'roho ya ufahamu' si 'nafsi' hasa... Na katikati ya nasibu ya hivi viwili ni namna 'umaizi wa dhahania ya ukuwa na kuwa' katika yule anayenasibika kung'amua mafumbo ya uzima.

Sasa, kuna vitu ambavyo utapata kuvisikia ama kusema umevisoma kuhusu maneno aliyopata kuyasema Yesu, alipokuwa akiishi kama mtu, kwa kukosa kitovu kimoja na 'ufahamu kristu' vinapelekea tafsiri 'isiyo na msaada' juu ya ukweli wa mambo. Labda 'itadukuliwa' kunyonya damu fikra na hisia za udhaifu na mapungufu ya kisaikia.

Huu uzi unazungumzia 'sababu za kubakia maskini'...

Ujazi ni neno ambalo ufahamu wa Kristo ukiaanza kufanyika katika wewe unang'amua kuwa kuishi si ulemavu--Roho ya Kristu hutufikia ili tuwe na ujazi...

Ujazi ni sifa na hali kuwa ama kupata kile unachostahili kuwanacho pale wakati hasa unapokuwa wakihitaji... Na kuishi katika hali ya neema ni sala. Ni namna ya kuishi ambayo utashuhudia wapata kile ambacho chakufaa pale inapofaa...

Yesu alifundisha siri ya hili. Na wakati mmoja, nitafunua lugha ya alama iliyomo katika 'Sala ya Bwana'... Kwa hivi, usiishi kutegemea mtu aliye hai ama mfu, mganga, mpiga ramli, malaika ama hata 'mungu' kwa maneno ya ulimi ama fikara... Kwa kuwa sala ya maneno, labda ni ufunguo tu. Usipoishi kung'amua ukweli wa jambo utaangukia katika kuumba 'majini' yako...

Yesu aliposema yeye ni mungu, si jambo la kujitenga. Ufahamu Kristu katika wewe utakudhahirishia wewe ni mungu pia. Sisi wote ni Mungu. Lakini tumejisahau... Labda twahitaji kukumbushwa halafu tufanye hima 'Kujikumbuka'...

Kutupa fikara la mungu kwa watu wengi 'ni mtihani'. Hii ni kwa kuwa mizizi ya fikara la namna hii imekomaa sana katika saikia watu--hasa wale wenye kujinasibu na usadikifu pofu wa kimakundi... Mungu hana budi kufutiliwa mbali katika saikia za watu ili neema ya kweli na ufunuo vimfikie mtu. Kweli ndicho kinachomuweka mtu huru kwelikweli...

Na huku ndiko kuzungumzia liberiti... Akina Jefferson kule Amerika walikusudia kuasisi Taifa ambalo Liberiti itakuwa ni mbadala wa utumwa wa dini na misingi ya mtu kujichagualia... Lakini Jefferson alikuwa ni mjumbe wa Waashihuru. Hawa wanazofunguo nyingi kuhusu mtu na 'Mungu' kwa mapokeo ya kiarifu yaani ginosia. Wao kwa mfano, walitaka kijenga taifa ambalo watu wataishi, kustawi na kuitafuta furaha... Japo 'walimtanguliza Mungu' ile ilikuwa ni lugha ya alama tu... Mungu kama 'Jicho lenye kuona kote'. Sasa jicho hili lipo ndani ya kila mtu... Hili ndilo hasa Yesu alipata kulizungumza kufanyika pale mtu afanyapo macho yake mawili kuwa jicho moja....

Tukibarikiwa nafasi nitafunua namna gani jicho hili ndicho kiini kwa maada yote, unafasishi, wakati na nishati. Kubaini mambo yenye kupitiliza mwonekano wa nje wahitaji dhahania ya vipeo vya ukomo. Kihisabati huendana dhahania za 1 na 0 na pia matendo × x ÷ - . Hili nitakuja kubayanisha kadri tutakavyokuwa tukimulika sayansi ya maumbo na ukomo wa vina vya tafsiri akilini.



Hmmm

Mada zako hua complex kiasi chake mkuu
 
Huyo mganga au machwai alie kupa utajiri.Yeye ndo anakuwa tajiri zaid yako kwa sababu AMEKUPATA WW.

sikia. Najua ushasikia watu wengie wanasema flani anapesa kwa sababu kauza roho yake kwa shetan(free mason sijui illuminat).
Sikia mtu wa mungu Wqganga wote na wachawi wote WALE WALIPO PALE WAKO JELA, NDIO YANI NI WAFUGWAA😆😨
Walipo pale wana maumivu makali sana lakin hawawezi kusemaa.
Sasa basi kazi yao ni kutafuta Roho za watu. wanazi pataje ? Unapo enda kwa mganga. Ni swa na mtu anaenda kwa sonara kuuza pete ya kito cha samani kisha apewe pesa. Sasa basi unapo enda kwa mganga kupata utajiri maana yake unauza roho yako ww mwenyewe asije kukudanganya mtu. Ina kuwa mbaya Zaid mtu mume kufanya ivo Na Maana laana yake itasambaa zaid,Uzao wake wote utakuwa wa Ni mali ya wenyewe Na ndo shetani Anavo taka.

Mpaka leo evil being humtumia mwanamke kuharibu ulimwengu(KUMBUKA MTU MKE NI CARRIER WA LAANA LAAANA YEYE HAIDHUU KAMA IFANYAVO KWA MUME)

mfao kahaba yule ni carrier wa laana so kila mtu mupe atakae dhini lae itatembea mpaka kizazi chake cha nne na shetani anajua hilo kwamaana uzao ni wa mtu mume sio mke.

Now days most ladies ila sio wote Imeongia roho dunia ya kupenda pesa(Inajiita MONET TALK wacha we)
Roho Imeanza vmbali sana kwanza kwa viongoz wetu wa nchi kupata uchumi wa dunia Fedha kypata kihalali kuwa ni ngumu na ukipata Inakuwa na dhamani ndogo. hii yote ni mlenga mtu mume.
Ikawangia watu wake Wapende pesa sanaa ile wakati huo huo uchumi ukiwa umebana mtu mume aende kwa mganga kuuza ROHO yake awe tajiri na anautapa kweli. uzao wake mpaka kizazi cha Nne.Ndo hvo tu niishie hapo

Dada zangu shetan yupo na nyie pampa tu pampa Ili. coz ili laana isambae inatakiwa ianzie kwa mwamamke , Mrembo sanaa.

(HAWA Alikuwa wakwanza kula tunda lakin hakuona na wala haikutokea tofauti yoyote lakin PINDI ADAM,
Mshana Jr Da'Vinci @ Zero IQ kala tu kika umana ndo mlengwa😅😅😅
 
Huyo mganga au machwai alie kupa utajiri.Yeye ndo anakuwa tajiri zaid yako kwa sababu AMEKUPATA WW.

sikia. Najua ushasikia watu wengie wanasema flani anapesa kwa sababu kauza roho yake kwa shetan(free mason sijui illuminat).
Sikia mtu wa mungu Wqganga wote na wachawi wote WALE WALIPO PALE WAKO JELA, NDIO YANI NI WAFUGWAA😆😨
Walipo pale wana maumivu makali sana lakin hawawezi kusemaa.
Sasa basi kazi yao ni kutafuta Roho za watu. wanazi pataje ? Unapo enda kwa mganga. Ni swa na mtu anaenda kwa sonara kuuza pete ya kito cha samani kisha apewe pesa. Sasa basi unapo enda kwa mganga kupata utajiri maana yake unauza roho yako ww mwenyewe asije kukudanganya mtu. Ina kuwa mbaya Zaid mtu mume kufanya ivo Na Maana laana yake itasambaa zaid,Uzao wake wote utakuwa wa Ni mali ya wenyewe Na ndo shetani Anavo taka.

Mpaka leo evil being humtumia mwanamke kuharibu ulimwengu(KUMBUKA MTU MKE NI CARRIER WA LAANA LAAANA YEYE HAIDHUU KAMA IFANYAVO KWA MUME)

mfao kahaba yule ni carrier wa laana so kila mtu mupe atakae dhini lae itatembea mpaka kizazi chake cha nne na shetani anajua hilo kwamaana uzao ni wa mtu mume sio mke.

Now days most ladies ila sio wote Imeongia roho dunia ya kupenda pesa(Inajiita MONET TALK wacha we)
Roho Imeanza vmbali sana kwanza kwa viongoz wetu wa nchi kupata uchumi wa dunia Fedha kypata kihalali kuwa ni ngumu na ukipata Inakuwa na dhamani ndogo. hii yote ni mlenga mtu mume.
Ikawangia watu wake Wapende pesa sanaa ile wakati huo huo uchumi ukiwa umebana mtu mume aende kwa mganga kuuza ROHO yake awe tajiri na anautapa kweli. uzao wake mpaka kizazi cha Nne.Ndo hvo tu niishie hapo

Dada zangu shetan yupo na nyie pampa tu pampa Ili. coz ili laana isambae inatakiwa ianzie kwa mwamamke , Mrembo sanaa.

(HAWA Alikuwa wakwanza kula tunda lakin hakuona na wala haikutokea tofauti yoyote lakin PINDI ADAM,
Mshana Jr Da'Vinci @ Zero IQ kala tu kika umana ndo mlengwa😅😅😅
Mkuu naona umeamua kumponda nyoka kichwani😅
Wachawi wanahesabu kali sana mkuu.. Imagine. Unaambiwa kula maziwa na ugali tu for the ret of your life. Lazima uwe na hela ty Technically hio ipo financially
 
Mkuu naona umeamua kumponda nyoka kichwani😅
Wachawi wanahesabu kali sana mkuu.. Imagine. Unaambiwa kula maziwa na ugali tu for the ret of your life. Lazima uwe na hela ty Technically hio ipo financially
wachawi wanashida sanaa
 
"Furaha yao ni kuongeza nguvu zao za uchawi/kuroga kama alikua ana uchawi wa kuua kwa saa apate uchawi wa kuua kwa sekunde"

Kama hii ndio furaha sidhani kama hawa ni watu smart sana kichwani au rohoni, labda hawa wachungaji matapeli wanaojitajirisha kupitia waumini wao unaweza kuwapa hiyo sifa.
Hii hata Mimi inanifikirisha!! Kama kanuni ni hiyo kwanini basi Hawa wanaojiita Mitume/Manabii/Wachungaji/ wanajitajirisha wao huku waumini wao wakiwaacha kwenye dimbwi la umasikini? Kwà nguvu hizo hizo za kiroho za uponyaji kwà nini nawao wasifate kanuni hiyo ya umasikini mwilini utajiri rohoni (wa karama)?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mganga na mchawi, usichanganye mambo, kuna wachawi kazi yao ni uchawi tu, na hata huwezi kujua au kukisia kuwa huyu ni mchawi, lkn kuna wengine ni waganga tu, kazi yao ni kutibu na kuponyesha, haruhusiwi kuuwa wala kushika dawa mbaya inayoambatana na kuua, lkn kuna wengine kazi yao ni kutabili tu, unakwenda kwake anakutabilia, anakuambia na vitu utakavyoviona, kama utakutana na simba au mwehu au itakuja mvua au kuna tukio litatatukia mda furani wewe ukiona hivyo fanya hivi na itakuwa hivi

Kwa hiyo hawa watu wanatofauti sana, na si kweli kuwa ni watu waovu, Hapana, ni watu wazuri sana na sana hofu sana ya mungu, shida kuna watu wanaamini mungu yupo kanisani au msikitini, ndio maana wanawahukumu kuwa ni watu waovu,
100%
 
Kwa mfano,nakumbumbuka mwaka furani,kijana mmoja mfanyabiashara wa kuku,akiwa anatokea kijiji cha bukamba,alipofika bukiligulu alikutana na mzee halawa kabiga,wakasalimiana,mzee akamuuliza kijana unaenda wapi?, kijana akajibu ninaenda kuzungu kwenye gulio kkusanya kuku,mzee akamwambia mbona naona kama nyumbani kwako kuna mgonjwa?, kijana akajibu hapana nyumbani woote ni wazima kbs,na nimewaacha shambani wanalima,mzee mwana kabiga akamwambia yule kijana kuwa rudi nyumbani kuna mgonjwa,na ukifika angalia mti iliyokaribu na kwako utakuta nyuki juu ya mti,kata majani ya huo mti,pondaponda umnyweshe mgonjwa atapona,kijana akakubali,lkn yule mzee baada ya kuondoka yule kijana akageuza kwenda gulioni,alifika akaanza kununua kuku,akalala kizungu,kesho yake akaamkia kwenda kwenye gulio lingine lyabukande,kwenye mda wa saa tatu hivi akaona kijana anatokea kijiji chao,akasema nimekutafuta sn,twende nyumbani mke wako ni mgonjwa mno,wakaondoka kwenda kufika akakuta watu wamekusanyikana,mkewe kafariki dunia,kkt mzunguka wa kuzika,akaona mti furani juu yake kuna nyuki,na Ile mti upo zizini,,kwa hiyo waganga wapo,wachawi wapo,na watabili pia wapo,na watabili wana mambo ya kiroho zaidi,
 
Kwa mfano,nakumbumbuka mwaka furani,kijana mmoja mfanyabiashara wa kuku,akiwa anatokea kijiji cha bukamba,alipofika bukiligulu alikutana na mzee halawa kabiga,wakasalimiana,mzee akamuuliza kijana unaenda wapi?, kijana akajibu ninaenda kuzungu kwenye gulio kkusanya kuku,mzee akamwambia mbona naona kama nyumbani kwako kuna mgonjwa?, kijana akajibu hapana nyumbani woote ni wazima kbs,na nimewaacha shambani wanalima,mzee mwana kabiga akamwambia yule kijana kuwa rudi nyumbani kuna mgonjwa,na ukifika angalia mti iliyokaribu na kwako utakuta nyuki juu ya mti,kata majani ya huo mti,pondaponda umnyweshe mgonjwa atapona,kijana akakubali,lkn yule mzee baada ya kuondoka yule kijana akageuza kwenda gulioni,alifika akaanza kununua kuku,akalala kizungu,kesho yake akaamkia kwenda kwenye gulio lingine lyabukande,kwenye mda wa saa tatu hivi akaona kijana anatokea kijiji chao,akasema nimekutafuta sn,twende nyumbani mke wako ni mgonjwa mno,wakaondoka kwenda kufika akakuta watu wamekusanyikana,mkewe kafariki dunia,kkt mzunguka wa kuzika,akaona mti furani juu yake kuna nyuki,na Ile mti upo zizini,,kwa hiyo waganga wapo,wachawi wapo,na watabili pia wapo,na watabili wana mambo ya kiroho zaidi,
Mkuu nakuelewa Sana. Kisa kinasisimua Sana hiki, haipaswi kuwazarau hawa watu. Sema watu wengi huwa wanabebwa na ule mkumbo wa mihemko ya kidini na kuwakashifu, mambo yakiwawia ugumu wanawafata wawasaidie. Mimi huwa ninasema, "Siku zote achia Akiba ya maneno." Wengi wanawazarau waganga na watabiri kumbe nyuma ya pazia ndio wateja wao wakubwa. Siongelei wachawi
 
Mkuu nakuelewa Sana. Kisa kinasisimua Sana hiki, haipaswi kuwazarau hawa watu. Sema watu wengi huwa wanabebwa na ule mkumbo wa mihemko ya kidini na kuwakashifu, mambo yakiwawia ugumu wanawafata wawasaidie. Mimi huwa ninasema, "Siku zote achia Akiba ya maneno." Wengi wanawazarau waganga na watabiri kumbe nyuma ya pazia ndio wateja wao wakubwa. Siongelei wachawi
Naaam,na huo ndio ukweli wenyewe,watu hawa wapo,na si watu waovu kama tunavyoaminishwa,ni watu wazuri na ni wanyoofu,na kazi zao haziegemei ktk kujinufausha,
 
Sometimes I think knowledge is my Curse
Nilikua mahali nawaza Kuhusu hiyo phrase ya Convincing the body. Then all this stuff/information popped up on my head.. Ndivyo navyopataga ideas.

Nafarijika kusikia umejifunza vitu toka kwangu
Mkuu umesema watawa wa Katoliki hawajishughulishi na utafutaji wa pesa! Sikweli hata kidogo!!

1-Mbona wanajenga mashule, na ndio wenye shule nyingi kuliko taasisi yoyote!! halafu ada zao ziko juu!!
2-Wanajenga mahospital, ndio wanaongoza kwa ghalama kumbwa za matibabu!

Watawa wa Katoliki wanapesa ni balaa!
Achakutuamisha hivyo, mi nawaonaga watawa ni wapigaji tu! Ila mbinu zao za upigaji zimeboreshwa zaidi.
 
Mkuu umesema watawa wa Katoliki hawajishughulishi na utafutaji wa pesa! Sikweli hata kidogo!!

1-Mbona wanajenga mashule, na ndio wenye shule nyingi kuliko taasisi yoyote!! halafu ada zao ziko juu!!
2-Wanajenga mahospital, ndio wanaongoza kwa ghalama kumbwa za matibabu!

Watawa wa Katoliki wanapesa ni balaa!
Achakutuamisha hivyo, mi nawaonaga watawa ni wapigaji tu! Ila mbinu zao za upigaji zimeboreshwa zaidi.
Sio mali za mtu mmoja mmoja bali ni za Kanisa/Parokia husika. Kiapo cha mapadri hakiwaruhusu kujishikiza katika mali. Ndio maana padri akihamishwa anahama yeye kama yeye na nguo tu.
Makanisa, Hospital na Shule ni mpango wa Jesuit.
 
Back
Top Bottom