Sababu za baadhi ya mabinti kuwa wagumu kupanua mapaja

Surya

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
8,375
12,566
*HOFU YA NGONO ( GENOPHOBIA)

Hofu ya ngono pia huitwa "genophobia" au "erotophobia." Hii ni zaidi ya kutopenda tu au chuki. Ni hali ambayo inaweza kusababisha hofu kali au hofu wakati ujamaa wa kijinsia unajaribiwa. Kwa watu wengine, hata kufikiria juu yake kunaweza kusababisha hisia hizi.

Kuna phobias zingine zinazohusiana na genophobia ambayo inaweza kutokea wakati huo huo:
nosophobia: hofu ya kupata ugonjwa au virusi
gymnophobia: hofu ya uchi (kuona wengine wakiwa uchi, kuonekana uchi, au wote wawili)
heterophobia: hofu ya jinsia tofauti
coitophobia: hofu ya tendo la ndoa
haphephobia : hofu ya kuguswa pamoja na kugusa wengine
tocophobia: hofu ya ujauzito au kuzaa
Mtu anaweza pia kuwa na hofu ya jumla au wasiwasi juu ya kuwa karibu kihemko na mtu mwingine kwa kuhofia kupata ujauzito na wengi kutokua na ufahamu ni wakati gani salama wa kufanya tendo na hato pata ujauzito.

Dalili za genophobia
Phobias inahusisha athari inayojulikana zaidi kuliko kutopenda au kuogopa kitu. Kwa ufafanuzi, phobias inahusisha hofu kali au wasiwasi. Husababisha athari za mwili na kisaikolojia ambazo huingiliana na utendaji wa kawaida.
Mmenyuko huu wa hofu unasababishwa na tukio au hali ambayo mtu huogopa.
Athari za kawaida za phobic ni pamoja na:
hisia ya haraka ya hofu, wasiwasi.

Visababishi vya genophobia
Sio wazi kila wakati ni nini husababisha phobias, hata phobias maalum. Ikiwa kuna sababu maalum, kutibu sababu hiyo ni muhimu. Sababu anuwai za genophobia zinaweza kujumuisha maswala ya mwili au ya kihemko

Vaginismus: ni wakati misuli ya uke inakunja bila hiari wakati kupenya kwa uke kunakojaribiwa. Hii inaweza kufanya ngono kuwa chungu au hata haiwezekani. Maumivu makali na yanayofanana yanaweza kusababisha hofu ya urafiki wa kijinsia.

Hofu ya utendaji wa tendo la ngono. Watu wengine wana wasiwasi je wataweza wako "wazuri" kitandani ?. Hii inaweza kusababisha usumbufu mkubwa wa kisaikolojia, na kusababisha kuepukana na uhusiano wa kimapenzi kabisa kwa kuogopa kejeli au utendaji poor katika ngono.

Aibu ya mwili au dysmorphia. Aibu ya mwili wa mtu, na vile vile kujijali kupita kiasi juu ya mwili, kunaweza kuathiri vibaya kuridhika na ngono na kusababisha wasiwasi. Baadhi ya watu walio na aibu kali ya mwili au dysmorphia (kuona mwili kuwa na kasoro ingawa, kwa watu wengine, inaonekana kawaida) wanaweza kuepuka au kuogopa uhusiano wa kijinsia kabisa kwa sababu ya ukosefu wa raha na aibu kali inayowaleta.

Matibabu ya genophobia
Ikiwa sababu ya mwili imebainika, matibabu inategemea suala maalum, na kisha sehemu yoyote ya kihemko inayoambatana inaweza kushughulikiwa.
Tiba ya phobias kawaida hujumuisha matibabu ya kisaikolojia, matibabu ya ukeni na vichocheo mwili (hormones)

hitimisho.
Tatizo hili la GENOPHOBIA hutokea pia kwa jinsia ya kiume na huwa na sababu tofauti na zingine huingiliana japo kwa jinsia ya kiume idadi yao ipo chini ukilinganisha na jinsia ya kike.

Surya
 
Hali hii huwakumba zaidi wanawake hasa katika kukutana na mwanaume mpya (ambaye hajawahi kungonoka naye kabla) au anayeanza ngono kwa mara ya kwanza hata kama ni mtu mzima
 
Doctor,mimi mara ya kwanza kutaka kusex sikuweza kwani 'nili ejaculate' kabla sijadumbukiza na baada ya siku hiyo hali ikawa kama nakutana mwanamke mpya inaweza ikachelewa kusimama au isisimame.CHA ajabu nikidumbukiza tu kwa huyo mwanamke siku zinazofuata inakuwa kawaida.

Hali hii ilianza nikiwa na miaka 17 hadi nafikisha 22 ikapotea,tatizo lilikuwa nini docta?
 
Doctor,mimi mara ya kwanza kutaka kusex sikuweza kwani 'ejaculate' kabla sijadumbukiza na baada ya siku hiyo hali ikawa kama nakutana mwanamke mpya inaweza ikachelewa kusimama au isisimame.CHA ajabu nikidumbukiza tu kwa huyo mwanamke siku zinazofuata inakuwa kawaida.
Hali hii ilianza nikiwa na miaka 17 hadi nafikisha 22 ikapotea,tatizo lilikuwa nini docta?
Yaliyopita si ndwele
 
Doctor,mimi mara ya kwanza kutaka kusex sikuweza kwani 'nili ejaculate' kabla sijadumbukiza na baada ya siku hiyo hali ikawa kama nakutana mwanamke mpya inaweza ikachelewa kusimama au isisimame.CHA ajabu nikidumbukiza tu kwa huyo mwanamke siku zinazofuata inakuwa kawaida.
Hali hii ilianza nikiwa na miaka 17 hadi nafikisha 22 ikapotea,tatizo lilikuwa nini docta?
Practices make you perfect....

Ww kama mimi tu tofauti yetu mimi nlikuwa nina hisia kali,demu akiingia geto tu Basi mashine inasimama balaa,kitu ambacho adi sa hv kinanisumbua....
 
Doctor,mimi mara ya kwanza kutaka kusex sikuweza kwani 'nili ejaculate' kabla sijadumbukiza na baada ya siku hiyo hali ikawa kama nakutana mwanamke mpya inaweza ikachelewa kusimama au isisimame.CHA ajabu nikidumbukiza tu kwa huyo mwanamke siku zinazofuata inakuwa kawaida.
Hali hii ilianza nikiwa na miaka 17 hadi nafikisha 22 ikapotea,tatizo lilikuwa nini docta?
Mkuu hiyo kitaalamu tunaaita homa ya mechi ukiwa nguli kwenye hayo mambo hiyo hali itapotea taratibu tengeneza kujiamini
 
Doctor,mimi mara ya kwanza kutaka kusex sikuweza kwani 'nili ejaculate' kabla sijadumbukiza na baada ya siku hiyo hali ikawa kama nakutana mwanamke mpya inaweza ikachelewa kusimama au isisimame.CHA ajabu nikidumbukiza tu kwa huyo mwanamke siku zinazofuata inakuwa kawaida.
Hali hii ilianza nikiwa na miaka 17 hadi nafikisha 22 ikapotea,tatizo lilikuwa nini docta?
Kuna uzi unauliza jambo gani lilikutokea ukiwa na manzi ghetto ambalo hutasahau basi nikaandika maelezo kama yako haya (japo mimi ilikuwa ndo mara ya kwanza kuvuta demu ghetto na ikawa hivyo kwake tu lakini demu wa pili ikapungua ile hali na kuendelea mpaka ikaisha), basi jamaa akanishambulia vibaya akisema eti ni punyeto basi ikabidi niwe mpole tu... ngoja nami nisubiri huyu kama atakuwa na majibu mazuri
 
Hali hii huwakumba zaidi wanawake hasa katika kukutana na mwanaume mpya (ambaye hajawahi kungonoka naye kabla) au anayeanza ngono kwa mara ya kwanza hata kama ni mtu mzima
Kuna wengine wala sio upya nadhani ni uoga tu, hasa hiyo ya kukaa uchi wanawake wengine wanayo sana. Mi kuna demu nilisha kua nae alikua hakubali kabisa nimuangalie akiwa uchi!

Yaani dem nimeshakula mzigo zaidi ya mara 10 lakini akiwa anavua nguo ananiambia nifunge macho au anafunga taulo/shuka ndio avue. na hakubali kabisa tukaoge wote eti anadai ntamchungulia! Mpaka nikawa nahisi ana kasoro ila nilikuja kumchunguza yuko poa kabisa sema ndio hivyo sijui ni uoga au aibu zilizokithiri.
 
Doctor,mimi mara ya kwanza kutaka kusex sikuweza kwani 'nili ejaculate' kabla sijadumbukiza na baada ya siku hiyo hali ikawa kama nakutana mwanamke mpya inaweza ikachelewa kusimama au isisimame.CHA ajabu nikidumbukiza tu kwa huyo mwanamke siku zinazofuata inakuwa kawaida.

Hali hii ilianza nikiwa na miaka 17 hadi nafikisha 22 ikapotea,tatizo lilikuwa nini docta?
Kwa mwanzo labda ni dawa za asili ulikua ukipewa kutumia bila wewe kujua,
Ila kama kwa sasa hali iko sawa basi hali hile haiwezi kujirudia.
Pia.. mwanaume kuchelewa kusimamisha uume inategemea na eneo unalofanyia ngono, kama unafanya ngono geto huku unawaza kukutwa au unataka umalize haraka kabla watu hawajarudi hali kama hiyo ya kupizi haraka inaweza kutokea.

Sie wengine mabao ya mwanzo na kusimamisha uume kwa muda mrefu tulianzia kwenye madisco.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom