Sababu ya TFF kuweka viingilio juu mechi ngao ya hisani Simba vs Yanga yabainika

kasenene

JF-Expert Member
Jun 6, 2008
1,632
2,413
kunatetesi kwamba TFF wameamua kuweka viingilio vikubwa mechi ya leo kati ya Simba na Yanga ili kukidhi matakwa ya mdhamini wa mechi ya leo ni AZAM, ambaye inasemekana ndiye aliyeshinda tenda ya kuonyesha mechi ya leo (utaratibu wa kumpata nao ulikuwa ni kuzungumkuti) kwani uligubikwa na sintofahamu nyingi. Zipo tarifa kuwa Dstv walitoa ofa kubwa zaidi lakini vigisuvigusu zikafanywa na akina Karia kumpitisha Azam.

Baada ya AZAM kupitishwa (kwa kuwashika mkono wakubwa ) akapendekeza vingilio vya juu kwa lengo kuwa watu wasije uwanjani wengi ila wakanunue vifurushi vya Azam kwani kwa kifurushi cha AZAM cha 20,000 mtu unaangalia mechi na vipindi vingine kwa mwezi, sasa mtu kuliko kulipa 10,000 aende uwanjani bora anunue kifurushi cha 20k aangalie nyumbani mwezi mzima. Hii ni akili y kaiwada saana

Kwanini Azam wamefanya hivi?
  • Azam wana uhakika kwa ving'amuzi ambavyo havijalipiwa kitambo au mwezi huu vikilipiwa leo tu kwa mechi hii wanatengeneza mabilion. Ving'amuzi vingi hasa vya wakazi wa Dar es salaam havihalijipiwa kitambo (soko kubwa la AZAM ni Dar es salaam)
  • kuna wateja wapya wa vin'gamuzi watapatikana kwa kutaka kuangalia mechi hii.
  • Wadhaminiwa mechi kupitia Azam sio TFF wataongezeka leo
Ndio maana mnaona mpaka leo hamna hamsha hamsha za kuhamasihsha watu waje uwanjani wala kukata tiketi.

Hii kama ni kweli basi kunahitajika kufanyika uchunguzi wa hali ya juu na viongozi wa TFF wachukulie hatau kama hii itakuw imewafaidhia AZAM kupitia Migongo ya viongozi wetu wa TFF
 
Hii inamaanisha wivu kwa azam?
Kuutarifu umma kuwa azam alitoa rushwa ili apewe zabuni?/kandarasi?
Kuuambia umma kuwa kuna viongozi wamekula rushwa kwenye jambo hili?
Kuushawishi umma usilipie ving'amuzi?
 
wewe ndio kolo sasa na akili mgando.
Azam ana mkataba wa kuonesha ligi kuu.

Kwanini hii ngao ya jamii aoneshe dstv? Au kisa una dstv? Vifurushi vya azam na dstv vipi vina bei?

Upo kiwango cha juu katika malofa.
 
wewe ndio kolo sasa na akili mgando.
Azam ana mkataba wa kuonesha ligi kuu.

Kwanini hii ngao ya jamii aoneshe dstv? Au kisa una dstv? Vifurushi vya azam na dstv vipi vina bei?

Upo kiwango cha juu katika malofa.
Nimekuelewa Shoga
 
Mimi ninavyojua hiyo ni dunia nzima.

Tena kuna sheria ilitungwa inaitwa 'Blackout rule' kwamba mnaoishi karibu na uwanja wa mpira nyinyi hampati matangazo ya mpira hivyo inabidi muende uwanjani.
 
kunatetesi kwamba TFF wameamua kuweka viingilio vikubwa mechi ya leo kati ya Simba na Yanga ili kukidhi matakwa ya mdhamini wa mechi ya leo ni AZAM, ambaye inasemekana ndiye aliyeshinda tenda ya kuonyesha mechi ya leo (utaratibu wa kumpata nao ulikuwa ni kuzungumkuti) kwani uligubikwa na sintofahamu nyingi. Zipo tarifa kuwa Dstv walitoa ofa kubwa zaidi lakini vigisuvigusu zikafanywa na akina Karia kumpitisha Azam.

Baada ya AZAM kupitishwa (kwa kuwashika mkono wakubwa ) akapendekeza vingilio vya juu kwa lengo kuwa watu wasije uwanjani wengi ila wakanunue vifurushi vya Azam kwani kwa kifurushi cha AZAM cha 9,000 mtu unaangalia mechi na vipindi vingine kwa mwezi, sasa mtu kuliko kulipa 10,000 aende uwanjani bora anunue kifurushi aangalie nyumbani. Hii ni akili y kaiwada saana

Kwanini Azam wamefanya hivi?
  • Azam wana uhakika kwa ving'amuzi ambavyo havijalipiwa kitambo au mwezi huu vikilipiwa leo tu kwa mechi hii wanatengeneza mabilion. Ving'amuzi vingi hasa vya wakazi wa Dar es salaam havihalijipiwa kitambo (soko kubwa la AZAM ni Dar es salaam)
  • kuna wateja wapya wa vin'gamuzi watapatikana kwa kutaka kuangalia mechi hii.
  • Wadhaminiwa mechi kupitia Azam sio TFF wataongezeka leo
Ndio maana mnaona mpaka leo hamna hamsha hamsha za kuhamasihsha watu waje uwanjani wala kukata tiketi.

Hii kama ni kweli basi kunahitajika kufanyika uchunguzi wa hali ya juu na viongozi wa TFF wachukulie hatau kama hii itakuw imewafaidhia AZAM kupitia Migongo ya viongozi wetu wa TFF
Kifurushi cha Azam cha sh elfu tisa kwa mwezi ni tokea lini kinaonesha mipira?
 
Nenda twitter kamsearch mtu anaitwa AuxGrep, ingia kwenye tweets zake utakutana na mpango mzima.
App ya Azamtv Max inakula sana data

Anyways cracked ya Azamtv zipo ila kama unaipeda timu yako nunua ticket uingie uwanjani
 
kunatetesi kwamba TFF wameamua kuweka viingilio vikubwa mechi ya leo kati ya Simba na Yanga ili kukidhi matakwa ya mdhamini wa mechi ya leo ni AZAM, ambaye inasemekana ndiye aliyeshinda tenda ya kuonyesha mechi ya leo (utaratibu wa kumpata nao ulikuwa ni kuzungumkuti) kwani uligubikwa na sintofahamu nyingi. Zipo tarifa kuwa Dstv walitoa ofa kubwa zaidi lakini vigisuvigusu zikafanywa na akina Karia kumpitisha Azam.

Baada ya AZAM kupitishwa (kwa kuwashika mkono wakubwa ) akapendekeza vingilio vya juu kwa lengo kuwa watu wasije uwanjani wengi ila wakanunue vifurushi vya Azam kwani kwa kifurushi cha AZAM cha 9,000 mtu unaangalia mechi na vipindi vingine kwa mwezi, sasa mtu kuliko kulipa 10,000 aende uwanjani bora anunue kifurushi aangalie nyumbani. Hii ni akili y kaiwada saana

Kwanini Azam wamefanya hivi?
  • Azam wana uhakika kwa ving'amuzi ambavyo havijalipiwa kitambo au mwezi huu vikilipiwa leo tu kwa mechi hii wanatengeneza mabilion. Ving'amuzi vingi hasa vya wakazi wa Dar es salaam havihalijipiwa kitambo (soko kubwa la AZAM ni Dar es salaam)
  • kuna wateja wapya wa vin'gamuzi watapatikana kwa kutaka kuangalia mechi hii.
  • Wadhaminiwa mechi kupitia Azam sio TFF wataongezeka leo
Ndio maana mnaona mpaka leo hamna hamsha hamsha za kuhamasihsha watu waje uwanjani wala kukata tiketi.

Hii kama ni kweli basi kunahitajika kufanyika uchunguzi wa hali ya juu na viongozi wa TFF wachukulie hatau kama hii itakuw imewafaidhia AZAM kupitia Migongo ya viongozi wetu wa TFF
NiNi mikakati maalumu bora mkachanje chanjo ya uviko kwa wingi
 
kunatetesi kwamba TFF wameamua kuweka viingilio vikubwa mechi ya leo kati ya Simba na Yanga ili kukidhi matakwa ya mdhamini wa mechi ya leo ni AZAM, ambaye inasemekana ndiye aliyeshinda tenda ya kuonyesha mechi ya leo (utaratibu wa kumpata nao ulikuwa ni kuzungumkuti) kwani uligubikwa na sintofahamu nyingi. Zipo tarifa kuwa Dstv walitoa ofa kubwa zaidi lakini vigisuvigusu zikafanywa na akina Karia kumpitisha Azam.

Baada ya AZAM kupitishwa (kwa kuwashika mkono wakubwa ) akapendekeza vingilio vya juu kwa lengo kuwa watu wasije uwanjani wengi ila wakanunue vifurushi vya Azam kwani kwa kifurushi cha AZAM cha 9,000 mtu unaangalia mechi na vipindi vingine kwa mwezi, sasa mtu kuliko kulipa 10,000 aende uwanjani bora anunue kifurushi aangalie nyumbani. Hii ni akili y kaiwada saana

Kwanini Azam wamefanya hivi?
  • Azam wana uhakika kwa ving'amuzi ambavyo havijalipiwa kitambo au mwezi huu vikilipiwa leo tu kwa mechi hii wanatengeneza mabilion. Ving'amuzi vingi hasa vya wakazi wa Dar es salaam havihalijipiwa kitambo (soko kubwa la AZAM ni Dar es salaam)
  • kuna wateja wapya wa vin'gamuzi watapatikana kwa kutaka kuangalia mechi hii.
  • Wadhaminiwa mechi kupitia Azam sio TFF wataongezeka leo
Ndio maana mnaona mpaka leo hamna hamsha hamsha za kuhamasihsha watu waje uwanjani wala kukata tiketi.

Hii kama ni kweli basi kunahitajika kufanyika uchunguzi wa hali ya juu na viongozi wa TFF wachukulie hatau kama hii itakuw imewafaidhia AZAM kupitia Migongo ya viongozi wetu wa TFF
🚮🚮🚮🚮
 
kunatetesi kwamba TFF wameamua kuweka viingilio vikubwa mechi ya leo kati ya Simba na Yanga ili kukidhi matakwa ya mdhamini wa mechi ya leo ni AZAM, ambaye inasemekana ndiye aliyeshinda tenda ya kuonyesha mechi ya leo (utaratibu wa kumpata nao ulikuwa ni kuzungumkuti) kwani uligubikwa na sintofahamu nyingi. Zipo tarifa kuwa Dstv walitoa ofa kubwa zaidi lakini vigisuvigusu zikafanywa na akina Karia kumpitisha Azam.

Baada ya AZAM kupitishwa (kwa kuwashika mkono wakubwa ) akapendekeza vingilio vya juu kwa lengo kuwa watu wasije uwanjani wengi ila wakanunue vifurushi vya Azam kwani kwa kifurushi cha AZAM cha 9,000 mtu unaangalia mechi na vipindi vingine kwa mwezi, sasa mtu kuliko kulipa 10,000 aende uwanjani bora anunue kifurushi aangalie nyumbani. Hii ni akili y kaiwada saana

Kwanini Azam wamefanya hivi?
  • Azam wana uhakika kwa ving'amuzi ambavyo havijalipiwa kitambo au mwezi huu vikilipiwa leo tu kwa mechi hii wanatengeneza mabilion. Ving'amuzi vingi hasa vya wakazi wa Dar es salaam havihalijipiwa kitambo (soko kubwa la AZAM ni Dar es salaam)
  • kuna wateja wapya wa vin'gamuzi watapatikana kwa kutaka kuangalia mechi hii.
  • Wadhaminiwa mechi kupitia Azam sio TFF wataongezeka leo
Ndio maana mnaona mpaka leo hamna hamsha hamsha za kuhamasihsha watu waje uwanjani wala kukata tiketi.

Hii kama ni kweli basi kunahitajika kufanyika uchunguzi wa hali ya juu na viongozi wa TFF wachukulie hatau kama hii itakuw imewafaidhia AZAM kupitia Migongo ya viongozi wetu wa TFF
Acha porojo hizo , kifurushi gani cha 9000,cha mwezi kinachoonyesha mpira?zamani kulikuwa na cha 9000, kwa wiki lakini sasa hakipo tena, halafu inawezekana vipi ligi aonyeshe azamu halafu hiyo ngao ya jamii eti dstv ndio aonyeshe?!!
 
Back
Top Bottom