Songasonga
Senior Member
- Mar 13, 2011
- 152
- 14
Ni busara zao zimetumika kuto shiriki na kuleta mtafaruku zaidi
Mkuu wa Polisi alisikika akisema walishangaa kuona watu wa mikoa mingine (Singida) wanafanya nini huko Tarime. Ningependa kuuliza kuwa yeye anafanya nini huko? Ninaelewa anatokea Kilimanjaro.
Chadema ndio wanasababisha hizo maiti zisizikwe, sifa walizo zifata huko bado hawajazipata. huyu lissu hana dini huyu?
Hiyo haitawasaidia polisi vibaraka wa CCM wanadhani hao ni wasukuma!
JK hana uchungu kwa sababu waliokufa si waislam
Uongozi jeshi la Polisi Tarime ni hovyo kabisa (sorry imenibidi kutumia lugha kali mniwie radhi).
Toka lini na wapi ndugu wanachukua maiti saa nane za usiku kwa ajili ya maziko? Ni wapi? To the best of my knowledge hakuna hiyo tabia kwa mkoa wa Mara haipo na pia sina hakika kama kwa kina Masawe kuna tabia hiyo.
Nimwambie Masawe kuwa anaweza kuwa na uwezo wa juu sana wa kufanya na kusema mambo ya kipuuzi afahamu kuwa si wote watakaonunua huo upuuzi.
Shame on jeshi la polisi Tarime for shooting dead civilians and disrespecting their bodies.
Hii sasa ndiyo habari, manake ina pande zote zinazohusika. asante sana mkuu.
sasa fanyeni ufukunyuku wenu mtutundikie hizo picha za majeneza zilizotelekezwa barabarani ili tupandishe hasira sawasawa tayari kuing'oa ccm madarakani
Tumekuzoea upuuzi wako, wewe mwenyewehuku unajulikana mdini mkubwa! Lissu siyo size ya yeyote ccm pamoja nawewe