- Thread starter
- #81
Wacongo wameondolewa na urasimu wa sera zenu na personal harassment wanazofanyiwa, aliyesema wewe sio mfanyabiashara kwa ulichoandika wewe ni mbumbumbu na hujui Businness area ina umia kiasi gani, wewe ni mwajiriwa tu hujui loloteumejuaje sijawahi kufanya biashara yoyote!!
umefikiaje uamuzi wa kuandika sina chochite ninachokijua!!...