Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,779
- 14,303
- Thread starter
- #741
Are you serious!?tatizo humble ana wivuuuuuuuuuuuuuuuu
Are you serious!?tatizo humble ana wivuuuuuuuuuuuuuuuu
Hahahaha nimecheka sanaWw Basha wako akija hapa unajifanya kuingia shimoni kwako akiondoka unaanza kubinua binua huto tu kalio twako kwa ile style yako unapotaka kujamba.Mbiliabeli mkubwa we,
Afterall uache tabia za kihanith kuja kujisifia sifa za watu wengine,ooh nilipata Sijui 1 ya 7 nikaongoza miongoni mwa wanaojamba mashuzi yanayonuka sana ooh mara sijui nilitiwa kidole ushuzi ukatoka.Kiufupi unachafua cheo cha ma Engineer kwa kwani ww sio Engineer,ni Popindi mmoja tu unayewasumbua watu na sifa zako za kishamba.Mm kuanzia Leo nakupa jina jipya ww ni @CCNP Mjjamba ovyo.Na ukiendelea kuleta fyokofyoko tunamwita mumeo aje akutibu maana unaonekana unawashwa.
Uzuzu wako peleka Facebook hapa hatujadili maisha ya watuKuna jamaa anaitwa Richard kayombo alikuwa tanzania one masomo ya pcm.
Sasa hivi ukimuangalia ukipanha wake hauendani na life anayoishi kabisa. Anauza vitabu tu vya physics sina uhakika kama vinamlipa wakati watu ambao uwezo wao darasani hasa secondari ulikuwa mdogo sana ndio hasa hawa maprof na madoctor wa vyuo.
Kwa nini vipanga wengi hawatoboi lakini?
HahahaKwa mfano prof paramaganda kabugi naskia darasani sekondar alikuwa kilaza sana
Sio vizuri changia maada kama huwezi usifanye hivoUzuzu wako peleka Facebook hapa hatujadili maisha ya watu
Weka katika namna ambayo hutataja jina la mtu Kama anaishi vibaya au vizuri ni maisha yake private,unaanzaje kutaja Jina la mtu kuwa anaishi maisha ya dhiki ??? We kwa akili zako huoni umekosea??Sio vizuri changia maada kama huwezi usifanye hivo
SiyoRichard si ndiyo yule bosi wa TRA we dogo
Ni kweri amezingua Sasa ungemwambia hivo angekuelewa....ungempasha kwa maneno haya ambayo umeniambia Mimi....sio vile mkuuWeka katika namna ambayo hutataja jina la mtu Kama anaishi vibaya au vizuri ni maisha yake private,unaanzaje kutaja Jina la mtu kuwa anaishi maisha ya dhiki ??? We kwa akili zako huoni umekosea??
Richard Kayombo au Elias Kihombo,yupo wapi huyu jamaaKuna jamaa anaitwa Richard kayombo alikuwa tanzania one masomo ya pcm.
Sasa hivi ukimuangalia ukipanha wake hauendani na life anayoishi kabisa. Anauza vitabu tu vya physics sina uhakika kama vinamlipa wakati watu ambao uwezo wao darasani hasa secondari ulikuwa mdogo sana ndio hasa hawa maprof na madoctor wa vyuo.
Kwa nini vipanga wengi hawatoboi lakini?
DarRichard Kayombo au Elias Kihombo,yupo wapi huyu jamaa