qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,359
Hello
Kwa wataalamu wa afya ningpenda kujua ni sababu gani zinamfanya mzazi akatazwe kunyonyesha mtoto ukiacha ya HIV ambayo ndio pekee naifahamu.
Leo nimeshangazwa kuona mzazi hanyonyeshi tena mtoto sababu anasema maziwa yake ni machafu hivyo ameshauriwa ampe mwanae maziwa ya ng'ombe au kopo, na akasema ni jambo la kawaida kwa wazazi wengi.
Je ni kweli ni jambo la kawaida?
Sababu ni nini inayosababisha mzazi akatoa maziwa machafu ambayo sio afya kwa mtoto mpaka akatazwe kunyonyesha ila mtoto bado ni mchanga?
Kwa wataalamu wa afya ningpenda kujua ni sababu gani zinamfanya mzazi akatazwe kunyonyesha mtoto ukiacha ya HIV ambayo ndio pekee naifahamu.
Leo nimeshangazwa kuona mzazi hanyonyeshi tena mtoto sababu anasema maziwa yake ni machafu hivyo ameshauriwa ampe mwanae maziwa ya ng'ombe au kopo, na akasema ni jambo la kawaida kwa wazazi wengi.
Je ni kweli ni jambo la kawaida?
Sababu ni nini inayosababisha mzazi akatoa maziwa machafu ambayo sio afya kwa mtoto mpaka akatazwe kunyonyesha ila mtoto bado ni mchanga?