Sababu za kumuunga Mkono Mwenyekiti Dkt Kikwete uchaguzi ujao wa CCM taifa

Ushindi wa Lowasa kugombea kwa ticket ya CCM 2015 utakuwa wa uhakika endapo JK ataondolewa kwenye post ya uenyekiti wa CCM kwenye kikao kijacho.
Suala la Lowassa kugombea liko pale pale hata kama Samwel Sitta atakuwa ndio mwenyekiti.

Kwa ujumla mhimili wote wa CCM kwa sasa uko mikononi mwa Edward Lowassa dume la Mbegu la wanaCCM wote.
 
Imewahi kutokea. Mwaka 1985-1987 mwenyekiti wa CCM alikuwa Julius Nyerere wakati Rais wa Tanzania alikuwa Ally Hassan Mwingi. Ilidumu kwa muda huo tu then back to square one
Mkuu naona hujaelewa sawa sawa, wakati wa uchaguzi wa mwenyekiti mgombea lazima awe rais,

Nyerere alikuwa mwenyekiti kati ya 1977-1987 hivyo aliingia akiwa rais hivyo alivyostaafu urais 1985 ilibidi aendelee kushikilia uenyekiti wa chama mpaka uchaguzi wa chama ulipofika 1987 na kumwachia Rais Mwinyi kikatiba.

The Logic is: Candidate for chairperson post should be President of TZ and voting is either Yes or No but no competition!!
 
Mkuu naona hujaelewa sawa sawa, wakati wa uchaguzi wa mwenyekiti mgombea lazima awe rais,

Nyerere alikuwa mwenyekiti kati ya 1977-1987 hivyo aliingia akiwa rais hivyo alivyostaafu urais 1985 ilibidi aendelee kushikilia uenyekiti wa chama mpaka uchaguzi wa chama ulipofika 1987 na kumwachia Rais Mwinyi kikatiba.

The Logic is: Candidate for chairperson post should be President of TZ and voting is either Yes or No but no competition!!
Hapa umechapia, kila mwanachama wa CCM anayohaki yyakugombea nafasi yoyote kuanzia shina hadi taifa. Sasa kama tunaona Mwenyekiti anatufaa basi wengine huacha kutochukua fomu na hupigiwa kura za Ndio au Hapana. Lakini akijitokeza mwengine watashindana!
 
Hapa umechapia, kila mwanachama wa CCM anayohaki yyakugombea nafasi yoyote kuanzia shina hadi taifa. Sasa kama tunaona Mwenyekiti anatufaa basi wengine huacha kutochukua fomu na hupigiwa kura za Ndio au Hapana. Lakini akijitokeza mwengine watashindana!

Asante kwa kunisaidia kumjibu. You are absolutely right!

Nafasi iko wazi kugombewa na yoyote ndani ya chama isipokuwa unafiki wa kuonekana unampinga Rais na woga wa wajumbe kumchagua mtu mwingine nje ya Rais kuwa Mkiti wa chama ndio kunafanya ukiritimba huu kuendelea.

Hakuna katiba ya CCM inayosema lazima Rais ndio awe mwenyekiti wa chama
 
Mkuu naona hujaelewa sawa sawa, wakati wa uchaguzi wa mwenyekiti mgombea lazima awe rais,

Nyerere alikuwa mwenyekiti kati ya 1977-1987 hivyo aliingia akiwa rais hivyo alivyostaafu urais 1985 ilibidi aendelee kushikilia uenyekiti wa chama mpaka uchaguzi wa chama ulipofika 1987 na kumwachia Rais Mwinyi kikatiba.

The Logic is: Candidate for chairperson post should be President of TZ and voting is either Yes or No but no competition!!

Asante kunijibu lakini soma maelezo yangu hapo juu. Kwa ufupi, haikatazwi kikatiba (ya CCM) kwa mwana CCM yoyote kuchukua fomu kuwania uenyekiti wa CCM taifa.
 
Hakuna yeyote atakayejitokeza kugombea kiti pamoja naye, kwa hiyo usiwe na wasi wasi atashinda tu maana zitakuwa zile kura za Ndio au Hapana !!!

Hata hivyo katiba yenu si hairuhusu mtu kugombania naye?Katiba za kidikteta.
 
Mie pia namuunga mkono mh. J.K amejitahidi sana kukiongoza chama kwa ufanisi mkubwa hivyo ni vema akaendelea kuwa M/kiti na naomba apate kura zote (100%) ktk uchaguzi ujao ndani ya chama.
jku.jpg

CCM OYEEEEE.........!
Halafu kama tubadili tu katiba tumuongezee tumiaka twingine 5 kwani hutu tumiaka tulito baki atakuwa hajamlizia kuizunguka dunia au vipi wandugu?
 
Asante kunijibu lakini soma maelezo yangu hapo juu. Kwa ufupi, haikatazwi kikatiba (ya CCM) kwa mwana CCM yoyote kuchukua fomu kuwania uenyekiti wa CCM taifa.

Katiba ya Chama haiwazuii, isipokuwa wanazuiliwa na nidhamu ya woga, weeeeeeeeeeee, nani atadhabutu kumpinga Rais aliyeko madarakani !!!!
 
Ebu nikuulize kidogo hivi ndani ya chama chenu kuna uwezekano wa kubadilisha mwenyekiti tofauti na ambaye ni Rais au mnataka kuudanganya umma kwamba mnafanya uchaguzi? kwa sababu CCM tangu iumbwe haijawahi kutokea mwenyekiti ambaye sio Rais.

Ivi chadema nako kuna utaratibu wa kubadilisha mwenyekiti ...toka Yule alopewa na babamkwe
 
Hata hivyo katiba yenu si hairuhusu mtu kugombania naye?Katiba za kidikteta.....

Katiba haikatazi mwanachama yeyote anayo haki ya kugombea! sasa wewe usituletee katiba ya CUF au Chadema.
 
Kwa ujumla mhimili wote wa CCM kwa sasa uko mikononi mwa Edward Lowassa dume la Mbegu la wanaCCM wote....[/QUOTE]

Concrete
acha usanii tunaongelea A unaleta P vipi wewe kwenu hakuna jogoo mweupe!
 
na tujue katika hizo safari 337 alitumia kiasi gani alikopa kiasi gani zimetumika ngapi na tunadaiwa ngapi?
kwenye haki za binadamu tuangalie je hakuna mtu hata mmoja aliyeko gerezani kwa ajili yake na je hakuna mtanzania aliyeteswa na kutupwa mabwepande na serikali yake?

JF huwa tunaongea kwa data na sio majungu, hebu ziorodheshe hizo safari 337, kama huwezi basi nyamaza kwani hapa sio sehemu ya majungu

 
Ivi chadema nako kuna utaratibu wa kubadilisha mwenyekiti ...toka Yule alopewa na babamkwe

Ndani ya katiba ya cdm kuna kipengele kinasema 'nafasi ya mwenyekiti itagombewa na watu wa kaskazini na wale wenye uhusiano na undugu na mtei' mwisho wakunukuu

 
na tujue katika hizo safari 337 alitumia kiasi gani alikopa kiasi gani zimetumika ngapi na tunadaiwa ngapi?
kwenye haki za binadamu tuangalie je hakuna mtu hata mmoja aliyeko gerezani kwa ajili yake na je hakuna mtanzania aliyeteswa na kutupwa mabwepande na serikali yake?.....

Hapo hawawezi kuongea kitu,WASHALAZA WENGI SANA MABWEPANDE.
 
Mkuu naona hujaelewa sawa sawa, wakati wa uchaguzi wa mwenyekiti mgombea lazima awe rais,

Nyerere alikuwa mwenyekiti kati ya 1977-1987 hivyo aliingia akiwa rais hivyo alivyostaafu urais 1985 ilibidi aendelee kushikilia uenyekiti wa chama mpaka uchaguzi wa chama ulipofika 1987 na kumwachia Rais Mwinyi kikatiba.

The Logic is: Candidate for chairperson post should be President of TZ and voting is either Yes or No but no competition!!
Umenifafanulia vizuri kumbe Mwana mpotevu alinijibu kwa kunidanganya.
 
Hebu tujikumbushe nukuu zake.
Ukitakula kubali kuliwa.
Sijui kwanini Tanzania ni masikini.
Watoto wanaopata mimba ni kiherere chao.
Huu ni upepo tu.
 
Back
Top Bottom