Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
WANA JF nani anaelewa sababu za msingi hasa zilizopelekea wagombea wa CCM kukatazwa kushiriki midahalo inayoendeshwa na Televition ya CCM aaaah....samahani ya Taifa TBCI ni zipi?
Muheshimiwa Makamba alisema anataka ajue watu wataoshiriki mdahalo sio watu wenye njaa, na vile vile wanataka wajue ni maswali gani yataulizwa, kwa kifupi ccm wanataka kuchakachua hata maswali ya mdahalo.