JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,367
Ya ukweli hayo bidada? mbona nyuzi humu zinaongezeka zinazosema mke wa mtu ananitaka! na sisi tunashauri mke wa mtu ni sumu kimbia,hao wanaowataka waume za watu ni akina nani,nashauri jisemee nafsi yako usimsemee jirani yako.Mapenzi ni kushirikiana,kukumbushana na si kutegeana.
Funzadume unayosema hata sisi wanawake tunawalalamikia nyie ..
Mbona sie hatutafuti nyumba ndogo kama nyie?