Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,323
- 40,170
Maumbile yetu huwa yanatofautiana, ndio maana tunasikia vibamia, tango, mpini, mkono wa mtoto n.k pia kwa wenzetu tunasikia flat, iliyojaa, mnato, iliyobonyea n.k. Sasa inapotokea unakutana na mwenzako kwa mara ya kwanza, hapo ndipo mnaanza kufahamiana kwa maumbile yenu, pamoja na ufanisi wa hivyo vitendea kazi.
Kama itatokea wote mmerizika kwa mlichokiona na kukifanya, basi hapo mahusiano yanaweza yakadumu, au mmoja akarizika zaidi na kujikuta kumpenda mwenzake zaidi. Au wote kutokurizika na kuamua kuachana.
Na hi ndio sababu ya watu wengi kuwa Single
Kama itatokea wote mmerizika kwa mlichokiona na kukifanya, basi hapo mahusiano yanaweza yakadumu, au mmoja akarizika zaidi na kujikuta kumpenda mwenzake zaidi. Au wote kutokurizika na kuamua kuachana.
Na hi ndio sababu ya watu wengi kuwa Single