Sababu za upinzani kukosa mvuto na kushindwa kila uchaguzi ni CCM mpya. Hoja ya wapinzani juu ya uonevu kutoka kwa wakurugenzi na Tume haina mashik

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,589
4,600
Tukirudi nyuma kuanzia mwaka 2008-2015, upinzani Tanzania ulikuwa na mvuto kutoka kwa wananchi na wananchi walivutiwa sana na agenda za ufisadi na rushwa ambazo zilitamalaki kipindi hiko. Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo( CHADEMA) kikajizolea umaarufu na mvuto mkubwa kiasi kwamba kilikuwa kinatazamiwa kuwa tishio kwa CCM kwa chaguzi zijzo.

Kuanzia mwaka 2015 hasa kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu, CHADEMA waliua agenda zote za ufisadi na rushwa nchini kwa kipindi chote cha miezi mitatu ya kampeni. CHADEMA haikusikika hata mara moja ikizungumzia ufisadi na rushwa kuanzia timu ya kampeni ya CHADEMA taifa mpaka kwenye kata. Kitendo cha kuua agenda za ufisadi na rushwa, kwa sababu wanazozijua wao ndio ulikuwa ni mwanzo la kukosa mvuto kwa CHADEMA.

Hali ya kukosa mvuto ikaendelea kuleta matokeo hasi kwa CHADEMA na upinzani kwa ujumla hasa kushindwa kila uchaguzi pale unaposhiriki. Watanzania walihitaji kujua vyama vya siasa vitashiriki vipi katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi. Kitendo cha upinzani kuzunguka nchi nzima bila kuyazungumzia mambo hayo kiliwastaajabisha na kuwashangaza watanzania na watanzania kuanzia hapo wanakistaajabisha na kukishangaza Chama hiko kila uchaguzi.

Wote ni mashahidi, katika mapambano dhidi ya Rushwa na Ufisadi Rais Magufuli alipambana sana hata kabla ya kuwa Rais, kwenye kampeni zake 2015 alishiriki kwa namna kubwa na ya kutia moyo angalau kuonyesha hisia zake ni jinsi gani atashughulika nayo. Hii ikamuongezea mvuto sana na CCM ikazidi kuvutia kwa wananchi kiasi kwamba kila uchaguzi toka 2015 imekuwa ikiibuka kidedea.

Katika kuhahakisha CCM inapata mvuto na inashinda kila uchaguzi, Mwenyekiti wa CCM taifa Ndg. Dkt John Magufuli alihahakisha anaifanya CCM inakuwa mpya na huo ndio ukawa mwanzo wa CCM mpya. Hakika CCM mpya ni tishio la upinzani nchini. CCM mpya ndio sababu ya kukosa mvuto na kushindwa kwa upinzani kila uchaguzi. CCM mpya ndio chimbuko la vita mpya dhidi ya ufisadi na rushwa nchini, agenda zilizoipa mvuto upinzani. CCM mpya ndio kinara wa mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa nchini. CCM mpya imeweka msingi mzuri wa hali ya kisiasa nchini. CCM mpya ndio zao la fikra mpya. CCM mpya ndio sababu ya Tanzania mpya.

CCM mpya imefanya upinzani kupoteza dira na mvuto kwa wananchi na kusababisha kushindwa kila uchaguzi. Watanzania wanaona matunda ya CCM mpya na wanashiriki uchaguzi wakiwa na matumaini na matarajio makubwa ya ushindi kwa CCM. Wapinzani wanapokuja na habari za kuonewa na wakurugenzi au tume ya uchaguzi, wanafanya watanzania wacheke tu. Watanzania wanaamini kuwa kwa CCM mpya hata Mbowe angekuwa ni mkurugenzi wa uchaguzi wa NEC angesikia aibu kutomtangaza mwanaCCM kashinda.
 
Tukirudi nyuma kuanzia mwaka 2008-2015, upinzani Tanzania ulikuwa na mvuto kutoka kwa wananchi na wananchi walivutiwa sana na agenda za ufisadi na rushwa ambazo zilitamalaki kipindi hiko. Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo( CHADEMA) kikajizolea umaarufu na mvuto mkubwa kiasi kwamba kilikuwa kinatazamiwa kuwa tishio kwa CCM kwa chaguzi zijzo.

Kuanzia mwaka 2015 hasa kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu, CHADEMA waliua agenda zote za ufisadi na rushwa nchini kwa kipindi chote cha miezi mitatu ya kampeni. CHADEMA haikusikika hata mara moja ikizungumzia ufisadi na rushwa kuanzia timu ya kampeni ya CHADEMA taifa mpaka kwenye kata. Kitendo cha kuua agenda za ufisadi na rushwa, kwa sababu wanazozijua wao ndio ulikuwa ni mwanzo la kukosa mvuto kwa CHADEMA.

Hali ya kukosa mvuto ikaendelea kuleta matokeo hasi kwa CHADEMA na upinzani kwa ujumla hasa kushindwa kila uchaguzi pale unaposhiriki. Watanzania walihitaji kujua vyama vya siasa vitashiriki vipi katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi. Kitendo cha upinzani kuzunguka nchi nzima bila kuyazungumzia mambo hayo kiliwastaajabisha na kuwashangaza watanzania na watanzania kuanzia hapo wanakistaajabisha na kukishangaza Chama hiko kila uchaguzi.

Wote ni mashahidi, katika mapambano dhidi ya Rushwa na Ufisadi Rais Magufuli alipambana sana hata kabla ya kuwa Rais, kwenye kampeni zake 2015 alishiriki kwa namna kubwa na ya kutia moyo angalau kuonyesha hisia zake ni jinsi gani atashughulika nayo. Hii ikamuongezea mvuto sana na CCM ikazidi kuvutia kwa wananchi kiasi kwamba kila uchaguzi toka 2015 imekuwa ikiibuka kidedea.

Katika kuhahakisha CCM inapata mvuto na inashinda kila uchaguzi, Mwenyekiti wa CCM taifa Ndg. Dkt John Magufuli alihahakisha anaifanya CCM inakuwa mpya na huo ndio ukawa mwanzo wa CCM mpya. Hakika CCM mpya ni tishio la upinzani nchini. CCM mpya ndio sababu ya kukosa mvuto na kushindwa kwa upinzani kila uchaguzi. CCM mpya ndio chimbuko la vita mpya dhidi ya ufisadi na rushwa nchini, agenda zilizoipa mvuto upinzani. CCM mpya ndio kinara wa mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa nchini. CCM mpya imeweka msingi mzuri wa hali ya kisiasa nchini. CCM mpya ndio zao la fikra mpya. CCM mpya ndio sababu ya Tanzania mpya.

CCM mpya imefanya upinzani kupoteza dira na mvuto kwa wananchi na kusababisha kushindwa kila uchaguzi. Watanzania wanaona matunda ya CCM mpya na wanashiriki uchaguzi wakiwa na matumaini na matarajio makubwa ya ushindi kwa CCM. Wapinzani wanapokuja na habari za kuonewa na wakurugenzi au tume ya uchaguzi, wanafanya watanzania wacheke tu. Watanzania wanaamini kuwa kwa CCM mpya hata Mbowe angekuwa ni mkurugenzi wa uchaguzi wa NEC angesikia aibu kutomtangaza mwanaCCM kashinda.
CCM ni chama langu lakini msema kweli ni mpenzi wa Mungu uchaguzi huwa hatushindi tunatangazwa tu...

ni dhahiri Watanzania walitaka CCM tuondoke madarakani tangu 2010 ila sema tu tumewazidi wapinzani kwa figisu zetu!!
 
CCM mpya inaogopa mikutano ya siasa ya vyama mbadala, inayotaka endelea kuwatumia makada wake wakuregenzi endelea hujumu chaghuzi za ndani.

Tutengeneza fair ground ya vyama vyote hivi
Kushindana then baadae ndo uje na hoja zako izo boss
 
Weye jamaa ni muongo na mpumbavu wa kutupa.



Tukirudi nyuma kuanzia mwaka 2008-2015, upinzani Tanzania ulikuwa na mvuto kutoka kwa wananchi na wananchi walivutiwa sana na agenda za ufisadi na rushwa ambazo zilitamalaki kipindi hiko. Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo( CHADEMA) kikajizolea umaarufu na mvuto mkubwa kiasi kwamba kilikuwa kinatazamiwa kuwa tishio kwa CCM kwa chaguzi zijzo.

Kuanzia mwaka 2015 hasa kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu, CHADEMA waliua agenda zote za ufisadi na rushwa nchini kwa kipindi chote cha miezi mitatu ya kampeni. CHADEMA haikusikika hata mara moja ikizungumzia ufisadi na rushwa kuanzia timu ya kampeni ya CHADEMA taifa mpaka kwenye kata. Kitendo cha kuua agenda za ufisadi na rushwa, kwa sababu wanazozijua wao ndio ulikuwa ni mwanzo la kukosa mvuto kwa CHADEMA.

Hali ya kukosa mvuto ikaendelea kuleta matokeo hasi kwa CHADEMA na upinzani kwa ujumla hasa kushindwa kila uchaguzi pale unaposhiriki. Watanzania walihitaji kujua vyama vya siasa vitashiriki vipi katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi. Kitendo cha upinzani kuzunguka nchi nzima bila kuyazungumzia mambo hayo kiliwastaajabisha na kuwashangaza watanzania na watanzania kuanzia hapo wanakistaajabisha na kukishangaza Chama hiko kila uchaguzi.

Wote ni mashahidi, katika mapambano dhidi ya Rushwa na Ufisadi Rais Magufuli alipambana sana hata kabla ya kuwa Rais, kwenye kampeni zake 2015 alishiriki kwa namna kubwa na ya kutia moyo angalau kuonyesha hisia zake ni jinsi gani atashughulika nayo. Hii ikamuongezea mvuto sana na CCM ikazidi kuvutia kwa wananchi kiasi kwamba kila uchaguzi toka 2015 imekuwa ikiibuka kidedea.

Katika kuhahakisha CCM inapata mvuto na inashinda kila uchaguzi, Mwenyekiti wa CCM taifa Ndg. Dkt John Magufuli alihahakisha anaifanya CCM inakuwa mpya na huo ndio ukawa mwanzo wa CCM mpya. Hakika CCM mpya ni tishio la upinzani nchini. CCM mpya ndio sababu ya kukosa mvuto na kushindwa kwa upinzani kila uchaguzi. CCM mpya ndio chimbuko la vita mpya dhidi ya ufisadi na rushwa nchini, agenda zilizoipa mvuto upinzani. CCM mpya ndio kinara wa mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa nchini. CCM mpya imeweka msingi mzuri wa hali ya kisiasa nchini. CCM mpya ndio zao la fikra mpya. CCM mpya ndio sababu ya Tanzania mpya.

CCM mpya imefanya upinzani kupoteza dira na mvuto kwa wananchi na kusababisha kushindwa kila uchaguzi. Watanzania wanaona matunda ya CCM mpya na wanashiriki uchaguzi wakiwa na matumaini na matarajio makubwa ya ushindi kwa CCM. Wapinzani wanapokuja na habari za kuonewa na wakurugenzi au tume ya uchaguzi, wanafanya watanzania wacheke tu. Watanzania wanaamini kuwa kwa CCM mpya hata Mbowe angekuwa ni mkurugenzi wa uchaguzi wa NEC angesikia aibu kutomtangaza mwanaCCM kashinda.
 
CCM ni chama langu lakini msema kweli ni mpenzi wa Mungu uchaguzi huwa hatushindi tunangazwa tu...

ni dhahiri Watanzania wanataka CCM tuondoke madarakani tangu 2010 ila sema tu tumewazidi wapinzani kwa figisu zetu!!
sio kweli kabisa kabisa , CCM haijawahi kushindwa uchaguzi wowote na upinzani kwenye ngazi ya Urais. kushinda urais kwa upinzani , inabidi ifanye kazi kubwa sana na si hii wanayofanya. upinzani inabidi iwe na taasisi kubwa kuliko CCM ili washinde na kwa sasa mpaka miaka 100 ijayo , upinzani haiwezi kujenga taasisi kubwa kuliko CCM
 
sio kweli kabisa kabisa , CCM haijawahi kushindwa uchaguzi wowote na upinzani kwenye ngazi ya Urais. kushinda urais kwa upinzani , inabidi ifanye kazi kubwa sana na si hii wanayofanya. upinzani inabidi iwe na taasisi kubwa kuliko CCM ili washinde na kwa sasa mpaka miaka 100 ijayo , upinzani haiwezi kujenga taasisi kubwa kuliko CCM

..SHERIA inakataza makada wa vyama kusimamia uchaguzi.

..kwa msingi huo basi serekali inatakiwa kuacha mara moja kuwatumia makada wa ccm kusimamia chaguzi zetu.

..You have missed the point my friend. Hoja siyo kuwa makada wa ccm wanaosimamia uchaguzi wanapendelea chama chao au la, hoja ni kwamba SHERIA inakataza makada wa vyama kusimamia uchaguzi.

..UVCCM mna matatizo makubwa. Kama mambo madogo kama haya yanawashinda kuyaelewa. Nyinyi ndiyo mlitakiwa muwe mstari wa mbele kuwashinikiza Wazee wenu waliolemazwa na mfumo wa chama kimoja wasinajisi chaguzi zetu kwa kuteua makada kusimamia uchaguzi.
 
watanzania wana sababu milioni za kuichagua CCM

..OK.

..Lakini SHERIA inakataza makada wa vyama vya siasa kusimamia uchaguzi.

..CCM mnatakiwa muonyesha mfano kwa kusimamia sheria ya uchaguzi kwa kuzuia makada wenu kuwa wasimamizi wa uchaguzi.
 
..OK.

..Lakini SHERIA inakataza makada wa vyama vya siasa kusimamia uchaguzi.

..CCM mnatakiwa muonyesha mfano kwa kusimamia sheria ya uchaguzi kwa kuzuia makada wenu kuwa wasimamizi wa uchaguzi.
kuwa kada wa chama ni kama kuwa afisa wa usalama wa taifa, kuna maafisa wanajulikana na wengine hawajulikani. hao wakurugenzi ambao ni wanaCCM wamejulikana kwa sababu ya ushiriki wao katika shughuli za kisiasa ila inawezekana kuna makada kibao wa CHADEMA pia ni wakurugenzi.

Ndio maana nikasema hoja haina mashiko ya kusema kada asiwe mkurugenzi, hiko kitu hakiwezekani lakini ukisema wakurugenzi wasishiriki shuguli za kisiasa za majukwaani hapo sawa.

Ukada ni imani. huwezi kuzuia watu kuamini wanayoamini.
 
CCM mpya inaogopa mikutano ya siasa ya vyama mbadala, inayotaka endelea kuwatumia makada wake wakuregenzi endelea hujumu chaghuzi za ndani.

Tutengeneza fair ground ya vyama vyote hivi
Kushindana then baadae ndo uje na hoja zako izo boss
Kweli Mku
 
Tukirudi nyuma kuanzia mwaka 2008-2015, upinzani Tanzania ulikuwa na mvuto kutoka kwa wananchi na wananchi walivutiwa sana na agenda za ufisadi na rushwa ambazo zilitamalaki kipindi hiko. Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo( CHADEMA) kikajizolea umaarufu na mvuto mkubwa kiasi kwamba kilikuwa kinatazamiwa kuwa tishio kwa CCM kwa chaguzi zijzo.

Kuanzia mwaka 2015 hasa kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu, CHADEMA waliua agenda zote za ufisadi na rushwa nchini kwa kipindi chote cha miezi mitatu ya kampeni. CHADEMA haikusikika hata mara moja ikizungumzia ufisadi na rushwa kuanzia timu ya kampeni ya CHADEMA taifa mpaka kwenye kata. Kitendo cha kuua agenda za ufisadi na rushwa, kwa sababu wanazozijua wao ndio ulikuwa ni mwanzo la kukosa mvuto kwa CHADEMA.

Hali ya kukosa mvuto ikaendelea kuleta matokeo hasi kwa CHADEMA na upinzani kwa ujumla hasa kushindwa kila uchaguzi pale unaposhiriki. Watanzania walihitaji kujua vyama vya siasa vitashiriki vipi katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi. Kitendo cha upinzani kuzunguka nchi nzima bila kuyazungumzia mambo hayo kiliwastaajabisha na kuwashangaza watanzania na watanzania kuanzia hapo wanakistaajabisha na kukishangaza Chama hiko kila uchaguzi.

Wote ni mashahidi, katika mapambano dhidi ya Rushwa na Ufisadi Rais Magufuli alipambana sana hata kabla ya kuwa Rais, kwenye kampeni zake 2015 alishiriki kwa namna kubwa na ya kutia moyo angalau kuonyesha hisia zake ni jinsi gani atashughulika nayo. Hii ikamuongezea mvuto sana na CCM ikazidi kuvutia kwa wananchi kiasi kwamba kila uchaguzi toka 2015 imekuwa ikiibuka kidedea.

Katika kuhahakisha CCM inapata mvuto na inashinda kila uchaguzi, Mwenyekiti wa CCM taifa Ndg. Dkt John Magufuli alihahakisha anaifanya CCM inakuwa mpya na huo ndio ukawa mwanzo wa CCM mpya. Hakika CCM mpya ni tishio la upinzani nchini. CCM mpya ndio sababu ya kukosa mvuto na kushindwa kwa upinzani kila uchaguzi. CCM mpya ndio chimbuko la vita mpya dhidi ya ufisadi na rushwa nchini, agenda zilizoipa mvuto upinzani. CCM mpya ndio kinara wa mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa nchini. CCM mpya imeweka msingi mzuri wa hali ya kisiasa nchini. CCM mpya ndio zao la fikra mpya. CCM mpya ndio sababu ya Tanzania mpya.

CCM mpya imefanya upinzani kupoteza dira na mvuto kwa wananchi na kusababisha kushindwa kila uchaguzi. Watanzania wanaona matunda ya CCM mpya na wanashiriki uchaguzi wakiwa na matumaini na matarajio makubwa ya ushindi kwa CCM. Wapinzani wanapokuja na habari za kuonewa na wakurugenzi au tume ya uchaguzi, wanafanya watanzania wacheke tu. Watanzania wanaamini kuwa kwa CCM mpya hata Mbowe angekuwa ni mkurugenzi wa uchaguzi wa NEC angesikia aibu kutomtangaza mwanaCCM kashinda.
Umeandika kama vile unaishi mamtoni... chama unacho sema kinamvuto bado ndugu yangu bado sana, rushwa ipo tena nadhani kwa kiasi cha juu sana, ukiwa na pesa nyingi kwa sasa kuna hofu, kesi ya utakatishaji wa fedha tu hiyo watu, wamekula za kutosha, unaminywa kimya kimya unaachiwa, kimya kimya, CCM ingeliwa na mvuto zaidi pale ambapo tu, hoja zenye maslahi ya kitaifa kutoka vyama vingine zingejadiliwa vema bila kujali itikadi, swala la kuunga juhudi ....wasi wasi sana, hofu saaana. Tumepinga kila kitu , Korosho mmh,, mbahazi mmmh.. Ok sawa tuseme CCM imeengeza mvuto zaidi... Alafu nchi imepoteza mvuto kwa kiasi kikubwa.
 
watanzania wana sababu milioni za kuichagua CCM
Nakutajia sifa moja kuu ambayo ni kusababisha umaskini wa kupitiliza kwa wananchi na nchi kwa ujumla pamoja na kuabudu ufisadi! Niongezeeni nyingine nzito ndugu wasomaji pamoja na mleta hoja!
 
kuwa kada wa chama ni kama kuwa afisa wa usalama wa taifa, kuna maafisa wanajulikana na wengine hawajulikani. hao wakurugenzi ambao ni wanaCCM wamejulikana kwa sababu ya ushiriki wao katika shughuli za kisiasa ila inawezekana kuna makada kibao wa CHADEMA pia ni wakurugenzi.

Ndio maana nikasema hoja haina mashiko ya kusema kada asiwe mkurugenzi, hiko kitu hakiwezekani lakini ukisema wakurugenzi wasishiriki shuguli za kisiasa za majukwaani hapo sawa.

Ukada ni imani. huwezi kuzuia watu kuamini wanayoamini.
Itafute katiba ya jmt uisome kwa kina ili ikusaidie kuiimarisha hoja yako kama siyo kuikana!
Huoni kuwa ccm wanaivuruga na kuichafua katiba ya jmt? Unatetea uvunjaji Wa katiba kana kwamba wewe hili linakwenda kutamatisha kibarua chako! Kama ndivyo, basi pole na iba za mwishomwisho kwani hili la wewe kung'ang'ania linakwenda kuikaribisha Sudan huku jambo ambalo hamtolifurahia!
 
Kweli ccm mpya ya watekaji ,wauaji ,wafunga watu kwenye viroba ,wakurupukaji ,wasiofuata sheria katiba ,hawajui wanapotoka wala wanapoenda ,mafisadi wa kutupa rejea ripoti ya cag .
 
Back
Top Bottom