EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
- Thread starter
- #21
Kivipi mkuuHela ilitumika rafu sana kipindi cha kampeni hivyo hiyo ni mbinu mojawapo ya kukusanya mrejesho
Kivipi mkuuHela ilitumika rafu sana kipindi cha kampeni hivyo hiyo ni mbinu mojawapo ya kukusanya mrejesho
Ungekua ni uzi wa kumtukana Rais ungeona watu wanavyo tiririka hapaSababu za kiuchumi ndizo umezitoa mkuu na zinakubalika na ndivyo ilivyo hivyo,,sasa kuna wale wenye sababu zisizo za kiuchumi sijui watasema kitu gani ila nao pia tunawataka hapa
kivipi mkuu
Hivi Tz kuna project gani ya ku consume cement inayo zalishwa kwenye viwanda vyote hapa bongo? Mbona mnaleta siasa kwenye ukweli?Tunapokua na miradi mikubwa ya ujenzi ni wazi kwamba saruji inatumika zaidi. Uzalishaji wa saruji awali ulitosheleza soko na bei zilikua zinaeleweka huku upatikanaji ukiwa mzuri kila kona ya nchi.
Saruji imekua bidhaa adimu sana kwa sasa sababu ya kuongezeka kwa matumizi makubwa ikiwemo ujenzi wa miundombinu tofauti unaofanywa na serikali nchi nzima ilihali uzalishaji ukiwa wa kiwango kilekile.
Sijui kama hii miradi ilizingatia lakini muhimu sana kufanya tathmini ya mahitaji ya miradi kabla ya projects kuanza.
hiyo nimeizungumzia pale juu. Japo sina uhakika sana juu ya hiloHivi Tz kuna project gani ya ku consume cement inayo zalishwa kwenye viwanda vyote hapa bongo? Mbona mnaleta siasa kwenye ukweli?
Mbona hujaongelea kiwanda cha dangote kufungwa?
Au umeona ukiongelea haitapamba pambio lako?
Nashauri tufidie hilo pengo kwa kuagiza cement toka nje kwa ushuru rafiki kama wazalishaji wa ndani wameshindwa kukidhi mahitaji yaliyopo.Tunapokua na miradi mikubwa ya ujenzi ni wazi kwamba saruji inatumika zaidi. Uzalishaji wa saruji awali ulitosheleza soko na bei zilikua zinaeleweka huku upatikanaji ukiwa mzuri kila kona ya nchi.
Saruji imekua bidhaa adimu sana kwa sasa sababu ya kuongezeka kwa matumizi makubwa ikiwemo ujenzi wa miundombinu tofauti unaofanywa na serikali nchi nzima ilihali uzalishaji ukiwa wa kiwango kilekile.
Sijui kama hii miradi ilizingatia lakini muhimu sana kufanya tathmini ya mahitaji ya miradi kabla ya projects kuanza.
Hivi vitu sina hakika sana, sijavifanyia analysis. Mimi nilibase zaidi kwenye cement na sukari.Vp kuhusu mafuta ya kula, unga wa ngano, sabuni?
Kidhungu AiseeWatu mbona mpo kimya sana.
Kupanua wigo mpanaMkuu si unajua kiswahili kilivyo kigumu kwenye kuelezea technological terms. Mfano demand curve utaiitaje kwa kiswahili
😂😂😂😂😂Kupanua wigo mpana