mpo kwa ajili yetu sasa. kwani we lini mara ya mwisho kutongozwa?
Hakuna sababu ni u-kiboro dinda tu, dushe mkononi papuchi kwa jirani
Mtu kama ni mke wa mtu kwnn umtongoze? na amekwambia hataki
Nashindwa kuelewa ni kwanini wanaume mnapenda kutongoz kila mwanamke? unakuta ankutongoza unamwambia mimi ni mke wa mtu lakin bado anang'ang'ania kukutongoza. Badilikeni acheni hizo tabia mnakera sana.
We nahisi hujakereka vizuri..Nwei Ukitaka usisumbuliwa we kaa kimya tu kwa kila unachoongeleshwa..that is the best way..Mtu hawezi kuongea peke yake..Nashindwa kuelewa ni kwanini wanaume mnapenda kutongoz kila mwanamke? unakuta ankutongoza unamwambia mimi ni mke wa mtu lakin bado anang'ang'ania kukutongoza. Badilikeni acheni hizo tabia mnakera sana.
Mtu kama ni mke wa mtu kwnn umtongoze? na amekwambia hataki
We nahisi hujakereka vizuri..Nwei Ukitaka usisumbuliwa we kaa kimya tu kwa kila unachoongeleshwa..that is the best way..Mtu hawezi kuongea peke yake..
Ndo hapo sasa..Mtu hutaki lakini unaendeleza conversationsHataki huku namba katoa na kila sms anaijinu fasta...