Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 662
Ungeweza kudhani hivyo, lakini hiyo explanation ingem disqualify Warioba, ambae huwa anaichana serikali kwa kwenda mbele na tuzo kapata.kiufupi wale wote waliostahili kupewa nishani hii wamekuwa wakiilalamikia serikali ya awamu ya nne kwa utendaji mbovu labda ndio imepelekea wao kutotunukiwa