meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Tukio la kupigwa mabomu kwa watoto na kina mama huku arusha na vyombo vya serikali kutoonyesha empathy kwa waathirika ni laana kubwa ambayo itaitafuna timu yetu ya Taifa leo hii.
TBC ilishindwa kurusha live tukio la bomu lakini sasa hivi inatuonyesha mpira.
Naungana na ndugu wa marehemu na majeruhi kuilaani timu yetu ya taifa ili ipoteze mechi hii kwa kufungwa magoli matano na zaidi ili tujifunze kuheshimu utu wa wanadamu wenzetu.
RIP kwa marehemu wote!
Poleni majeruhi na wahanga wa bomu huko arusha!
TBC ilishindwa kurusha live tukio la bomu lakini sasa hivi inatuonyesha mpira.
Naungana na ndugu wa marehemu na majeruhi kuilaani timu yetu ya taifa ili ipoteze mechi hii kwa kufungwa magoli matano na zaidi ili tujifunze kuheshimu utu wa wanadamu wenzetu.
RIP kwa marehemu wote!
Poleni majeruhi na wahanga wa bomu huko arusha!