Sababu zinazochangia mahusiano ya mapenzi kupungua ladha

1. Ukosefu wa uaminifu katika mahusiano.

2. Tamaa ya pesa na mali

3. Ujinga (kutokuwa na maarifa juu ya mahusiano)

4. N.k
 
Mambo haya yamevunja uhusiano wangu, sina budi kusema ahsante mungu:

1. Uongo
2. Usaliti
3. Tamaa
4. Kukosa msimamo
5. Dharau

Nilifanya mambo mengi sana ya kujito katika familia yake lakini still bado aliniacha na kwenda kwa ex-wake kisa, jamaa ana hela. Nilinusurika kufa kwa uchawi kisa bibi yake anamtaka huyo jamaa mwenye hela za utapeli.

Huwezi kuamii nilirogwa na watu wawili tofauti; bibi na ex wa demu kisa tu, demu alikuwa hataki kwenda kwa jamaa. Hata mtoto aliyenaye ni wangu, ila jamaa anaaminishwa kuwa wake.

Mwishoni mwa siku binti alisema "unajifanya supastaa wa kutoa mapenzi tu". Mtoto amebadilishwa mpaka jina.....

Nb: Wanaume tuendelee kutafuta hela za kuwapa wanawake
Kwahiyo sasahivi amesharudi kuomba msamaha?
 
Ukipata mpenzi anayekuelewa na kukupenda basi hata dunia iwe ya tabu vipi kwako utaiona inazunguka kama kawaida na maisha yatasonga mbele kwako kwa raha mustarehe, na hata matatizo mengine makubwa kwako huwa madogo kwa sababu tu unapenda na kupendwa kwa dhati.
Upo vizuri kwenye research kiongozi,.
 
Mambo haya yamevunja uhusiano wangu, sina budi kusema ahsante mungu:

1. Uongo
2. Usaliti
3. Tamaa
4. Kukosa msimamo
5. Dharau

Nilifanya mambo mengi sana ya kujito katika familia yake lakini still bado aliniacha na kwenda kwa ex-wake kisa, jamaa ana hela. Nilinusurika kufa kwa uchawi kisa bibi yake anamtaka huyo jamaa mwenye hela za utapeli.

Huwezi kuamii nilirogwa na watu wawili tofauti; bibi na ex wa demu kisa tu, demu alikuwa hataki kwenda kwa jamaa. Hata mtoto aliyenaye ni wangu, ila jamaa anaaminishwa kuwa wake.

Mwishoni mwa siku binti alisema "unajifanya supastaa wa kutoa mapenzi tu". Mtoto amebadilishwa mpaka jina.....

Nb: Wanaume tuendelee kutafuta hela za kuwapa wanawake
Hivi kumbe bado mnaendelea kupambana kutafuta hela za kuwapa wanawake?😃😃 Mtanishtua mkimaliza...
 
Dharau mbaya sana hata katika mauhusiano,duu mie ilinitokea mwaka jana tu nikampiga chini Mwanamke ambae nilikua nimemvalisha pete ya uchumba na kujitambulisha kwao.ebana demu ana mdomo mchafu hana heshima kabisa ukienda nae sehem kukejeli watu wahadumu.nilimuonya mara 3 ya 4 nikampiga chini japo nilimpenda saana
 
Back
Top Bottom