Sababu za Wacongo, Wamalawi na Wazambia kuikimbia Kariakoo siri hii hapa. TRA wanahusika pia

Watu hawasafiri mkuu na kama wanasafiri ni kwa uchache sana na sababu kubwa ni mabus hayavuki boda. Mfano kulikua na Falcon na Taqwa zinaenda Lilongwe direct. Now hazifiki huko zunaishia boda na hazina abiria hata kdg.Sababu nyingine ni wengi ilikua ni rahisi kupenya hadi Dar coz mabasi yalikua yanawasaidia kupita kwenye roadblocks za immigration. Now imekua tabu sana kwa wale wasio na proper docs. Na hata ugongaji passport umekua wa tabu sana tofaut na mwanzo kabla ya Corona. Ni mambo mengi naweza elezea kwanini watu kutoka mataifa hayo wamepungua kkoo.LAKINI kwa vyovyote vile hakuna tena sana WAMALAWI NA WAZAMBIA waliokua wanafunga mzigo kkoo eti wamehamia Nairobi. Ungesema Wamehamia Tunduma au Kyela atleast kuna sababu hiyo na ina mashiko.
Usiongee sana mkuu Wazambia wanachukua viatu vya mtumba Nairobi na wanakuja kuuza SA Mimi nashinda road na nipo SA nilikuja na bus kabla hakujafungwa ntatoka na gari Zimbabwe ndio wamefunga mipaka na Botswana huwa wanafata matakwa ya SA wakifungua nao wanafungua na sasa hivi wanafata masharti ya SA...Truck za mafuta sasa hivi nyingi zinapakia msumbiji kwenda Kongo na Wazambia bongo wamepungua kwa sababu ya usumbufu wetu wengi wanakuja huku wengine wa viatu vya mtumba wanaenda Nairobi hata Watanzania baadhi pia maana huku vinauzwa bei kidogo zipo sababu nyingi mno nikiwa na nafasi ntaandika kwa uchache...
 
Usiongee sana mkuu Wazambia wanachukua viatu vya mtumba Nairobi na wanakuja kuuza SA Mimi nashinda road na nipo SA nilikuja na bus kabla hakujafungwa ntatoka na gari Zimbabwe ndio wamefunga mipaka na Botswana huwa wanafata matakwa ya SA wakifungua nao wanafungua na sasa hivi wanafata masharti ya SA...Truck za mafuta sasa hivi nyingi zinapakia msumbiji kwenda Kongo na Wazambia bongo wamepungua kwa sababu ya usumbufu wetu wengi wanakuja huku wengine wa viatu vya mtumba wanaenda Nairobi hata Watanzania baadhi pia maana huku vinauzwa bei kidogo zipo sababu nyingi mno nikiwa na nafasi ntaandika kwa uchache...
Hao wanaofunga viatu Nairobi walikua wanafunga Dar?Kuwa SA sio hoja,swala ni kuelewa mfumo wa hizi biashara za hizo nchi.Before Corona mambo yalikua safi tu,lkn baada ya Corona hali imebadilika sana.Kuna wasafiri wa kutoka Hizo nchi wanaenda Dar lkn kwa uchache sana na sababu kubwa ni hiyo Corona. Corona imebadili mfumo wa usafiri kuanzia Boda na humo njiani.Nilikua na watu wengi sana wanafanya biashara lkn wengi wanasua sua kutokana na ugumu uliopo, kwanza Kugonga passport tu ni utata, humo njiani ni shida tupu.Kwa vyovyote vile HAKUNA mfanyabiashara wa hizo nchi eti kahamia Nairobi.
 
Wale sio machinga walioshindwa kukimbia ilibidi kujiongeza unaenda china au dubai na wewe ukifika unaweka mzigo stoo unaagiza vijana mkoani wanakuja unagawagawa mzigo jioni wanakabidhi hesabu siku zinasogea, maana waliwaruhusu wakaleta fujo ikabidi kujiongeza.
Kumbee
 
@MISULI kwa nini Muangola aliekua anakuja kununua maharage Tanzania siku hizi anafuata maharage ya njano Uganda na anafuata maharage yale mix Burundi akitoka huko Bongo yanapita kama transit anaondoka zake na asinunue tena Mbeya au asiende kununua maharage makambako yale yanayotokea Songea?
 
Sasa wewe mfanyabiashara umeuza bidhaa kwanini usitoe risiti kwa mteja wako?? Mwisho wa siku mnawasumbua wateja. Kukimbia kwa hao watu ni nyie ndo mnahusika wala sio TRA, TRA wapo kwenye majukumu yao ya kikazi kuhakikisha sheria inafuata. Me nakutana na wakongo daily kariakoo wengi tu wananunua bidhaaa
 
Hao wanaofunga viatu Nairobi walikua wanafunga Dar?Kuwa SA sio hoja,swala ni kuelewa mfumo wa hizi biashara za hizo nchi.Before Corona mambo yalikua safi tu,lkn baada ya Corona hali imebadilika sana.Kuna wasafiri wa kutoka Hizo nchi wanaenda Dar lkn kwa uchache sana na sababu kubwa ni hiyo Corona. Corona imebadili mfumo wa usafiri kuanzia Boda na humo njiani.Nilikua na watu wengi sana wanafanya biashara lkn wengi wanasua sua kutokana na ugumu uliopo, kwanza Kugonga passport tu ni utata, humo njiani ni shida tupu.Kwa vyovyote vile HAKUNA mfanyabiashara wa hizo nchi eti kahamia Nairobi.
Walikua wanafunga viatu Ilala hapo wahindi wa viatu nadhani wameacha hiyo biashara korona ipi unaizungumzia wewe wakati hapo Zambia muuzaji mkubwa wa mafuta diesel na petrol ni Mtanzania huko kapata usumbufu wa kutosha akaamua kukimbilia Nchi jirani anapiga kazi vizuri tuu....Nchi ilishapotea sera zake hata kabla ya ugonjwa na ugonjwa umekuja kuongezea tuu...
 
VAT hii kodi ukumbuke ni 18% ya mauzo ukumbuke mauzo yamechanganya na mtaji, sasa kwa nini isiwe 18% ya faida kwenye mauzo fulani unapochukua mauzo asilimia fulani nako ni kuumizana nadhani tupige asilimia za faida ili mtaji ubaki ili ukue zaidi ndio maana unasikia VAT ni kilio kwetu tulio wengi kwa kua tozo inagusa mtaji

Unajua VAT inavofanya kazi??
 
Hatukatai hiyo VAT lakini ingekua kwa mfano nimenunua kitu shilingi 1000 nimeuza shilingi 1500 yaani wao wakija wanachukua asilimia 18 ya hiyo 1500 ukumbuke kwenye hiyo 1500 kuna mtaji wangu pia kwa nini tusipige hesabu hiyo 1000 ya mtaji niitoe halafu ile faida ya juu yaani kwenye 500 ya faida wakate asilimia yao kumi na nane halafu faida nyingine waniachie waone watu watakavomiminika kwenda kulipa kodi yao kama hawatokusanya nyingi kuliko hivi wanasababisha mtu unakwepa na kodi yenyewe

VAT haipo hvo mkuu hujui vat ni nn ndomana unaandika vitu usivyojuaa ( VAT= output tax-input tax) na VAT inaweza kuwa payable/refundable wengi hamna elimu ya VAT
 
Walikua wanafunga viatu Ilala hapo wahindi wa viatu nadhani wameacha hiyo biashara korona ipi unaizungumzia wewe wakati hapo Zambia muuzaji mkubwa wa mafuta diesel na petrol ni Mtanzania huko kapata usumbufu wa kutosha akaamua kukimbilia Nchi jirani anapiga kazi vizuri tuu....Nchi ilishapotea sera zake hata kabla ya ugonjwa na ugonjwa umekuja kuongezea tuu...
Kwahiyo Mount Meru,Bakhresa na wengine kufungua biashara nje ya nchi ni kukimbia TANZANIA?Hizo story Wasouth kuchukua viatu vya mtumba Dar unatoa wapi?Wakati watu wanatoa Viatu vya mtumba Malawi na kupeleka Tz?Nachoona Hapa mnaleta SIASA kwenye mambo yasiyo na SIASA. Huyo mwenzio huko juu anasema wamalawi, wacongo na Zambia wamekimbia kisa TRA,Hizi pumba katoa wapi?
 
Walikua wanafunga viatu Ilala hapo wahindi wa viatu nadhani wameacha hiyo biashara korona ipi unaizungumzia wewe wakati hapo Zambia muuzaji mkubwa wa mafuta diesel na petrol ni Mtanzania huko kapata usumbufu wa kutosha akaamua kukimbilia Nchi jirani anapiga kazi vizuri tuu....Nchi ilishapotea sera zake hata kabla ya ugonjwa na ugonjwa umekuja kuongezea tuu...
Kwahiyo Mount Meru,Bakhresa na wengine kufungua biashara nje ya nchi ni kukimbia TANZANIA?Hizo story Wasouth kuchukua viatu vya mtumba Dar unatoa wapi?Wakati watu wanatoa Viatu vya mtumba Malawi na kupeleka Tz?Nachoona Hapa mnaleta SIASA kwenye mambo yasiyo na SIASA. Huyo mwenzio huko juu anasema wamalawi, wacongo na Zambia wamekimbia kisa TRA,Hizi pumba katoa wapi?
 
Kwahiyo Mount Meru,Bakhresa na wengine kufungua biashara nje ya nchi ni kukimbia TANZANIA?Hizo story Wasouth kuchukua viatu vya mtumba Dar unatoa wapi?Wakati watu wanatoa Viatu vya mtumba Malawi na kupeleka Tz?Nachoona Hapa mnaleta SIASA kwenye mambo yasiyo na SIASA. Huyo mwenzio huko juu anasema wamalawi, wacongo na Zambia wamekimbia kisa TRA,Hizi pumba katoa wapi?
Naona unalazimisha vitu virahisi tuu sema ni vile umejifungia unabaki kunabisha hiyo ya kutoa viatu vya mtumba Nairobi ni biashara na vijana wanauza hapo park station sehemu ya 3000 km tuu inakua giza totoro kwako harafu unataka tubadilishane aidea sasa huoni kwamba mount anafanya vizuri Zambia kuliko Tanzania mpaka Chipata huko yupo na filling station za kisasa...
 
Naona unalazimisha vitu virahisi tuu sema ni vile umejifungia unabaki kunabisha hiyo ya kutoa viatu vya mtumba Nairobi ni biashara na vijana wanauza hapo park station sehemu ya 3000 km tuu inakua giza totoro kwako harafu unataka tubadilishane aidea sasa huoni kwamba mount anafanya vizuri Zambia kuliko Tanzania mpaka Chipata huko yupo na filling station za kisasa...
Wewe unakariri mambo. Mount Meru yupo moshi Dar na sehemu mbalimbali na yupo nchi zingine pia. Swala ni kupanua mipaka ya biashara. Kwa akili yako mtu kufungua biashara nje maana yake Tz hali tete.Ni 2018 Mount Meru kafungua kituo Kinyerezi wakati huohuo nchi zingine pia kafungua. Shida iko wapi?Acheni SIASA uchwara kwenye Biashara.
 
Huu uzi nahitaji tujadili kwa kina nini kilitokea hadi Kariakoo imebakia kama soko la kawaida kuliko zamani.

Kwanza wafanyabiashara hapo juu wamehamia Nairobi na Kampala kufanya manunuzi yao ya zile bidhaa za dukani walizokua wanafuata kariakoo.

Kodi na hasa makadirio yalikua sio rafiki, hapa wafanyabiashara wengi baada ya kuumizwa wengi walifunga biashara au kuhamia nchi nyingine kama hivi mimi nilivohama.

WALE MNAITA TASK FORCE NA POLISI KUWASUMBUA WACONGO, WAMALAWI NA WAZAMBIA NA KUWAPOTEZEA MUDA MARA WAWAHOJI RISITI AU WAWAULIZE WAMENUNUA WAPI MIZIGO HII ILIFANYA WAONDOKE KWA WINGI.

Hapo nimeandika kwa herufi kubwa kwa sababu huo usumbufu ulikithiri na baadhi ya wafanyabiashara kupoteza mitaji na imani, lakini pia kumfuatafuata mtu hotel aliyofikia utadhani jambazi hii iliwakimbiza. Wewe mtu kafika kihalali nchini kwanini uanze kumfuata hotel aliyofikia utahisi ni mwizi au muhujumu uchumi?

Nitaendelea kutoa sababu japo mimi si mwandishi mzuri na nini kifanyike ili na sisi turudi huko kuendelea na biashara.
Acha Unafiki, Uwongo na Uwoga tafadhali Ndugu. Hawa TRA unawasingizia tu ila anayekimbiwa ni Mpuuzi na Mshamba Mmoja wa Kikatiba hapa nchini ambaye hata Corona inamshangaa kwa Yeye Kutomkaribisha vyema Tanzania wakati yupo Kitambo sana na sasa kaja Kivingine huku akitukomesha kisawasawa pia.
 
Back
Top Bottom