1. Ameingia Ikulu 2005 kwa wizi wa kura.
2. Ameingia Ikulu 2005 kwa fedha za EPA.
3. Amekiuka katiba kwa kutetea ufisadi/mafisadi.
4. Uteuzi wake wa nafasi mbalimbali ni kwa uswaiba.
5. Serikali yake ni ya anasa(safari za nje,ukubwa wa serikali).
6. Ameshindwa kutekeleza ahadi zake za 2005.
7. Aliwachafua wana CCM wenzake katika kinyang'anyiro cha 2005.
8. Kampeni zake zinafanywa kifamilia.
WEWE UNAMUONA JE?
2. Ameingia Ikulu 2005 kwa fedha za EPA.
3. Amekiuka katiba kwa kutetea ufisadi/mafisadi.
4. Uteuzi wake wa nafasi mbalimbali ni kwa uswaiba.
5. Serikali yake ni ya anasa(safari za nje,ukubwa wa serikali).
6. Ameshindwa kutekeleza ahadi zake za 2005.
7. Aliwachafua wana CCM wenzake katika kinyang'anyiro cha 2005.
8. Kampeni zake zinafanywa kifamilia.
WEWE UNAMUONA JE?