kamati
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 240
- 109
wanamme huwa tunaamua kuwa na mke zaidi ya mmoja kwa sababu hizi kwanza katika ile hali mke wako anakuwa mchafu hajijali akiwa home inajenga mazingira ya kero na kuamua kutafuta mrembo nje ili atufarij sababu ya pili ni pale mwanamke anakuwa na uja uzito mpaka kujifungua hiyo huwa inachukua mpaka miezi miwili mpaka mitatu so mwanaume kuvumilia hicho kipind haiwezekani sasa anapoenda kudo anakuta mtoto mtundu kwenye gem ananogewa