Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Huwa najiuliza sana, Sababu gani zinamfanya mtu abip
1. Je! Unanibip kwakuwa nina pesa zaidi yako?
2. Je! Unanibip kwakuwa hauna salio la kunipigia?
3. Je! Unanibip kwakuwa unahisi hakuna umuhimu wa kutumia salio lako kwa ajili yangu?
4. Ama unanibip kwakuwa huduma ya kubip inapatikana?
Wadau, Nini hasa sababu ya kubip.
1. Je! Unanibip kwakuwa nina pesa zaidi yako?
2. Je! Unanibip kwakuwa hauna salio la kunipigia?
3. Je! Unanibip kwakuwa unahisi hakuna umuhimu wa kutumia salio lako kwa ajili yangu?
4. Ama unanibip kwakuwa huduma ya kubip inapatikana?
Wadau, Nini hasa sababu ya kubip.