Sababu za mgogoro unaoendelea kati ya Ethiopia na Tigray

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Tangu mwaka 1991, Serikali ya Ethiopia imetokana na makundi ya kikabila, huku makundi makubwa yakiwakilishwa na viongozi wa Vyama kutoka Majimboni

Hii ilifanya Vyama kuwa na nguvu kwa watu kuliko Serikali ya Shirikisho. Makundi matatu makubwa nchini humo ni Oromo, Amhara na Tigray

Mwaka 2018, Waziri Mkuu, Abiy Ahmed aliunganisha vyama vyote, wa-Tigray ambao chama chao ni Tigray People’s Liberation Front (TPLF) walikataa na hawakuwa sehemu ya Serikali ya Shirikisho

Juni 2020, mchakato wa Uchaguzi ulisitishwa kutokana na COVID19 lakini TPLF walifanya Uchaguzi. Waziri Mkuu akatangaza kutotambua Uchaguzi huo na akataka kuutengua uongozi wa TPLF. Mwezi Novemba, Serikali ikatuma majeshi Tigray
 
Summary nzuri na fupi, yaan short and clear tukumbuke historia ya hawa jamaa TPLF ni jeuri sana wanataka kujitenga na Ethiopia
 
Tigrey ina watu wengi sana maarufu,wasomi na wanaojielewa. Swali langu baada ya vyama kuunganishwa kimetokea chama gani?
 
Hapa kuna historia ya utengano kabla ya ukoloni...hawajawahi kuwa wamoja na kufanya jambo pamoja kama nchi. Anayeiunganganisha Ethiopia ni Waziri mkuu mwenye mkono wa chuma kama M.Zenawi na si vinginevyo
 
Tigrey ina watu wengi sana maarufu,wasomi na wanaojielewa. Swali langu baada ya vyama kuunganishwa kimetokea chama gani?
Kabila la Oromo ndio lina wasomi wengi na maprofesa. Hata vyuoni Ethiopia na nje maprofesa ni Oromo. The problem ni barbarics na ushamba.

Tigreans ni wachache na wana umoja. Wanaile pride kama watutsi wao ni the best master race. Wanawafundisha hilo watoto wao toka udogoni na wanakuwa nalo

Tatizo kubwa Melez Zinawi kufanya nikuanzisha vitambulisho vinavyoandikwa kabila lako. Sasa hivi Watigray wengi wanajifanya ni Amhara. Kwasababu Amharic waethiopia wote wanakizungumza.

Halafu zama zinebadilika wakijitenga watakufa njaa sana ardhi ni kame na jimbo maskini. Ni pride tu wanayo.
 
Kabila la Oromo ndio lina wasomi wengi na maprofesa. Hata vyuoni Ethiopia na nje maprofesa ni Oromo. The problem ni barbarics na ushamba.

Tigreans ni wachache na wana umoja. Wanaile pride kama watutsi wao ni the best master race. Wanawafundisha hilo watoto wao toka udogoni na wanakuwa nalo

Tatizo kubwa Melez Zinawi kufanya nikuanzisha vitambulisho vinavyoandikwa kabila lako. Sasa hivi Watigray wengi wanajifanya ni Amhara. Kwasababu Amharic waethiopia wote wanakizungumza.

Halafu zama zinebadilika wakijitenga watakufa njaa sana ardhi ni kame na jimbo maskini. Ni pride tu wanayo.
Hatima ya Ethiopia baada ya TPLF kushindwa itakuwa nini?

Je watigray watazuiliwa kuwa na utawala wao wa ndani na kuwekwa chini ya udhibiti wa serikali kuu?
 
Hatima ya Ethiopia baada ya TPLF kushindwa itakuwa nini?

Je watigray watazuiliwa kuwa na utawala wao wa ndani na kuwekwa chini ya udhibiti wa serikali kuu?
Bora tu wawe chini ya udhibiti wa serikali sasa kwanini wajione bora kuliko wengine.
 
Kabila la Oromo ndio lina wasomi wengi na maprofesa. Hata vyuoni Ethiopia na nje maprofesa ni Oromo. The problem ni barbarics na ushamba.

Tigreans ni wachache na wana umoja. Wanaile pride kama watutsi wao ni the best master race. Wanawafundisha hilo watoto wao toka udogoni na wanakuwa nalo

Tatizo kubwa Melez Zinawi kufanya nikuanzisha vitambulisho vinavyoandikwa kabila lako. Sasa hivi Watigray wengi wanajifanya ni Amhara. Kwasababu Amharic waethiopia wote wanakizungumza.

Halafu zama zinebadilika wakijitenga watakufa njaa sana ardhi ni kame na jimbo maskini. Ni pride tu wanayo.
Kumbe 🤔
 
Abey anachofanya ni kulipiza kisasi kwa watigrey kwakua wamewatawala kwa muda mrefu tatizo linakuja kuwa tigrey wamejipanga wanasiraha za kila aina, kinachompa nguvu abey ni matumizi ya drones, ila kwenye ground majeshi yake yanapigika sana kuna helcoptoer na vifaru kibao vimeshaharibiwa na ndio maana wanafunga habari, kuna watu wengi wenye nguvu ya fedha na umashuhuri wanatokea tigrey na wanapingana na kinachoendelea mmoja wao ni tedros mkuu wa who amepinga wazi wazi na sasa serikali ya ethiopia inamchukulia adui
 
Tigrey ina watu wengi sana maarufu,wasomi na wanaojielewa. Swali langu baada ya vyama kuunganishwa kimetokea chama gani?
Kuliunda vyama viliwi ili wavunje mpasuko ukabila na wajenge umoja na ushirikiano katika nchi

ila juhudi ziligonga mwamba kwa kuwa kuunda taasisi nje ya maridhiano na amani ni kazi kubwa
 
Back
Top Bottom