Michael Chairman
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 922
- 581
imeripotiwa tayari Rais yupo Burundi wanamtafuta aliyekuwa anajinasibu kupindua serikali ya nkurunzinza.
Halafu atatokea ntu anaejiita Yericko Nyerere na mwengine anaejiita Mzee Mwanakijiji watachukuwa hii "analysis" wataigeuza kidogo na kujifanya ni yao.
Ahsante barafu kwa "analysis" ya moto.
Nimesoma vzuri ila najiuliza kwani kama wangeruhusu ndege kutua japo hawakuwa na uhakika sio ndio wangemkamata kiulaini tu?
Naomba kuuliza:Kwa kuwa wanajeshi walishaudhibiti uwanja wa Bujumbura kwa nini hawakumwacha atue halafu ndo wamkamate baada ya kushuka? Je kama issue ilikuwa kumuua isingewezekana akiwa nje ya ndege tena ndani ya nchi yake?
Wewe umekuja na taarifa mpya au niseme umekuja na nyongeza yako.Mkuu nijaribu kukusaidia kidogo. Waendesha ndege waliokuwa uwanjani walikuwa wanajua kinachoendelea na walikua ni sehemu ya utii kwa Rais kama waajiriwa. Tatizo walikuwa wamezingirwa na askari na waliwajibika kufanya mawasiliano bila kuwaonyesha wanajeshi waasi kuwa wanayemtaka yumo kwenye hiyo ndege. Walifanya mawasiliano kwa akili kwanza kwa kujifanya wanamuuliza pilot abiria alionao, mwisho wakamjibu huku k47 zikiwaangalia "you can land at your own risk..." Pilot alipochanganya na zake akageuza kurudi alipotoka na ndiyo ikawa salama ya dogo
barafu una uwezo mkubwa wa kufisha ujumbe
Pengine habari hii hii ingeandikwa na mtu mwingine pengine isingekuwa na mvuto kiasi hiki
Ni kama dada mmoja hivi huwa ana mtiririko mzuri sana wa kiuandishi japo huwa siko interested na vitu anavyoongeleaga lakini nalazimika kusoma tu kwa sababu ya stail ya usimuliaji katika maandishi
Na kinachonifurahisha zaidi huna jazba hata watu wakuconfront vipi, unajibu ukiwa umetulia with settled mind na wala hutukani wala hutumii lugha za matusi.
Nimejifunza jambo kubwa sana kwako
Big up mkuu
Kwa kulisha watu matango pori,hujambo aisee.Atarudi.Subiri.
Waasi Walikataa kuruhusu hiyo ndege kutua sababu waliogopa wakihisi ina makomandoo wa Tanzania WENYE UWEZO WA KUCHUKUA AIRPORT ILIYOTEKWA KWA MUDA MUFUPI.Walipoambiwa imekodiwa na mteja dar-bujumbura-dar.Ikawatisha. Wakaanza kujinyea airport.Wakasema utue at your own risk wakazima taa zote za aiport wakatokomoe kusikojulikana maruhuni wakubwa.Ndege ikawa haiwezi kutua gizani
Atarudi.Subiri.
Waasi Walikataa kuruhusu hiyo ndege kutua sababu waliogopa wakihisi ina makomandoo wa Tanzania WENYE UWEZO WA KUCHUKUA AIRPORT ILIYOTEKWA KWA MUDA MUFUPI.Walipoambiwa imekodiwa na mteja dar-bujumbura-dar.Ikawatisha. Wakaanza kujinyea airport.Wakasema utue at your own risk wakazima taa zote za aiport wakatokomoe kusikojulikana maruhuni wakubwa.Ndege ikawa haiwezi kutua gizani
wakuu samahani najua nitawaudhi wengi kwa maoni yangu but then again nimejaribu kuisoma mara nyingi sana hii post sioni chochote kilichoongelewa zaidi ya uji mtupu aisee.. yani kawasimlia muvi za rambo zile halaf na nyie mmetoa macho kabisa kumskiliza na kumsifia. ngoja niwambie wakuu haya mambo sio rahis kama huyu kunguni mtoa mada anavotaka tuyaone sana sana mnaishusha tu hadhi hii forum kwa kuamin stori nyingine za kipuuzi ambazo sio hadhi ya jf. anyway mna uhuru wa kusikiliza na kukubali bwana
barafu una uwezo mkubwa wa kufisha ujumbe
Pengine habari hii hii ingeandikwa na mtu mwingine pengine isingekuwa na mvuto kiasi hiki
Ni kama dada mmoja hivi huwa ana mtiririko mzuri sana wa kiuandishi japo huwa siko interested na vitu anavyoongeleaga lakini nalazimika kusoma tu kwa sababu ya stail ya usimuliaji katika maandishi
Na kinachonifurahisha zaidi huna jazba hata watu wakuconfront vipi, unajibu ukiwa umetulia with settled mind na wala hutukani wala hutumii lugha za matusi.
Nimejifunza jambo kubwa sana kwako
Big up mkuu
JF ukiisoma hata kama uko msibani utaangua kicheko tuu. Najaribu kufikiria kama ni muongoza ndege halafu unamsikia rubani anasema ".......CONTROL TOWER! THIS IS FISI ONE READY TO LAND ....." waweza kupigwa bumbuazi ukazani ni wale wa Sumbawanga wanatua kwa ungoBila kusahau sign call ya helicopter ya mwenyekiti wa CCM ni fisi one.
barafu nimekuelewa sana ila kwann hali ya Burundi haieleweki je kuna watu ambao wanataka pierre aendelee au ni yeye mwenyewe anataman pia jenerali aliempindua ni kutoka kabila lipi je ni tofauti na lake. Humu siku mbili hizi cjawaona wazee wa msituni jMali na mwenzie GENTAMYCINE
Wewe Tena UKOME! Aliyekuambia Mimi Mzee Wa Msituni Ni Nani? Acha KUNITANGULIZA. Oya Hujambo Lakini? Ebwana Nilikoswakoswa Kidogo Sehemu Za Kitonga J/pili Iliyopita Ila Sasa Nipo Njema Na Naliendeleza. Nimekumisi Na Nimewamisi Pia Mamentali Humu.