kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
Jamani wana jf wenzangu. Mwenye kujua kisa cha kuvunjika kwa hili kundi la EAST COAST lililokuwa na makazi yake pale upanga ambalo liliundwa na CRAZY GK, AY, MWANA FA, OTEN, BUF G, SNARE ......... na wengineo . Tafadhari naomba mnijuze sababu za kufa kwa kundi hili.