Sababu za Marrian Girls ya Bagamoyo Kung'aa!.

Nakumbuka kipindi nafundisha O'level shule flani ya private,form1 tulikua na mchanganyiko yaan wale waliosoma medium schools na shule za kawaida,miezi sita ya mwanzo ilikua rahisi kuwatambua lakini baada ya likizo ya mwez wa saba huwez tena kujua huyu kosoma medium au la,mbaya zaidi matokeo ndo yaliyowafanya wale wa medium schools kujiona hawana maana tena baada ya kubwagwa na wale waliotoka shule za kawaida.
Kwa kweli Kingereza sio elimu bali ni Lugha tu,wazazi wengi hujisifia et watoto wao wanaelimu hasa wanaposikia watoto wao wakiongea kiingereza.
Nakumbuka kulikua na watoto walikua anaongea kiingereza vizuri sana,lakini ukiwapa maswali hawawezi kuyajibu,kuandika tu ilikuwa ni tatizo na hatimaye waliferi wakarudishwa kwa wazaz wa ili wawatafutie shule nyingine kwan average zao zilikua ndogo mno kuendelea na ile shule.
Hivyo wadau ni kua makini haswa unapotafuta shule bora,usipime ubora wa shule kwa kuangalia lugha!.
 
Soko la ajira haliangalii we umesoma marian gals au umesoma tosamaganga,ni uwezo wako wa kudeliver knowlege uloipata ndo utakupa ajira kiurahc.ovr.
 
why do you guys call it a "SHOW"?
kama wazazi wamewapeleka watoto wao kufanya interview, kwa nini inakuwa show?? kama wametokea iringa na wameona wapate wasaa wa kula maisha bagamoyo, after all wapo bagamoyo anyway, what the issue hapo??

kna shule nyingi tu zinafanya mitihani sasa ya usaili..........mazinde juu, msolwa, n.k.
Wabongo kwa show usipimeee !
 
mie nilisoma nao nairobi primary kufika secondary maisha yakaisha nkarud shule za uswahilin wenyewe wakienda hayo mashule mara fedha boys, marian na nyingine nimemaliza chuo kila niliesoma Nae primary akaenda hizo shule hajamaliza. Ni wachache sana waliomaliza. Mie nawashaur wazaz waskurupuke na hiz shule kule n luxury 2 na kuvuka form 6, lakin maisha hawawez unakuta et mtu kazaliwa dar mpaka anafika chuo hajawah fika hamjui hata jiran yake, ndo wakienda chuo wanachanyikiwa na maisha. Wanakutana na watu ambao wamesomea st. Kayumba kwao kutoroka n jad na kufaulu lazima, club ndo home, pombe ful mzuka, kenyewe unakuta hata kunywaa hakajawah Ila kwa sabab wanajifanyaga wenyewe wanajua wanaangukia pua, break ya kwanza apata boyfriend au girlfriend tapeli, Ile ndo yamekolea final hiyo, wanadharau kusoma SI wameingia chuo na 1. Wanajiona vichwa, na watoto wa uswaz kwa kupiga vibut wakat wa final ni balaa wataacha kudisco hapo.(kumbuka mtoto wa hizi shule mfano wa st. Francis hawajui kuweka mpenz wa ziada .wakati wa maana)
...... kuna point za ujazo humo, heko'
 
Sio wote kuna wengine ni vipanga kwelikweli hadi chuo...sitamsahau dada mmoja alisoma A-level Marian PCM alitukimbiza balaa hadi tunamaliza chuo..na ndie aliyeongoza mwaka huo kwa G.P.A kubwa pale udsm...my point is kuna wengine kweli ni dhaifu sana ila wengi wao wanajitahidi sana...sio wao tu mbona hata wale vipanga wa Mzumbe,Ilboru,Tabora boys n.k wakifika chuo wanapotea vibaya..ni akili ya mtu na juhudi binafsi..Chuo ni tifauti sana na secondary..
Hii ni kweli, kuna dada mmoja kipanga tulipiga naye sheria pale UD, ni kipanga mshindi no moja wa taifa, O-level alitoka na Point 7 A-Level akaibuka na Point 3. Alisumbua mwaka wa kwanza na wa pili tuu, baada ya hapo waliibuka vipanga wa ukweli wa kufa mtu ambao hatimaye chuo kiliwaretain, huyu dada iliishia Pass!.

Wakati wa primary kuna dada alikuwa anashuka namba (math) mbaya, akajoin Engeneering Chuo akafanya kufuru, sasa ni anamiliki kampuni kubwa ya ujenzi!.
 
mi nafikiri ukitaka kuwapima vyema wapelekwe civil engineering kule wakipita mwaka wa tatu basi wanamaliza
prof mayo kuku wanakuja hao embu watest kama walipita kwa ufasaha
 
mi nafikiri ukitaka kuwapima vyema wapelekwe civil engineering kule wakipita mwaka wa tatu basi wanamaliza
prof mayo kuku wanakuja hao embu watest kama walipita kwa ufasaha

wale madogo nao ni wajanja,cku hz huwezi wakuta wamejazana udsm au sua weng wao wako mzumbe,tumaini na st augustn,wanajua wakija udsm anytym wanaliwa vichwa.
 
Kubali kataa io ni mazingira ya rushwa imetengenzwa, 150 > 3000 wapi na wapi..! hadi rushwa ngono lazma ipo. Watu watapigwa njenje apo hawatakaa waamini
 
Stori tu, mi nina wadogo wawili wamepita pale form1-6, na chuo wamefanya vzuri tena with honours, na wana kazi nzuri tena bila kuhonga. Ishu inabaki pale pale, elimu ni kitu delicate na inahitaji mkazo na msukumo. Wale watoto wakiwa pale wanachojua ni shule tu, and they are very serious. We need more schools kama hii, tatizo ni ada zao.
 
shule yeyote ile ni mwanafunzi mwonyewe ndio anatakiwa awe serious sio lazima usome marian na hiyo miada ya millions na sisi wengine tuko shule zetu hizi za govt wote tunafanya Necta so shamsingi kujua syllabus na kupata text books na kama kunatatizo mahala fulani mnashirikiana wanafunzi ikija mitihani ni kufahulu tu na shule ya marian kwa upande wa A level haistahili kuwa top 10 maana huwezi kuhusisha masomo ya dini kwenye GPA ya kitaifa wao masomo ya dini wanatia A halafu zile core subjects wanapata marks za kawaida ila ingia kibaha,ilboru,tabora boys hakuna hayo ya divinity,kwa kumalizia hao wanafunzi wa marian kiuwezo ni wakawaida tu wengi wao kwahiyo akija kwenye public university ni kukimbizwa tu maana huku hakuna special care ni wewe mwonyewe kwahiyo mazingira tu yanawaangusha.
 
mimi binafsi nawakubali sana hawa wadada wa marian hata kama mbelen sio wote wanaofanya vema, big up, i wish wangekua na chuo chao! (just kidin)
 
pasco ulisoma ud?
siku moja humu ulisema sisi ambao sio wasomi....nashindwa kuunganisha dots lol
 
Wapo ambao huendelea vizuri hadi chuo na wapo ambao uharibu. Elimu ya chuo haijalishi ulisoma shule gani. Ukijiachia kwa sana hata kama ulisoma st marian au kayumba utadisco tu.
 
pasco amezungumzia spoon feeding na kuchukua the cream.....

halafu hii sio tu shule bali hata maofisini na mitaani,watoto wa geti

makazini wanaajiriwa kwa vi memo...hawana pressure ya interview...wala ku prove anything...
 
Jamani kiingerza kina umuhimu wake hasa kwenye baadhi ya profession, unatakiwa utoe longolongo kibaaaaaaaao na utaonekana wamo tu. Hili kenya wameligundua ndio maana wako fiti kwenye kazi za kuuza sura kama, hotel mngt, maafisa habari, walimu wa kozi za arts na religion. Hamuoni wengi wa waalimu waliopo tz toka kenya wanafanya kazi za aina hii? Tuwe makini, tutafakari na kuchukua hatua, lugha in nafasi yake.

Teteteeeeeeeee, nimemkumbuka Msemaji wa Saddam Husein, Sghaf, cjui sakafu!!!!!!!!!

Mi Namkumbuka Sana Msemaji Wa Gadaffi Moussa Ibrahim naye amepata kazi ya usemaji kwakuwa anajua kidogo Lugha. Ni Kweli kabisa lugha ni deal sana ktk kazi zetu hapa Tz, Chuo Watadesa, Interview Watatambaa Vizuri Wanapata Kazi Na Pass Zao Maisha Yanaendelea.
 
hawa watoto wa St St ni kuwasubiri vyuoni tu! viingereza ni miezi ya kwanza kwanza tu, toka hapo mkipigwa test ya kwanza wanaanza kuomba SIMBI/DESA wamezoea kukaririshwa sana! pia inasemekana waalimu wao huwa wanashiriki katika kutunga mitihani ya NECTA hivyo wakirudi wanawamezesha majibu tu! these schools are money oriented nothing else they are capable of doing anything ilimradi wabaki kwenye chart!
 
Hapo sawa,kweli wanafunzi wa stz wengi wakija versity wanapata tabu,na wengi mfano pale hill wanapenda sana sociology,pspa na lou sasa kutana nao kwenye seminar mwaka wa kwanza utadhani wewe umeingia chaka.Mwaka wa pili duh mbwembwe kwisha kwenye UE wanamebeba nondo na wadada kujiandika mpaka kwenye mapaja.Angalia Ma TA pale udsm wangapi wana historia yakusoma stz?
 
Back
Top Bottom