MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
soma hapa tena.......... Aidha, Rais Kikwete aliweka wazi kwamba, nishani hizo zimetolewa kwa Makamu Rais na mawaziri wakuu wastaafu walio hai ama waliokufa, walioondoka madarakani bila kashfa na hata baada ya kuondoka kwao madarakani, wameendelea kuwa na maadili mema na kuishi kwa heshima na maadili ya ofisi yao.
Tujiulize je, Sitta na lowassa waliondoka vizuri?
Tujiulize je, Sitta na lowassa waliondoka vizuri?