Sababu za Sabaya kukifunga kiwanda cha Daren Fabrics Industries Ltd

Mwaka jana mwishoni mfanyabiashara na mbunifu wa mavazi Jeffery Mmbungu maarufu kama @Speshoz alifungua kiwanda cha vinywaji vikali, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Kiwanda hicho kinaitwa Daren Fabrics Industries Ltd kinazalisha kinywaji chenye jina Faru John.

Mwezi February mwaka huu, aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya alimpigia Jeff na kumwambia kuwa CCM itafanya maadhimisho ya miaka 44 tangu kuanzishwa, na yeye ni miongoni mwa wanakamati wanaoandaa maadhimisho hayo.

Akataka kiwanda hicho kichangie TZS 10M kufanikisha maadhimisho hayo. Jeff akamwambia hana uwezo wa kuchangia 10M, lakini akaahidi kuchangia 1M. Sabaya akamnanga kwamba serikali ya CCM ndiyo iliyomuwekea mazingira mazuri ya kibiashara hadi akaweza kufungua kiwanda, kwahiyo kuchangia 1M ni dharau kwa chama, anatakiwa achangie kiasi kisichopungua 10M.

Jeff akamwambia hana pesa hiyo. Sabaya akamwambia nimepitia transaction zako TRA najua unafanya mauzo ya mamilioni ya shilingi. Jeff akamwambia bado kiwanda ni kichanga na hakijaanza kujiendesha kwa faida kiasi cha kumpa Sabaya 10M.

Mwezi May mwaka huu Sabaya akavamia kiwanda hicho akiwa na mabaunsa wake. Wakawa-harass sana wafanyakazi waliokuwepo. Sabaya akiongozana na waandishi wa vyombo 11 vya habari akatangaza kukifunga kiwanda hicho kwa madai kinajiendesha bila vibali.

Vyombo vya habari vikaripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa kwa kufanya uzalishaji wa vinywaji vikali bila kuwa na kibali. Jeff akashangaa kwa sababu alikua na vibali vyote.

Ana leseni ya BRELA nambari 142255766 iliyotolewa July mwaka 2020. Ana leseni ya TRA nambari 142255766 iliyolewa July 2020. Ana leseni ya biashara nambari 03356294 iliyotolewa na Halmashauri ya wilaya ya Hai tarehe 25 September 2020.

Ana Leseni ya mkemia mkuu wa serikali nambari B002C000255 iliyotolewa October mwaka 2020, pia ana Leseni ya TBS nambari 3082 iliyotolewa December 2020. Pia kabla ya kuanza uzalishaji alipewa barua ya ruhusa kutoka TBS yenye Kumbukumbu nambari QA/QCCA/3215/17.

Sasa akashangaa imekuaje kiwanda kifungwe kwa kukosa vibali wakati vibali vyote anavyo? Akampigia Sabaya kumuuliza. Akamwambia aende ofisini.

Alipofika ofisini, wakaongea na akamuonesha nakala za vibali. Sabaya akatoka ofisini na kumuacha ndani. Aliporudi akamnyang'anya simu zote, na kumuamuru akae chini. Akaita mabaunsa wake, wakamvua viatu na mkanda na kumpeleka rumande.

Taarifa za kukamatwa kwake zikafika kwa viongozi mbalimbali wa serikali. Wizara ya ya viwanda na biashara ikatoa tamko kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kwa mujibu wa sheria. Wizara ya uwekezaje, ofisi ya Mkemia mkuu wa serikali, Shirika la viwango (TBS), pamoja na ofisi ya BRELA wakaingilia kati na kueleza kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kihalali.

Kesho yake Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro akafanya press na kutoa ufafanuzi kuwa kiwanda hicho kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria. Taarifa hiyo ikaeleza kuwa mwezi April kiwanda hicho kilipewa stika za 200M na kiliweza kuhuisha stika za 93M. Pia kwa siku chache za mwezi May (kabla hakijafungwa) kilikua kimehuisha stika za 13M.

Taarifa ya TRA ikaeleza kuwa kiwanda hicho hakijawahi kuwa na mgogoro wowote na serikali wala hakijawahi kujiendesha bila kuwa na vibali. Ikatangaza kukifungulia kiwanda hicho na kukiruhusu kiendelee na uzalishaji.

Media zote zilizoripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa zilialikwa kwenye Press ya TRA ili ziujulishe umma kwamba taarifa ya Sabaya haikua sahihi, na kwamba kiwanda hicho kimeruhusiwa kuendelea na uzalishaji.

Lakini Sabaya akazuia media hizo zisiripoti taarifa hiyo ya TRA. Ni ITV pekee walioamua kusimama katika misingi ya taaluma na kutoa ufafanuzi kwa umma. Media nyingine ziliamua kusimama na Sabaya. What a shame?

Tayari Jeff ameshaenda TAKUKURU kuwasilisha ushahidi wake. Pia atawasilisha malalamiko Baraza la habari nchini (MCT) ili media zilizomchafua na zikakataa kumsafisha zichukuliwe hatua, kwa sababu habari ya kiwanda hicho kufungwa imeathiri mauzo kwa kiasi kikubwa!
Huyu kijana alipewa madaraka akiwa duni sana ! hivi alizaliwa na kukulia wapi , mbona ushamba wake ni wa kutisha sana ?
 
Ukisoma charge sheet, na propaganda zinazopigwa na vijana wa CHADEMA iko wazi makosa ya Sabaya ni ya kulazimisha. Eti ambazo kapata sh 35,000.00. Wapiga filimbi wa CHADEMA wmetunga uongo wa makosa ya kubaka, ujambazi, kuokoteza picha kibao za majeruhi na kusingizia wamepigwa na Sabaya. Lakini wenye akili tunajua ni hasira za Mbowe kudhibitiwa kihalali na kukosa kura. Tunajua hao kina Malisa na wengineyo wanaripoti kwa Mbowe.

Ebu fikiria muuza pombe feki anayejulikana kwa kazi hiyo na aliyekuwa traced na Sabaya baada ya kukamata pombe feki wilayani kwake, anatumika kama shahidi wa Sabaya kupokea rushwa.

Lakini yeye mwenye tuhuma nzito na za muda mrefu za kutengeneza pombe feki hashtakiwi kwa kosa hilo au basi kwa kosa la kutoa rushwa! "Mtoaji na mpokeaji wote maganzila" kwa sauti ya Nyerere, kama nimekosea potezea.
Unamtetea 7ya
 
Naamini mamlaka mbalimbali kwa nafasi zao zilitoa taarifa kwa Mamlaka yake ya uteuzi.

Nahisi faili lenye taarifa za mtuhumiwa mwendazake hakulifanyia kazi.!!

Yaani siamini kama wote hawa hawakutoa taarifa za kiongozi anayekiuka utu,sheria,kanuni na taratibu:
1.RC
2.RPC Kilimanjaro na Arusha
3.Afisa usalama Mkoa Kilimanjaro na Arusha
4.OCD Hai na Arusha
5.Afisa usalama Wilaya Hai na Arusha
6.PCCB Kilimanjaro na Arusha
7.Chama(CCM)-Kilimanjaro na Arusha

Nahisi Viongozi wakubwa walimuachia mkubwa wao aamue(sasa hayupo)!!!
Uenda walinufaika nae.alipata wapi silaha, magari na askari wa kushirikiana nae kutenda uhalifu.
 
Mwenye kiwanda amfungulie kesi adai fidia za hasara na riba ya usumbufu alizopata pindi sabaya kafunga kiwanda chake sheria inamruhusu atalipwa.
 
Sabaya ni zaidi ya jambazi. Hata shetani ana unafuu maana amekuwa akifanya uharamia bila hata ya aibu wala uwoga dhidi ya JMT.
Hili jitu, kwa uovu wake, hakistahili kuonewa huruma na mwanadamu yeyote.
 
Huyu wamtoe gerezani kisha wampeleke sokoni Wilayani Hai ili wananchi wenye hasira kali wadili naye.
Bure Wanapoteza raslimali za nchi kwenye mifumo ya kisheria
Sokoni kuna wanyonge hili kundi ni duni kwenye Jamii lilishabikia kuumizwa kwa matajiri ambao ndio uwapa kula yao.
 
Mwaka jana mwishoni mfanyabiashara na mbunifu wa mavazi Jeffery Mmbungu maarufu kama @Speshoz alifungua kiwanda cha vinywaji vikali, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Kiwanda hicho kinaitwa Daren Fabrics Industries Ltd kinazalisha kinywaji chenye jina Faru John.

Mwezi February mwaka huu, aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya alimpigia Jeff na kumwambia kuwa CCM itafanya maadhimisho ya miaka 44 tangu kuanzishwa, na yeye ni miongoni mwa wanakamati wanaoandaa maadhimisho hayo.

Akataka kiwanda hicho kichangie TZS 10M kufanikisha maadhimisho hayo. Jeff akamwambia hana uwezo wa kuchangia 10M, lakini akaahidi kuchangia 1M. Sabaya akamnanga kwamba serikali ya CCM ndiyo iliyomuwekea mazingira mazuri ya kibiashara hadi akaweza kufungua kiwanda, kwahiyo kuchangia 1M ni dharau kwa chama, anatakiwa achangie kiasi kisichopungua 10M.

Jeff akamwambia hana pesa hiyo. Sabaya akamwambia nimepitia transaction zako TRA najua unafanya mauzo ya mamilioni ya shilingi. Jeff akamwambia bado kiwanda ni kichanga na hakijaanza kujiendesha kwa faida kiasi cha kumpa Sabaya 10M.

Mwezi May mwaka huu Sabaya akavamia kiwanda hicho akiwa na mabaunsa wake. Wakawa-harass sana wafanyakazi waliokuwepo. Sabaya akiongozana na waandishi wa vyombo 11 vya habari akatangaza kukifunga kiwanda hicho kwa madai kinajiendesha bila vibali.

Vyombo vya habari vikaripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa kwa kufanya uzalishaji wa vinywaji vikali bila kuwa na kibali. Jeff akashangaa kwa sababu alikua na vibali vyote.

Ana leseni ya BRELA nambari 142255766 iliyotolewa July mwaka 2020. Ana leseni ya TRA nambari 142255766 iliyolewa July 2020. Ana leseni ya biashara nambari 03356294 iliyotolewa na Halmashauri ya wilaya ya Hai tarehe 25 September 2020.

Ana Leseni ya mkemia mkuu wa serikali nambari B002C000255 iliyotolewa October mwaka 2020, pia ana Leseni ya TBS nambari 3082 iliyotolewa December 2020. Pia kabla ya kuanza uzalishaji alipewa barua ya ruhusa kutoka TBS yenye Kumbukumbu nambari QA/QCCA/3215/17.

Sasa akashangaa imekuaje kiwanda kifungwe kwa kukosa vibali wakati vibali vyote anavyo? Akampigia Sabaya kumuuliza. Akamwambia aende ofisini.

Alipofika ofisini, wakaongea na akamuonesha nakala za vibali. Sabaya akatoka ofisini na kumuacha ndani. Aliporudi akamnyang'anya simu zote, na kumuamuru akae chini. Akaita mabaunsa wake, wakamvua viatu na mkanda na kumpeleka rumande.

Taarifa za kukamatwa kwake zikafika kwa viongozi mbalimbali wa serikali. Wizara ya ya viwanda na biashara ikatoa tamko kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kwa mujibu wa sheria. Wizara ya uwekezaje, ofisi ya Mkemia mkuu wa serikali, Shirika la viwango (TBS), pamoja na ofisi ya BRELA wakaingilia kati na kueleza kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kihalali.

Kesho yake Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro akafanya press na kutoa ufafanuzi kuwa kiwanda hicho kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria. Taarifa hiyo ikaeleza kuwa mwezi April kiwanda hicho kilipewa stika za 200M na kiliweza kuhuisha stika za 93M. Pia kwa siku chache za mwezi May (kabla hakijafungwa) kilikua kimehuisha stika za 13M.

Taarifa ya TRA ikaeleza kuwa kiwanda hicho hakijawahi kuwa na mgogoro wowote na serikali wala hakijawahi kujiendesha bila kuwa na vibali. Ikatangaza kukifungulia kiwanda hicho na kukiruhusu kiendelee na uzalishaji.

Media zote zilizoripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa zilialikwa kwenye Press ya TRA ili ziujulishe umma kwamba taarifa ya Sabaya haikua sahihi, na kwamba kiwanda hicho kimeruhusiwa kuendelea na uzalishaji.

Lakini Sabaya akazuia media hizo zisiripoti taarifa hiyo ya TRA. Ni ITV pekee walioamua kusimama katika misingi ya taaluma na kutoa ufafanuzi kwa umma. Media nyingine ziliamua kusimama na Sabaya. What a shame?

Tayari Jeff ameshaenda TAKUKURU kuwasilisha ushahidi wake. Pia atawasilisha malalamiko Baraza la habari nchini (MCT) ili media zilizomchafua na zikakataa kumsafisha zichukuliwe hatua, kwa sababu habari ya kiwanda hicho kufungwa imeathiri mauzo kwa kiasi kikubwa!
Utawasikia wale wakisema ,tumchangie mzalendo pesa za kimuwekea wakili, very shame
 
Utawasikia wale wakisema ,tumchangie mzalendo pesa za kimuwekea wakili, very shame
Kwa kweli ni jambo la ajabu mno, kusikia eti kuna watu wanaweza hata kufikiria kulichangia jambazi kama Sabaya.

Hata majambazi wa huko mitaani ni wachache sana waliowahi kufikia kiwango cha ujambazi cha hili jitu.

Kila siku tunasikia visa vya kutisha vilivyotendwa na hili jitu. Visa ambavyo ni nadra kusikia hata majambazi ya mitaani yakifanya. Jambazi Sabaya lilitenda uovu wote huu kwa kupitia ofisi ya umma. Cha ajabu zaidi, kuna taarifa za uhakika, aliyemteua, marehemu Magufuli alikuwa akijua lakini hakumchukulia hatua wala kumkemea, ikimaanisha alimruhusu aendelee na huo uovu. Ina maana marehemu ana sehemu yake katika huu uovu. Ndiyo maana utawala wa marehemu ulikosa baraka mbele za Mungu na mbele ya wanadamu. Hivi tulikuwa na uongozi wa ajabu kiasi hiki!!!
 
Kwa kweli ni jambo la ajabu mno, kusikia eti kuna watu wanaweza hata kufikiria kulichangia jambazi kama Sabaya.

Hata majambazi wa huko mitaani ni wachache sana waliowahi kufikia kiwango cha ujambazi cha hili jitu.

Kila siku tunasikia visa vya kutisha vilivyotendwa na hili jitu. Visa ambavyo ni nadra kusikia hata majambazi ya mitaani yakifanya. Jambazi Sabaya lilitenda uovu wote huu kwa kupitia ofisi ya umma. Cha ajabu zaidi, kuna taarifa za uhakika, aliyemteua, marehemu Magufuli alikuwa akijua lakini hakumchukulia hatua wala kumkemea, ikimaanisha alimruhusu aendelee na huo uovu. Ina maana marehemu ana sehemu yake katika huu uovu. Ndiyo maana utawala wa marehemu ulikosa baraka mbele za Mungu na mbele ya wanadamu. Hivi tulikuwa na uongozi wa ajabu kiasi hiki!!!

Katika jamii yoyote wapumbavu na wajinga hawakosekani.
 
Sabaya hakuwahi kukifungia kiwanda cha Daren fabrics kama inavyopotoshwa na Malisa Godlisten, hapa chini naambatanisha video yenye ushahidi wa kilichotokea siku ya tukio, ambapo ndugu Speshoz mmiliki wa kiwanda hicho alikubali kosa la kutofuata utaratibu halali wa serikali na kukiri kuufuata upya utaratibu huo.

Rai Yangu, Sabaya akiwa Clouds Tv alikiri uwepo wa Project ya kumchafua inayofadhiliwa na Wahalifu aliowadhibiti kule Hai, Miongoni mwa Vijana wanaolipwa kufanya propaganda ni Malisa, Kumbusho Dawson na Twaha Mwaipaya. Acheni huu mchezo nyie vijana wadogo sana.View attachment 1811645
Wewe takataka inamaana watu zaidi ya 40 wanadanganya? Na yule mbunge wa ccm nae alidanganya? Sabaya ni mtu wangu wa karibu sana. Na nimeishi nae wilaya moja na yote yaliyotendeka nimeyashuhudia kwa macho yangu.
 
Mwaka jana mwishoni mfanyabiashara na mbunifu wa mavazi Jeffery Mmbungu maarufu kama @Speshoz alifungua kiwanda cha vinywaji vikali, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Kiwanda hicho kinaitwa Daren Fabrics Industries Ltd kinazalisha kinywaji chenye jina Faru John.

Mwezi February mwaka huu, aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya alimpigia Jeff na kumwambia kuwa CCM itafanya maadhimisho ya miaka 44 tangu kuanzishwa, na yeye ni miongoni mwa wanakamati wanaoandaa maadhimisho hayo.

Akataka kiwanda hicho kichangie TZS 10M kufanikisha maadhimisho hayo. Jeff akamwambia hana uwezo wa kuchangia 10M, lakini akaahidi kuchangia 1M. Sabaya akamnanga kwamba serikali ya CCM ndiyo iliyomuwekea mazingira mazuri ya kibiashara hadi akaweza kufungua kiwanda, kwahiyo kuchangia 1M ni dharau kwa chama, anatakiwa achangie kiasi kisichopungua 10M.

Jeff akamwambia hana pesa hiyo. Sabaya akamwambia nimepitia transaction zako TRA najua unafanya mauzo ya mamilioni ya shilingi. Jeff akamwambia bado kiwanda ni kichanga na hakijaanza kujiendesha kwa faida kiasi cha kumpa Sabaya 10M.

Mwezi May mwaka huu Sabaya akavamia kiwanda hicho akiwa na mabaunsa wake. Wakawa-harass sana wafanyakazi waliokuwepo. Sabaya akiongozana na waandishi wa vyombo 11 vya habari akatangaza kukifunga kiwanda hicho kwa madai kinajiendesha bila vibali.

Vyombo vya habari vikaripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa kwa kufanya uzalishaji wa vinywaji vikali bila kuwa na kibali. Jeff akashangaa kwa sababu alikua na vibali vyote.

Ana leseni ya BRELA nambari 142255766 iliyotolewa July mwaka 2020. Ana leseni ya TRA nambari 142255766 iliyolewa July 2020. Ana leseni ya biashara nambari 03356294 iliyotolewa na Halmashauri ya wilaya ya Hai tarehe 25 September 2020.

Ana Leseni ya mkemia mkuu wa serikali nambari B002C000255 iliyotolewa October mwaka 2020, pia ana Leseni ya TBS nambari 3082 iliyotolewa December 2020. Pia kabla ya kuanza uzalishaji alipewa barua ya ruhusa kutoka TBS yenye Kumbukumbu nambari QA/QCCA/3215/17.

Sasa akashangaa imekuaje kiwanda kifungwe kwa kukosa vibali wakati vibali vyote anavyo? Akampigia Sabaya kumuuliza. Akamwambia aende ofisini.

Alipofika ofisini, wakaongea na akamuonesha nakala za vibali. Sabaya akatoka ofisini na kumuacha ndani. Aliporudi akamnyang'anya simu zote, na kumuamuru akae chini. Akaita mabaunsa wake, wakamvua viatu na mkanda na kumpeleka rumande.

Taarifa za kukamatwa kwake zikafika kwa viongozi mbalimbali wa serikali. Wizara ya ya viwanda na biashara ikatoa tamko kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kwa mujibu wa sheria. Wizara ya uwekezaje, ofisi ya Mkemia mkuu wa serikali, Shirika la viwango (TBS), pamoja na ofisi ya BRELA wakaingilia kati na kueleza kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kihalali.

Kesho yake Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro akafanya press na kutoa ufafanuzi kuwa kiwanda hicho kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria. Taarifa hiyo ikaeleza kuwa mwezi April kiwanda hicho kilipewa stika za 200M na kiliweza kuhuisha stika za 93M. Pia kwa siku chache za mwezi May (kabla hakijafungwa) kilikua kimehuisha stika za 13M.

Taarifa ya TRA ikaeleza kuwa kiwanda hicho hakijawahi kuwa na mgogoro wowote na serikali wala hakijawahi kujiendesha bila kuwa na vibali. Ikatangaza kukifungulia kiwanda hicho na kukiruhusu kiendelee na uzalishaji.

Media zote zilizoripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa zilialikwa kwenye Press ya TRA ili ziujulishe umma kwamba taarifa ya Sabaya haikua sahihi, na kwamba kiwanda hicho kimeruhusiwa kuendelea na uzalishaji.

Lakini Sabaya akazuia media hizo zisiripoti taarifa hiyo ya TRA. Ni ITV pekee walioamua kusimama katika misingi ya taaluma na kutoa ufafanuzi kwa umma. Media nyingine ziliamua kusimama na Sabaya. What a shame?

Tayari Jeff ameshaenda TAKUKURU kuwasilisha ushahidi wake. Pia atawasilisha malalamiko Baraza la habari nchini (MCT) ili media zilizomchafua na zikakataa kumsafisha zichukuliwe hatua, kwa sababu habari ya kiwanda hicho kufungwa imeathiri mauzo kwa kiasi kikubwa!
Cha kusikitisha kuna watanzania umu umu jamii forum wanamtetea kwa nguvu kubwa sijui ni wanufaika ama walinufaika na ujambazi wa Sabaya.
 
ONGEEENI YOOOTEE ILA KUMBUKENI KUNA WATU FULANI WALIAMBIWAGA MAENDELEO YAO YAMETOSHA WASUBIRI WENGINE,WAKAPELEKEWA WATU KAMA KINA SABAYA,GAMBO,MNYETI,MURRO
KWA KIFUPI K NJARO Na ARUSHA YALIYOKUWA YANAFANYWA NA SABAY NDIYO YALIVYOTAKIWA KU FRUSTRATE WATU WA KULE NA KUKIMBIZA HELA KABISA AND HE DID IT WELL
KULE KWA KIPPI WARIOBA VUNJO WALICHANGA BILIONI 2 YA KUJENGA KILOMITA TATU ZA LAMI,MKUU WA WILAYA ANAKAZANIA HELA APEWE YEYE WAKAKAZA ULIZA KILICHOWAKUTA VIONGOZI WA HUO MCHANGO.... MOTO WA TRA ULIOWAKUTA HADI HUKU DSM
ILIKUWA BALAA KUBWA SANA
 
Back
Top Bottom